LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Poa tu, kwanza tanzania yenyewe ishakuwa shamba la bibi, kila mtu anavuna kwa wakati wake!
We don't need'em!Ukiona hivyo basi ujuwe wanaweza kuwasaidia "waasi wa Tanzania" endapo watakuwepo.
Msimamo wa vyama vya upinzani kwenye hiyo issue ukoje?
Ama mjadala huu ni wa wana CCM?
. m7 aje azomewe?Hawakuona Umuhimu wa kuja kusherekea! Hata M7 hajaja! wameichoka Tanzania.
We don't need'em!
And definately we don't need people like you!!
Bring it on!!
And let them punks try us.
Don't use your thought as conclusion my friend..watu wanaona ni uzindaki, ubakaji na ufisadi wa kodi za wananchi wao ndio maana hawajaja unadhani rais wa nchi kwenda nchi nyingine ni mchezo nini? eti kwenye sherehe za Uhuru wa tanganyika nchi na jina ambalo lishazikwa ni uwendawazimu...haikutakiwa hata wawakilishi wao kuja kwani ni ufujaji wa mali ya uma wao...na hawa wanaojiita wapigania uhuru walipigana na nani na vita hiyo ilikuwa na madhara gani kwani nijuavyo mimi hatujamwaga damu kudai uhuru sasa hao wapiganaji ni wapi? nijuzeni wataalamu wa
Bora hawajaja,wemepungu za gharama
Kaka usiende mbali sasa,
Hata Mwalimu Nyerere mwenyewe angekua hai angealikwa nadiriki kusema kwaa uhakika kwa Mchonga asingetokea kwa jinsi TULIVYOJITUTUMLISHA NA SHEREHE ZA KIFAHARI ya siku moja katika bahari ya umasikini wa zaidi ya miaka 50 kwa kutumbua Tshs 50 bn/-.
Wenye kuumwa na umasikini wa nchi ndio hivo hawapo tena kila siku ni sherehe tena yaa kukata na shoka huku hata na Ka-Rwanda kanatukimbia kabisa kiuchumi leo hii.
Ukiona mtu mzima anakosa patriotism huwa anatia hasira sana!SOBY,
Taratibu mkuu!! Hizi kauli za SAUTI YA BATI si kawaida yako hata kidogo kwani imekuaje leo au ndio matokeo ya bia za bure Magogoni Mkuu??
Mtu ukiwa na hoja tena yenye mashika kama za wenzetu Mzee Mwanakijiji, William Malecela au Mchambuzi wote wa hapa JF, wala huhitaji kupiga kelele na hoja yako itasomeka tu.
Leo nimeshindwa kushangaa kuona ni kwanini maraisi wa baadhi ya nchi hizo hawajona umuhimu huo na kuja kujumuika nasi kusherehekea miaka 50 ya Tanganyika yetu kama sisi tuliovyoona umuhimu wa utu wao katika kuwasaidia kupata uhuru wao?
1. Je hatuna maana kwao na thamani pia
2. Hatuaminiki na hatuna tena mchango kwao
3. nk
Wadau nisaidieni kutatua changamoto ndani ya kichwa changu