Tanzania yakataliwa kuuza pembe za ndovu!

Ni kweli, tatizo hapa mfanyabiashara ni huyo huyo serikali ingekuwa ni mali ya mtu zingechomwa sasa kitakachotokea kama watashindwa rufaa wanayotaka kukata tutaambiwa zimeshachomwa zote kumbe labda ni tani 2 tu zilizochomwa mbele ya waandishi wa habari na mabalozi wa nje

Lakini cha kujiuliza hapa kwa nini serikali inataka kufanya biashara haramu?

ili ipate pesa haramu za kugharamia uchaguzi,na kupanga mikakati ya wizi wa kura..2015.
 
Very good the supposed accruals might never do the rightful! Too many big fishes with greedy appetites!!! Let the ivory go stale rather than let a few get away with the valuable natural wealth which is supposed to be shared by all. Allowing the ivory to be sold would lead to more killings of our elephants for more stocks to be rid of in the same manner in the future. THE IVORY TRADE SHOULD BE BANNED FOREVER AMEN!!!!!!!!!
 
Hivi ccm wanaona pembe za ndovu ndo kipato pekee kilichobakia???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom