Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Hii ni kutoka chanzo kimoja cha habari,chanzo kilidai kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza kuwa na demokrasia nzuri kati nchi tano za jumuiya ya Afrika Mashariki,na ni ya 90 duniani,je! Kuna ukweli hapa? TAFAKARI CHUKUA HATUA.