Tanzanian Lodge Named Best Hotel in The World

Umilikaji wa ardhi na vitalu upo kisheria, tatizo serikali iliweka tahadhari (condition) juu ya mali asili nyingine kama madini au wanyamapori kuwatumia kwa utaratibu gani Hilo ndilo swali la msingi kuuliza.

Misamaha ya kodi imelalamikiwa kila kukicha, hilo si kosa la mwekezaji, ila viongozi walio madarakani, hao ndio tuwaulize kulikoni, lakini kumyooshea kidole mwekezaji ni upotoshi, yeye anaangalia mali yake.

Watanzania tumezoea ujamaa kwamba kila king'aacho ni kwenda kuingia ndani kudozi, kumbuka pale kila stage unayoingia ina gharama zake, na kama wabunge walikataliwa kuingia ndani ni kutokana na kutoweza deal ya hapo, isiwe kwa mwavuli wa ubunge basi wamtie hasara mwekezaji. uzuri wa hotel ile ni kutokana na pesa alizomwaga pale, anatakiwa kuzilinda na zirudishe faida. Ana waajiriwa wengi tu na hao wanahitaji mshiko kila mwisho wa mwezi.

Uswahili wetu mara fulani unatufanya hawa wawekezaji watushtukie, tunatakiwa kujifunza kwa nini wawekezaji wanaajiri wa kutoka mbali kuliko sisi wazawa? Hata baadhi ya makampuni ya nchi za ulaya na Marekani yanapenda kuajiri wakuja badala ya wazawa na kuna sababu kadhaa za kufanya hivyo.
 
Umilikaji wa ardhi na vitalu upo kisheria, tatizo serikali iliweka tahadhari (condition) juu ya mali asili nyingine kama madini au wanyamapori kuwatumia kwa utaratibu gani Hilo ndilo swali la msingi kuuliza.

Misamaha ya kodi imelalamikiwa kila kukicha, hilo si kosa la mwekezaji, ila viongozi walio madarakani, hao ndio tuwaulize kulikoni, lakini kumyooshea kidole mwekezaji ni upotoshi, yeye anaangalia mali yake.

Watanzania tumezoea ujamaa kwamba kila king'aacho ni kwenda kuingia ndani kudozi, kumbuka pale kila stage unayoingia ina gharama zake, na kama wabunge walikataliwa kuingia ndani ni kutokana na kutoweza deal ya hapo, isiwe kwa mwavuli wa ubunge basi wamtie hasara mwekezaji. uzuri wa hotel ile ni kutokana na pesa alizomwaga pale, anatakiwa kuzilinda na zirudishe faida. Ana waajiriwa wengi tu na hao wanahitaji mshiko kila mwisho wa mwezi.

Uswahili wetu mara fulani unatufanya hawa wawekezaji watushtukie, tunatakiwa kujifunza kwa nini wawekezaji wanaajiri wa kutoka mbali kuliko sisi wazawa? Hata baadhi ya makampuni ya nchi za ulaya na Marekani yanapenda kuajiri wakuja badala ya wazawa na kuna sababu kadhaa za kufanya hivyo.

What's the reason behind that? (on the red sentence)
 
[/COLOR]wewe c umesema ulisha wahi fika pale? Ile hifadhi yake kumbuka iko wazi na wanyama wana move kutoka TANAPA kwenda kwake na kutoka kwake kwenda TANAPA,
INGAWA YEYE BINAFISI KUNA UMAFIA ALITAKA KUWAFANYIA TANAPA WA KUSUBIRIA WANYAMA WENGI WAMEINGIA KWENYE ENEO LAKE HALAFU APIGE FENSI.

Kitaalamu wanyama hawatambui MIPAKA iliyowekwa na binadamu hata kidogo, ndo maana wanyama wanasafiri kutoka Tarangire,wanakwenda Manyara,Ngorongoro, Serengeti na kuishia kenya kabla hawajarudi

Kumbuka huyu Mkoloni serengeti na Mbuga yake hawindi wanayama kama waarabu wa Longido, uhifadhi wa asili hauhitaji feski ndugu

Agenda ya siri kuhusu hyu mkoloni ni story za mtaani tu hakuna kitu kingine ndugu,tayari mshampa pori mwacheni afanye uhifadhi anavyoona yeye, na sio kumpiga majungu
 
What's the reason behind that? (on the red sentence)

I think you have the answer, why dont you ask your own grand farthers along dar city, they are so many there, I think Patels currently are explointing people even more than the way British colonialist used to: does that need someone to remind you MR Raj Patel
 
kitaalamu wanyama hawatambui mipaka iliyowekwa na binadamu hata kidogo, ndo maana wanyama wanasafiri kutoka tarangire,wanakwenda manyara,ngorongoro, serengeti na kuishia kenya kabla hawajarudi

kumbuka huyu mkoloni serengeti na mbuga yake hawindi wanayama kama waarabu wa longido, uhifadhi wa asili hauhitaji feski ndugu

agenda ya siri kuhusu hyu mkoloni ni story za mtaani tu hakuna kitu kingine ndugu,tayari mshampa pori mwacheni afanye uhifadhi anavyoona yeye, na sio kumpiga majungu

mkuu unamtetea sana huyo mzungu.
Je vipi kuhusu miaka 99 ya kumiliki eneo?

Kwa kifupi wewe huwezi amini hayo ninayo sema but jaribu kwenda kuongea na ile jamii kule wadodose na kama una ndugu yako ni askari pale serengeti jaribu kumuuliza atakupa full story
 
mkuu unamtetea sana huyo mzungu.
Je vipi kuhusu miaka 99 ya kumiliki eneo?

Kwa kifupi wewe huwezi amini hayo ninayo sema but jaribu kwenda kuongea na ile jamii kule wadodose na kama una ndugu yako ni askari pale serengeti jaribu kumuuliza atakupa full story

tatizo letu Watanganyika Tunakuwa Wagumu kuelewa

Kwani huyu Mkoloni ndio alitunga sheria ya kumilikia Ardhi kwa miaka 99? kama amepewa Kisheria unataka afanyaje sasa? Swala la mie kwenda nimeshaenda saaa na na hata kuna baadahi ya jamii nazisaidia kuwajengea uweze. tayari serekali yenu mlishmapa Mkoloni ardhi na wanyama amejenga hoteli sasa wananchi wanaoffer nini? Jamaa anahitaji nyama, sukari, chumvi, mboga mboga, receptionist, housekeepers, receptionist JE jamii inayomzunguka inawea kumpa hawa watu??na hayo mahitaji

ni vema mkatumia akili zenu mlizopewa bure na Mungu badala ya kulalama kila mara. hamna uwezo wa kumuondoa huyu mkoloni kwani mlio wakabidhi TAIFA wameshampa eneo amiliki kwa miaka 99. cha msingi saidieni ndugu zenu wanufaike na baishara ambayo huyo Mkoloni anafanya. kama hamuwezi fungeni midomo na waachieni WAKENYA NA WAGANDA wafaidike

usipende kwenda kusikiliza taarifa mtaani na kujariku kuwalazimisha watu wachukulie kama ndo khali halisi
 
Ili tuweze kufaidi rasilimali zetu inabidi tubadilike, Watanzania wengi tumeridhika sana au niseme tunaridhika kwa kupata mlo wa siku nyumba ya kuishi na gari. Ubinafsi ni tatizo kubwa sana, mtu anaona akipaform vizuri kwenye kazi yake anamfaidisha bosi wake, bila kujua ni kwa faida yake mwenyewe na jamii inayomzunguka. Watanzania wengi hawapendi kuumiza vichwa vyao, na wakiona mtu anaumiza kichwa ili afanikiwe au afanikishe anachofanya hawafurahii, hii inasababisha wale waliofanikiwa kutokushirikisha watanzania wenzake kwa kuogopa kuharibiwa. Mfano mzuri ni jinsi baadhi ya watanzania wanaoishi nje nchi wanavyosengenyana badala ya kufikiri jinsi ya kuleta maendeleo nnchini mwao, wengi wanaishia kurudi bila hata kuwa na kitu cha kueleweka nyumbani. Unapofungua biashara yako na ukamuachia mtu aisimamie, huwezi kukuta faida badala yake utakuta madeni, tofauti na mzungu ukimkabidhi biashara yako anajitahidi azalishe faida, maana ni aibu kupata hasara. Kwa ajili hiyo na ndivyo wazungu wengi wanavyotuangalia. Wanapokuja kuinvest kwetu wanakua tayari na huu mtazamo ndio maana tunaishia kuwa wafagiaji na wabeba mizigo. Hotel industry needs committed people, its called hospitality industry. Is not a Joke! we need to change and to help our future generation to change. To let them know Job is life, we are not working because we don`t have something to eat or where to sleep, but working is life. We have to change, we have to accept our weakness and find a way out.
Nimepapasa nikione kitufe cha Thanks bila Mafanikio,Itoshe tu kusema nimependa Mchango wako na wewe Mwenyewe!! We really need to change our attitude towards work,Hard Work is just another name for a better life!!!
 
