Tanzanian Govt to protect jobs for citizens despite EA Common Market

Kwa sasa tu tayari haiwezi kudhibiti hao wageni na ajira walizonazo hapa nchini. Mfano mzuri ukienda migodini na kwenye mahotel ya kitalii utakuta wageni kibao kutoka Africa Kusini na Kenya.Wanaitwa Ma-Expat cha ajabu utakuta baadhi yao hawajui kusoma wala kuandika na waanlipana mishara mikubwa sana kuliko wazawa + Manyanyaso.
Haya makubaliano mengine yamafanyika kisiasa sana na hakuna utafiti wa Kitaalamu. Na pia naamini hata kama kuna utafiti wa kitaalamu, wenye mapendekezo mazuri, unaweza kupingwa na usifuatwe. Kwani siasa na mwanasiasa, wana uwezo wa kuharibu mawazo ya wataalamu

Uyasemayo ni kweli kabisa. Kuna sehemu nyingi ambazo hawa jamaa wanajichimbia na hakuna anayejali. Mifano ipo mingi.
 
Kwa mtaji huu wa kutokuwa na uwezo wa kudhibiti wageni kwa Serikali na utiaji siani mikataba yenye madhara kwa watanzania, natabiri umwagaji damu kati ya watanzania wazawa na wageni...it will be tragic! Naona hata haya makimbizi tuliyoyasemesha bure kwa hela yetu yanatusaliti ili tuuingie mkenge kwa kuungana na nchi zao walizozikimbia wenyewe bila ridhaa yetu. Patachimbika hapa!
 
Tukiangalia nchi za EU. Utaona kila nchi wanalinda watu wao. Haiwezekani ukapata kazi kwenye nchi za watu wakati wazawa wamekosa. Hiyo ni ngumu. Mfano hapa Sweden, hata Ujerumani haiwezekani mzawa akakosa kazi halafu wewe mgeni upate. Hawa wamefanikiwa kwa sababu wanautaratibu mzuri wa utambuzi wa watu wanaoingia na kutoka, wanafanya nini na wako wapi. Hata biashara (I mean establishment) zao nyingi zimesajiriwa.

Tatizo kwetu ni utaratibu wa utambuzi na usajiri.
 
Ha ha urongo mtupu. Sisi Wa Kenya tu nashida zetu na sasa kinacho tusumbua
ni katiba mpya na hakuna chochote kikubwa kati ya Kenya na Tanzania.

They are neighbors and no that big trade in between them which is a big shame.

Only a very very small number of Kenyans ever thinks or would have any
connection with Tanzania or Uganda or anywhere.

Kenya is a country with different kind of people and people in this forum love
misleading others that all that Kenyans cares or keep thinking about ati Tanzania all the time.

Yes Tanzania has always been trying to be very protective but i do not see
what is being protected.

This might be a problem but let me assure all that this might be a problem to a very very small number
of Kenyans.

This has got nothing to do with more than 90 something % of Kenyans.

This is what broke the first East african community.

Wivu mashindano na chuki isio na faida yeyote.

The countries are trying to come together again, by their own volitions.

No one is dragging Tanzania into this. The countries have learned from themselves
and others that this is the best option for them and the generations to come.

As in any family, there is always some kind of competitions among the brothers
or sister na hapa mashindano huleta wivu na chuki isiyo na maana ama faida yeyote.

Tanzania is the biggest brother in Eastern Africa (that's why ndugu Kikwete walked
on the streets of Nairobi for four days and said he would not go back home until
there was peace in Kenya in 2007) but a little weaker economically.

So the second brother, Kenya has some kind of strength na ungomvi starts
from this point.

The third brother Uganda, has no problem with Kenya and there is no any mistrust of
any kind between them.

Infact the other day, there was a launch of the Citizen Television in Kampala and people
are watching the same programmes in Nairobi and Kampala.

The launch of this TV station was attended by a very powerful delegation from the
Uganda governments.

The citizen tv is in the Royal media, a company owned by a Kenyan.

So mambo ati uwizi ni siasa tuu kwani ni wapi ampapo hakuna uwizi hata Saudia kule
hukata watu mikono wakiiba?

Kwahivyo hakuna jela Tanzania sababu hamna wezi?

Infact, there has always been more trade between Kenya and Uganda than is there
between Tz and Kenya.
 
Sidhani serekali ya CCM ina uwezo wa kulinda ajira za waTanzania.Tatizo la serekali ni kuweka siasa kwenye kila kitu,
[1] Tumeweka siasa kwenye elimu kiasa kwamba vijana wetu hawawezi kushindana kwenye soko la ajira la EAC.Kibaya zaidi hakuna mkakati wa muda mfipi na mrefu wa kukabiliana na hii hali ya kudhalilika ndani ya jumuiaya ya EAC.Tanzania haitaweza kulinda ajira za wananchi wake kwa muda mrefu lazima mikakati iwekwe sasa kuhakikisha tunapunguza kama sio kumaliza kabisa hili tatizo.

