admissionletter
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 329
- 157
Wadau nawapatia picha yangu ya Souvenir ya Uchaguzi wetu was 2010. Nawatakia kila la heri mnapotumia haki yenu a kupiga 'kula'!
Imetulia sana, nawashauri mwanahalisi iwe front page next issue, watauza sana!!!
Sawa Coby na wewe saidia kuisambaza hii souvenir iwafikie wengi. Nimemtumia Michuzi aweke kwenye blog yake kakataa!
Mtumie Mzee wa Matukio daima na karibu ughaibuni. Vilevile isambazwe kwenye anuani za baruameme.Michuzi hawezi kuiweka hiyo kwenye blog yake kwani jamii ya hao hao ndio wanaomuweka hapa mjini!!
Mtumie Mzee wa Matukio daima na karibu ughaibuni. Vilevile isambazwe kwenye anuani za baruameme.
Kila moja aifanye kuwa sovenior yake!
sasa amekataa kwa nini, naye ni mmoja wao nini!Sawa Coby na wewe saidia kuisambaza hii souvenir iwafikie wengi. Nimemtumia Michuzi aweke kwenye blog yake kakataa!
nayo hii imekaa mwake mwake. yaani inaongea zaidi ya maneno elfuOngeza na haka kapicha kama kuna nafasi
Wadau nawapatia picha yangu ya Souvenir ya Uchaguzi wetu was 2010. Nawatakia kila la heri mnapotumia haki yenu a kupiga 'kula'!
Ongeza na haka kapicha kama kuna nafasi
sasa amekataa kwa nini, naye ni mmoja wao nini!
Wadau nawapatia picha yangu ya Souvenir ya Uchaguzi wetu was 2010. Nawatakia kila la heri mnapotumia haki yenu a kupiga 'kula'!
Ongeza na haka kapicha kama kuna nafasi