sasa kamati ya bunge wangeweza kwanza kuweka appointments na sio kuvamia vamia mkuu dhahabu ichimbwe kwa siri ya faida gani? hivi unajua ni mtaji gani wameweka kwa resort hiyo??/ na advertisement expenses??????? bado siko convinced sipingi but siko convinced yet
U dnt necessarily have to be convinced,Its Ok,remain unconvinced,I am convinced!!!
 
mkuu hebu fikiria jambo hili wawekezaji wanaosifika kimataifa wamewekeza kwenye nchi nyingi bila skendo wanakuja kuwekeza kwako, unapeleka kamati ya wabunge, jiulize huu utamaduni wa kamati za bunge kwenda kwenye luxury resorts upo nchi ngapi??????/ je utamlaumu muwekezaji akiwafukuza,wakati uko koote alipowekeza hakukutana na usumbufu huu??????? na hiyo kamati ya bunge ingeleta usumbufu gani kwa watu waliolipia pesa nyingi wapumzike bila kelele?????/ hakuna anaejua,??
Inawezekana pia kwamba hapa kwetu ndiyo wamewekeza kiholela kuliko sehemu zote,inawezekana kabisa kwamba hapa wanafanya Wizi mkubwa kwa mujibu wa Historia ya Wawekezaji wa Nchi hii!! Mtu asiye muhalifu na ambaye hana cha kuficha hana sababu ya kuwakwepa wawakilishi wa Wananchi au kuwa na Majivuno kiasi cha kuwafungia Nje!!!
 
tatizo letu Watanganyika Tunakuwa Wagumu kuelewa

Kwani huyu Mkoloni ndio alitunga sheria ya kumilikia Ardhi kwa miaka 99? kama amepewa Kisheria unataka afanyaje sasa? Swala la mie kwenda nimeshaenda saaa na na hata kuna baadahi ya jamii nazisaidia kuwajengea uweze. tayari serekali yenu mlishmapa Mkoloni ardhi na wanyama amejenga hoteli sasa wananchi wanaoffer nini? Jamaa anahitaji nyama, sukari, chumvi, mboga mboga, receptionist, housekeepers, receptionist JE jamii inayomzunguka inawea kumpa hawa watu??na hayo mahitaji

ni vema mkatumia akili zenu mlizopewa bure na Mungu badala ya kulalama kila mara. hamna uwezo wa kumuondoa huyu mkoloni kwani mlio wakabidhi TAIFA wameshampa eneo amiliki kwa miaka 99. cha msingi saidieni ndugu zenu wanufaike na baishara ambayo huyo Mkoloni anafanya. kama hamuwezi fungeni midomo na waachieni WAKENYA NA WAGANDA wafaidike

usipende kwenda kusikiliza taarifa mtaani na kujariku kuwalazimisha watu wachukulie kama ndo khali halisi


