Baada ya Algeria kuilaza Morocco 1-0, sasa kundi D limekuwa ni kundi la kifo, kwani timu zote sasa zina point nne baada ya kucheza mechi tatu kila moja. Msimamo wa kundi d la CAN 2012 qualifiers upo hivi sasa:
mipango madhubuti ya TFF kuendeleza soka la nchi yetu ndio itatusaidia kunyanyua kiwango tulicho nacho.
kwa sasa hata tukifuzu bado inakuwa ni kwa kuunga unga tu
Kazi bado tunayo WaTZ, nadhani ingekuwa poa tusingepoteza ile mechi ya Morroco nyumbani. Mungu atatusaidia tushinde mechi moja, draw 1 na hata tukipoteza moja tunaweza kufuzu kwa nafasi ya pili au ya kwanza.
Nafikiri pointi tutakazoishia nazo ni hizo hizo,hakuna dalili ya kuongeza,jamaa watatukamua mechi zijazo.Timu hii ya akina sharobaro Samatta mbado sana.Kocha hamna mipango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.