bface
Senior Member
- Dec 22, 2010
- 128
- 19
My Tanzania inaniuma sana Mimi Kama mzawa kuona nchi yangu inazidi kudidimia, kila kitu kinachukuliwa na wajanjawajanja wakati c tukibaki down, take a look even Burundi fedha Yao ipo juu,, I made an exchange tsh 1000 ya Tz nilipewa sh 700 nchi inayopigana daily,, let's wake up ladies en gents to make revolution changes will come btn us!!! It's pain