Nimefuatilia sana haya mahojiano kwa kiasi kikubwa, nimeangalia majibu yako kwa kina sana. Ukweli nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana, although kuna vitu hukuwaelimisha watu. Ukweli unabaki pale kwamba serikali kwa upande wake haijajenga mazingira ya uwezeshaji kwa wananchi wake. kwa mfano.
1. Unatarajia upate mzawa na hasa anaezunguka eneo husika la Hotel kuwa receiptionalist wakati shule aliyosomea tangu darasa la kwanza haina facilities zozote kama vitabu na walimu wa kiingereza?
2. Kuna kwenye suala la what to offer, shida huwa inaanzia kwenye basic information namna ya kuzipata kujua nini kinataka kufanyika (Project gani inataka kufanyika mahali hapo), matokeo yake wengi tunaona mjengo umesimama, hujui ni biashara gani inataka kufanyika mahali hapo.....ukija kustuka unaambia hotel au resort ya kifahari. Sasa kwa mazingira hayo ni lini watu watafanya maandalizi kwa ujio wa miradi kama hii. Most vitu vinafanywa kama siri wala hakuna ulazima kwa kufanya hivyo. Sitarajii mtu pale kijijini aweze kuwa mwepesi kujua nini kinaendelea katika maenoe yanayomzungua kwa maana ya kuanza kujiandaa kutumia vema hizo fursa.

Jambo lingine ambalo nakuona kama huwatendei haki watanzania bila kujali wewe ni mtanzania au wa taifa gani, huwezi kusema kwamba hatuna watu wenye uwezo huo...la hasha. Kama tunaweza kuwa nawatu wanafanya kwenye mahotel makubwa ya 5 star huko Qatar, Dubai na Abu Dhabi iweje hapa kwetu? Mbona ni hao hao wakenya tunaowasifia sana tumeona kwa macho yetu wakifanya kazi za ufagiaji, kutandika, kulinda na kufua huko kwenye mahotel na hata shughuli zingine mataifa mengine? Nadhani ni makosa makubwa kubeza uwezo wetu, na hii naiona kama stigmazation hasa inayofanya na wengi wetu ambao tayari wamepata vifursa na wakajiona/kujitofautisha na watanzania wengine. Hii haikubaliki hata kidogo. Tubadirike sana waungwana na tuthamini sana utanzania wetu na kila tulichonacho, tubaki kulaumu tu utawala ambao hauandani mazingira mazuri kwa wananchi wake.
 
Jambo lingine ambalo nakuona kama huwatendei haki watanzania bila kujali wewe ni mtanzania au wa taifa gani, huwezi kusema kwamba hatuna watu wenye uwezo huo...la hasha. Kama tunaweza kuwa nawatu wanafanya kwenye mahotel makubwa ya 5 star huko Qatar, Dubai na Abu Dhabi iweje hapa kwetu? Mbona ni hao hao wakenya tunaowasifia sana tumeona kwa macho yetu wakifanya kazi za ufagiaji, kutandika, kulinda na kufua huko kwenye mahotel na hata shughuli zingine mataifa mengine? Nadhani ni makosa makubwa kubeza uwezo wetu, na hii naiona kama stigmazation hasa inayofanya na wengi wetu ambao tayari wamepata vifursa na wakajiona/kujitofautisha na watanzania wengine. Hii haikubaliki hata kidogo. Tubadirike sana waungwana na tuthamini sana utanzania wetu na kila tulichonacho, tubaki kulaumu tu utawala ambao hauandani mazingira mazuri kwa wananchi wake.
Hapo nakuunga mkono, hii imekua too much (wakenya this, wakenya that)... We already know, we don't need to be reminded all the time. Kuna wakati mtu anasema eti wakenya wako vizuri kwenye issue flani, kumbe wapi....
 
Nimefuatilia sana haya mahojiano kwa kiasi kikubwa, nimeangalia majibu yako kwa kina sana. Ukweli nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana, although kuna vitu hukuwaelimisha watu. Ukweli unabaki pale kwamba serikali kwa upande wake haijajenga mazingira ya uwezeshaji kwa wananchi wake. kwa mfano.
1. Unatarajia upate mzawa na hasa anaezunguka eneo husika la Hotel kuwa receiptionalist wakati shule aliyosomea tangu darasa la kwanza haina facilities zozote kama vitabu na walimu wa kiingereza?
2. Kuna kwenye suala la what to offer, shida huwa inaanzia kwenye basic information namna ya kuzipata kujua nini kinataka kufanyika (Project gani inataka kufanyika mahali hapo), matokeo yake wengi tunaona mjengo umesimama, hujui ni biashara gani inataka kufanyika mahali hapo.....ukija kustuka unaambia hotel au resort ya kifahari. Sasa kwa mazingira hayo ni lini watu watafanya maandalizi kwa ujio wa miradi kama hii. Most vitu vinafanywa kama siri wala hakuna ulazima kwa kufanya hivyo. Sitarajii mtu pale kijijini aweze kuwa mwepesi kujua nini kinaendelea katika maenoe yanayomzungua kwa maana ya kuanza kujiandaa kutumia vema hizo fursa.

