Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa tamko rasmi la kutomtambua Laurent Bagbo na kumtaka aondoke madarakani kwa hiari yake na kumuachi madaraka mshindi halari wa kiti hicho bwana ALLASANE QUATTARA. Hayo yamesemwa na waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Bernard Membe.
Source: BBC idhaa ya kiswahili
Source: BBC idhaa ya kiswahili