Wengi wa viongozi waalikwa kutoka kwenye mataifa marafiki wa Tanzania waliohudhuria kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ni wawakilishi wa marais wa nchi watokazo.Hakuna rais hata mmoja kutoka jumuiya ya Afrika ya mashariki.Je hii ina maana gani kwenye heshima yetu nje ya nchi?
Sidhani kama wote walikuwa wamebanwa kwa shughuli za nchi zao kiasi cha kushindwa kuhudhuria jubilei yetu
Sidhani kama wote walikuwa wamebanwa kwa shughuli za nchi zao kiasi cha kushindwa kuhudhuria jubilei yetu