Jambo lingine ambalo nakuona kama huwatendei haki watanzania bila kujali wewe ni mtanzania au wa taifa gani, huwezi kusema kwamba hatuna watu wenye uwezo huo...la hasha. Kama tunaweza kuwa nawatu wanafanya kwenye mahotel makubwa ya 5 star huko Qatar, Dubai na Abu Dhabi iweje hapa kwetu? Mbona ni hao hao wakenya tunaowasifia sana tumeona kwa macho yetu wakifanya kazi za ufagiaji, kutandika, kulinda na kufua huko kwenye mahotel na hata shughuli zingine mataifa mengine? Nadhani ni makosa makubwa kubeza uwezo wetu, na hii naiona kama stigmazation hasa inayofanya na wengi wetu ambao tayari wamepata vifursa na wakajiona/kujitofautisha na watanzania wengine. Hii haikubaliki hata kidogo. Tubadirike sana waungwana na tuthamini sana utanzania wetu na kila tulichonacho, tubaki kulaumu tu utawala ambao hauandani mazingira mazuri kwa wananchi wake.

Mkuu

Naomba uelewe mie ni Mtanganyiaka wa kuzaliwa na nimesoma na kishi Tanganyika muda wote. Kna tatizo miongoni mwetu sie Watanganyiaka hattaki kuambiwa ukweli. na hili ndio linatfanya kila kkicha hatishii kulalama
Nacho kiandika nina hakika nacho, swala la professionals Kwa wa HOSPITALITY tunao wachache saana, Kumbuka Kenya wana chuo kinaitwa KENYA UTALII COLLAGE TANGIA MIAKA YA 80 NA KILIJENGWA KWA MSAADA WA WA SWISS, tatanzania nasikitika kukambia mapaka sasa hatuna chuo ambacho kinazalisha hawa wat ambao wanaweza kajiriwa na kfanya kazi kwa ufasaha kwenye mahoteli makubwa. Tofauti na kenya kenya mwanafnzi anayemaliza kenya talii collage anaweza ajiriwa na kpewa inhouse training ya siku chache, na kuanza kuchapa kazi)

SEREKALI ya Ufaransa mwaka nadhani 1999 walitoa msaada kwa serekali ya tanzania kuwajengea chuo cha kisasa cha utalii,kwa sasa miaka imeshazidi kumi kutokana na ukiritimba wa serekali mpaka leo chuo hakijaanza ( kwa kulisemea hili ni kukosa uzalendo). sasa hao wataalau unaowazungumzia unataka watoke wapi, VETA wanajitahidi wamejenga chuo kikubwa arusha lakini bado mpaka waweze kutoa wanafunzi waziuri itachukua muda

Swala la kwamba miradi inajengwa hampewi taarifa, hili ni swala ambalo liko ndani ya uwezo wenu, Mkiona mradi upo kwenye maeneo yenu kwanini msiwafuate wenye mradi mkawaomba taarifa, au hata kumuliza Mbunge wenu, wenyeviti wa vijiji, kwa kiasi kikubwa wanapewa taarifa.

Kumbuka Tanganyika ya leo sio taifa tena la kijamaa, Usitegemee serekali iwafanyie kila kitu, kama unawatoto usitegemee serekali ikusomeshee bure na kukutafutia kazi. Tembelea hata mbuga za karibu hapo kenya ungalie namna gani jamii zinazozunguka hizo mbuga zinachangamkia fursa mabili mbali zinazojitokeza

mkielezwa ukweli mnaanza lalama watu hawana uzalendo
 
Back
Top Bottom