nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
Watanzania twahitaji maamuzi ya haraka ili kupambana na udhalimu wa rushwa na ufisadi katika nchi yetu kama anavyofanya sasa rais Sata kule Zambia kwa hatua yake ya mara moja kuchunguza mikataba yote tata iliyoingiwa na rais Banda aliyemshinda kwenye uchaguzi uliofanyika majuzi tu.Hatua mojawapo ni kukatiza mara moja uuzaji wa madini ya shaba nje ya zambia bila kibali cha benki kuu yao.Watanzania tuna mengi yakujifunza toka zambia kwa sasa.....ebu usome hii article(attached).......