[2] Tumeshindwa kuwadhibiti wachina wanaotoka maelfu ya kilometer sidhani kama tutaweza kuwadhibiti majirani zetu wanaotuzunguka kitika mipaka yetu yote.Wanasiasa wetu hawako kwaajili ya wananchi bali wako kwaajili ya kujineemesha wao na familia zao.
 
Current world does not operate in isolation, Tanzania is part of the world is no exempt from rules of the world, Tanzanias have to play by the same rules whether we like or not. The rules are open borders, open borders, open MIND.

Tanzanians let us not deceive ourselves or by politicians seeking few votes in the general election.

No one can protect our jobs, business or whatever,except we ourselves through being competitive enough and beat anybody be fellow Tanzanians or foreigners. There so many ways to keep at bay foreigners, be good at whatever you do. Action speaks louder and very soon, no one can ignore your presence if you are adding value to society.

Why should a foreigner be good at our own house? Tanzania is our mother country , anyone serious enough to desire to make a decent living can do so without government protection. Remember it is not the government that created this country or created Tanzanias or economical opportunity, therefore big brother has no obligation to protect her citizen against competition from foreigners when it comes to jobs or business.

Seeking for protection from a government is tantamount to admitting incorrect view that Tanzanians are incapable of anything unless a government keep them under.

Incorrect view of protectionism has brought this country unexplainable woes and made a lot of crybabies, as a destiny child I do not belong to crybabies label.
 
Newazz and Ngongo,

Don't lump the rest of Tanzanians with our rulers: don't try to justify EAC to us, because you know it is lies, and you think we are that dumb to accept them. Why aren't you talking about IGAD?

We stay in SADC.

Pretending EAC is the only way for cooperation is insulting our intelligence.

Just continue with EAC dragging our beloved leaders, but not in our name.

Respect.

Mlenge
 
Current world does not operate in isolation, Tanzania is part of the world is no exempt from rules of the world, Tanzanias have to play by the same rules whether we like or not. The rules are open borders, open borders, open MIND.

Tanzanians let us not deceive ourselves or by politicians seeking few votes in the general election.

No one can protect our jobs, business or whatever,except we ourselves through being competitive enough and beat anybody be fellow Tanzanians or foreigners. There so many ways to keep at bay foreigners, be good at whatever you do. Action speaks louder and very soon, no one can ignore your presence if you are adding value to society.

Why should a foreigner be good at our own house? Tanzania is our mother country , anyone serious enough to desire to make a decent living can do so without government protection. Remember it is not the government that created this country or created Tanzanias or economical opportunity, therefore big brother has no obligation to protect her citizen against competition from foreigners when it comes to jobs or business.

Seeking for protection from a government is tantamount to admitting incorrect view that Tanzanians are incapable of anything unless a government keep them under.

Incorrect view of protectionism has brought this country unexplainable woes and made a lot of crybabies, as a destiny child I do not belong to crybabies label.

Kitu unachosahau kutazama hapa ni ukweli kwamba hakuna nchi yeyote duniani inayoendelea kwa juhudi binafsi tu za wananchi bila serikali kueka misingi ya hayo maendeleo. Umuhimu wa mipango sahihi ya serikali ni paramount ktk maendeleo ya nchi kiujumla. Individual mmojammoja anaeza kufaulu kwa juhudi zake ktk some extent lakini hii sio standard way of success. Hatutaki wala hatutazami kufaulu kwa mtu mmojammmoja, lazima kuwepo na system ya kuwawezesha waTz wote kufaidika.

Kuachia mambo yaende hobelahobela na kila mtu aje kuchuma kwenye 'shamba la bibi' is far disastrous. Hivo cha kufanya hapa ni kuendelea ku-push hawa jamaa walioko kwa ofisi za kisiasa waone umuhimu wa hiki kitu, hata kaa wanaongea politically it is our best interest kuona mambo ya kulinda ajira za wazalendo yanapewa kipaumbele na uzito unaotakikana.
 
If we are going EA way, there is no need why the Tanzanian government will have to protect their workers and yet the government in Uganda does nothing to the Tanzania who will flock here.

There are many people looking for jobs vacancies in Uganda as their who are looking for jobs in Tanzania. So let it be fair. Why are the Tanzanians sacred.
 
If we are going EA way, there is no need why the Tanzanian government will have to protect their workers and yet the government in Uganda does nothing to the Tanzania who will flock here.

There are many people looking for jobs vacancies in Uganda as their who are looking for jobs in Tanzania. So let it be fair. Why are the Tanzanians sacred.
Dude, have u studied the protocol? I doubt not.
 
I doubt this

and am tired of such feel good stories, which mean nothing to the real people being affected'
its such research that makes govts justifiy themselves yet nothing is being done. Besides the guys already agreed to the treaty; and can only go a few steps in ' protecting' it citizens

why doesnt it start with fixing the educatiobn problems the country is facing so that the future generation don't have to worry about false competition
I don't think Kenyans / Ugandans are any smarter... but I think they have a more realistic education system
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom