Baada ya kufanikiwa kufuzu mashindano ya CHAN ,Tanzania imepanda juu kwa nafasi sita juu zaidi
Kutoka nafasi ya 105 hadi ya 99
Keep it up MAXIMO hadi tuingie kwenye top 50
What I do believe is: TUNAWEZA!
Msimpongeze Maximo pekee, hata Tenga kwa kutokuwa na mizengwe kama ya waliomtangulia. Waliigeuza FAT (enzi hizo) shamba la bibi!
hiyo imekaa freshiBaada ya kufanikiwa kufuzu mashindano ya CHAN ,Tanzania imepanda juu kwa nafasi sita juu zaidi
Kutoka nafasi ya 105 hadi ya 99
Keep it up MAXIMO hadi tuingie kwenye top 50
In fact the congrats should go way up to big guy, I mean JK
Hapo umenena mkubwa,bila JK kufanya mpango wakumleta Maximo yanayotokea sasa kwa Stars yangekuwa ni ndoto
Originally Posted by Roya Roy
In fact the congrats should go way up to big guy, I mean JK
Originally Posted by Balantanda
Hapo umenena mkubwa,bila JK kufanya mpango wakumleta Maximo yanayotokea sasa kwa Stars yangekuwa ni ndoto
Kwa hiyo ametimiza moja ya ahadi zake alizotoa 2005 za kuinua kiwango cha soka nchini?
Haya mpeni kura ya ndio 2010 aendelee kula na mafisadi.
I agree, but msitusahau na sisi washangiliaji!!! wadau wako wengi sana!!!
kwa hiyo ametimiza moja ya ahadi zake alizotoa 2005 za kuinua kiwango cha soka nchini?
Haya mpeni kura ya ndio 2010 aendelee kula na mafisadi.
Huwezi ukaseparate ujio wa Maximo na ilani za CCM. Hiyo ilikuwa kwenye ilani yake...na pengine ndiyo iliyowaconvince wanamichezo wakampigia kura. Asingeukwaa Urais asingeweza kumleta Maximo, uongo?
What I do believe is: TUNAWEZA!
Msimpongeze Maximo pekee, hata Tenga kwa kutokuwa na mizengwe kama ya waliomtangulia. Waliigeuza FAT (enzi hizo) shamba la bibi!
vile vile Kondic wa Yanga kusaidia 90% ya kikosi cha kwanza... naua wengine hawatapenda...