TANZIA Wakili mtetezi wa ICTR Prof. Jwani Mwaikusa auawa Tanzania

yawezekana kitendo cha kuchukua upande kinyume na uliopigiwa debe na wakuu ulikuwa ni kujitia kitanzani? itabidi na wengine waanze kufikiria misimamo yao.

Mwanakijii hapa Bongo kama ukiwa intellingent hapakufai. Nawashauri nyie mlio intellingent mkae huko huko majuu, otherwise ni kujitafutia matatizo, kingine ni kuwa kimya kuwa kama zuzu ukiona mambo yanaenda ovyo kaa kimya tu.
 
jamani mi nataka tu jina la mtoto wake maana nawafahamu wote pamoja na mzee wao alikuwa poa sana enzi hizobado wanapoa mlimani!!jamani naomba jina tafadhari la huyo mtoto!!
 
yawezekana kitendo cha kuchukua upande kinyume na uliopigiwa debe na wakuu ulikuwa ni kujitia kitanzani? itabidi na wengine waanze kufikiria misimamo yao.

Huu ni ujambazi wa kawaida tu nadhani. Tuone polisi wetu watalifanyiaje kazi hili. Lile la yule wakili rafiki ya Mkapa walilifanyia kazi kwa spidi ya ajabu.
 
jamani mi nataka tu jina la mtoto wake maana nawafahamu wote pamoja na mzee wao alikuwa poa sana enzi hizobado wanapoa mlimani!!jamani naomba jina tafadhari la huyo mtoto!!

Naona na wewe ni mitaa wa Darajani, maana ndiko alikokuwa anaishi marehemu miaka ya 80 mwishoni mpaka miaka 90. Ninawafahamu vijana wake watatu na nilikuwa interested kufahamu ni kijana yupi kati ya hao.

RIP Jwan
 
bungeni muda huu, mwenyekiti wa Bunge Job Ndugai ameliarifu Bunge taarifa rasmi ya kifo cha profesa, mwenyezi mungu amrehemu kwa haki na apumzike kwa amani, amina
 
Kwa maoni yangu kifo chake kimekuja late i was for long time waiting to hear who will be first to be eliminated, sad to see it is him, na kitanyamazisha wengi. Lakini wenye akili wanajua ni nani wamemuua na wasio na akili pia wanajua kuwa si majambazi, bado hatujaambiwa kuwa wameiba nini kama kweli ni majambazi, na lengo la mauaji bado "halijulikani". Tusubiri taarifa zitakazotolewa usikie unafiki wa sisi watanzania.
Kwanza utasikia alikuwa msomi hodari, alitetea katiba kwa moyo wote, tumesikitishwa sana na kifo chake, jeshi la polisi litafanya uchunguzi na wahusika watachukuliwa hatua kali. It will end there.

Mbona uko kama unajua syndicate fulani iliyohusika.

Nadhani tunakosa taarifa kamili kuhusu mauwaji haya kama walipora kitu au la. kama hawajapora huenda ni mpango mwingine zaidi ya ujambazi. Lakini kitendo cha mashambulizi ya majambazi pale pale getini kinaweza kuzuia zoezi la uporaji maana huenda walitaka kumchukua kimya kimya na wakawa forced kumpiga risasi na kuharibu mpango mzima.

Pia Mwanakijiji ametuambia aliwahi kushiriki katika mambo ya mahakama ya Rwanda. Hawa jamaa wana chuki sana na kwa upande wowote aliokuwa tofauti nao wanaweza kufanya chochote potelea mbali mambo mengine ya Ki-TZ.

RIP Prof. Tutakukumbuka kwa kutetea katiba na uhuru halisi wa Mtanzania kupitia shauri la Mgombea binafsi
 
RIP Prof Mwaikusa..nilimfahamu pale alipoonyeshaa msimamo wake katika rufani ya mgombea binafsi..

huyu aliheshimu taaluma yake na utu wake kwa manufaa ya jamii yakee. inasikitisha sana kumpoteza ila nawapa pole sana familia, ndugu na jamaa zake katika kipindi hiki kigumu.

sitashangaa Mh Raisi huenda akahudhuria msiba...ni kawaida yake..
 
Poleni wafiwa kwa wakati huu mgumu na Mwenyezi Mungu awape Moyo wa subira, RIP Prof. Mwaikusa. Majambazi wamezidi period!! Kwa yanayotekea Mbezi Temboni/Msuguri na maeneo mengine sitashangaaaa hata kidogo.
 
Tunaposema ni majambazi inamaanisha tutayari tumeshakubaliana na hali halisi, mara nyingi mauaji ya namna hii huwa yamepangwa mapema. Kwani kama walikuwa ni majambazi kwanini walikaa pale nje wakimsubiri Prof. arudi? habari si inasema kuwa mwanae alikuwa ndani na alipotoka nje ili atoe msaada naye akauwawa pia? Hivi kama ni majambazi kwanini hawakuingia ndani mapeeema na kumaliza shughuli zao kabla Prof. hajarudi????

Wanacheza na akili za watu, hii ni assasination na wala haina tofauti sana na ile assasination attempt ya kumuua Gen. Nyamwasa kule South!
Siwezi ku-conlude kama ni mambo ya kisiasa ama visasi vingine lakini mimi binafsi naamini sio ujambazi/uporaji/wizi...:fish2:

R.I.P PROF. J. MWAIKUSA
 
Kwa maoni yangu kifo chake kimekuja late i was for long time waiting to hear who will be first to be eliminated, sad to see it is him, na kitanyamazisha wengi. Lakini wenye akili wanajua ni nani wamemuua na wasio na akili pia wanajua kuwa si majambazi, bado hatujaambiwa kuwa wameiba nini kama kweli ni majambazi, na lengo la mauaji bado "halijulikani". Tusubiri taarifa zitakazotolewa usikie unafiki wa sisi watanzania.
Kwanza utasikia alikuwa msomi hodari, alitetea katiba kwa moyo wote, tumesikitishwa sana na kifo chake, jeshi la polisi litafanya uchunguzi na wahusika watachukuliwa hatua kali. It will end there.
Mh... Mtu akifa lazima manabii na wabashiri wajitokeze.... I am not crushing wenye hisia za siasa/intellijensia lakini naona tumekua mabingwa wa kuwapa polisi likizo kwa ku-conclude mambo

Nakumbuka Lau Masha alisema wameshajipanga kudhibiti ujambazi, sasa sijui na hili atasemaje

RIP Malafyale.... KIbaya zaidi ni kwamba familia imepoteza Baba na mtoto... na jirani pia, huu ni msiba mkubwa
 
Mwenyezi awatie nguvu wafiwa wote,ni kweli tujuzeni hao majambazi waliiba kitu gani,pesa mali au nini?au geresha gani waliondoka nayo,au ndo wale majambazi wanalipiza kisasi either kwa kutumwa kutokana na chuki za kibinadamu.
siwezi amini kama Prof alikua na millions ndani kwake km target

ila huu ujambazi unatutesa sana bongo!!hukai kwa raha wala amani
 
Back
Top Bottom