BiMkubwa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2007
- 529
- 97
Kuna lecturer mmoja wa UDSM na yeyey yalimkuta masahibu kama haya alipokuja kusoma PhD yake. Mwanaume kiwembe hakuna mfano na mpaka leo hii hajaacha. Alimbaka binti hapa marekani maana binti alisema NO akafikiria ndiyo yale ya 'niangusage zambi zako mwenyewe'.
Uzuri kulikuwa na strong mshikamano wa wanafunzi wa Kiafrika, wakafanya namna bwana mkubwa akaweza kutoroka mkono wa sheria na sasa yuko DSM kwa raha zake.
Ila ndio hivyo hawezi thubutu kuja USA hata kwa kulazimishwa!
Uzuri kulikuwa na strong mshikamano wa wanafunzi wa Kiafrika, wakafanya namna bwana mkubwa akaweza kutoroka mkono wa sheria na sasa yuko DSM kwa raha zake.
Ila ndio hivyo hawezi thubutu kuja USA hata kwa kulazimishwa!