Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Jana nilikuwa natazama mahojiano baina Mheshimiwa B Membe na Marin Hassan wa TBC1 kuhusiana na jaribio la mauaji Lt General Faustin K Nyamwasa.
Mheshimiwa B Membe alisema serekali imestuswa sana kusikia miongoni mwa watuhumiwa wa jaribio la mauaji ya Lt General F K Nyamwasa wapo watanzania wawili.Kuhusiswa raia wa Tanzania kwenye jaribio la mauaji ya Lt Gen Nyamwasa kumechafua sana sifa ya Tanzania kimataifa
Serekali ya Tanzania imetuma ujumbe mzito[ulinzi & Usalama] kwenda Afrika kusini kuchunguza uraia wa watuhumiwa hao.
Mheshimiwa B Membe alisema serekali imestuswa sana kusikia miongoni mwa watuhumiwa wa jaribio la mauaji ya Lt General F K Nyamwasa wapo watanzania wawili.Kuhusiswa raia wa Tanzania kwenye jaribio la mauaji ya Lt Gen Nyamwasa kumechafua sana sifa ya Tanzania kimataifa
Serekali ya Tanzania imetuma ujumbe mzito[ulinzi & Usalama] kwenda Afrika kusini kuchunguza uraia wa watuhumiwa hao.