Enigma
Senior Member
- Feb 29, 2008
- 109
- 62
Greetings dear friends!
It has been months since I was here last time. M has received the following documents from reliable and impeccable sources that wish Tanzanians, the media and our leadership to be aware of. We are losing at an incredible pace and way one of the most precious stones in our country; Tanzanite through one an eleborate scheme of criminal nature. If we don't stop them according to the report, mafisadi win!
The report begins...
It has been months since I was here last time. M has received the following documents from reliable and impeccable sources that wish Tanzanians, the media and our leadership to be aware of. We are losing at an incredible pace and way one of the most precious stones in our country; Tanzanite through one an eleborate scheme of criminal nature. If we don't stop them according to the report, mafisadi win!
The report begins...
Read at your own misery.Kilio cha Watanzania kwa serikali ya Tanzania juu ya mwekezaji Mirelani
Ndugu mwanakijiji sisi tunaoandika habari hii ni mashuhuda wa yale yanayojiri kwenye mgodi wa TanzaniteOne, wachimbaji wa madini ya tanzanite.
- Wanawake wakaguliwa hadi sehemu nyeti kama wameficha Tanzanite
- Mionzi ya X-ray yatumika kukagua watumishi; athari ya kasarani je?
- Mashine zatumiwa bila leseni; leseni zapitishwa mlango wa nyuma
TANZANITE ONE INAENDESHWA KWA HASARA?
Kama utakumbuka mwaka jana serikali ya Tanzania kwa kupitia kauli ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitangaza msamaha wa kodi kwa kampuni hii ya kigeni kwa muda wa miaka miwili kwa madai ya kuporomoka kwa bei ya vito kwenye soko. Na ikumbukwe kuwa miezi michache baadae baada ya msamaha wa kodi bei ya vito hivyo ilipanda kwa nguvu huku kukiwa hakuna marekebisho juu ya ile kauli ya msamaha wa kodi na hiyo ikatoa mwanya wa majamaa hawa kusafirisha na kuuza mali waliyokuwa nayo bila ya kulipa mrahaba.