Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
...wakati wa ile mijadala ya dual citizen kuna wasio na aibu(majority) waliita watanzania wanaokaa nje ni traitor,wabangaizaji,wazamiaji,unpatriotic etc tena cha ajabu ni wasomi na wengine hata wali suggest kuwa na dual citizen itafanya watumike kama spy/vibaraka,sasa leo vipi wanaona nao kumbe wanaweza kuchangia maendeleo ya taifa?
Katika msafara wa Mamba, Kenge hawakosi.