Tanzania yakataliwa kuuza pembe za ndovu!

Dah afadhari maana wangefaidi sana mafisadi nilimsikia yule naibu waziri anasema pesa zitakazo patikana watawekeza kwenye maliasili mmh hawata tumia hata senti moja afadhari kama dili lao limebuma.


Walikuwa wanalenga kupata pesa za kuimarisha CHAMA. Zingetumika kwenye takrima na kuiba kura tu!
 
UN is as corrupt as Tanzania Government.

Kwanza Kuna mafisadi ya kimataifa huko yanajua Nchi zikikubaliwa kuuza meno bei itashuka.

Pili hata wangekubaliwa sijui kama tanzania kuna mfumo mzuri wa kuendesha hii biashara.Kwani ni wazi mpaka leo hii kuna meno yanakuwa epxported illegally kwa faida ya watu wa wachache.

Mfano wenye kichekesho
wakati wa kuua tembo watajuaje tembo huyu ni mjamzito tumuache/tumuhurumie.? I mean wanatumiga criteria gani kuwaua wanyama
 
Mi binafsi nina furahia hii move. Kuna wakati hapa Col fulani mstaafu meli yake ilituhumiwa kupeleka pembe kama hizo nje ya nchi kinyume cha sheria. Je wangeliruhusu watu wa aina hiyo, si wangefanya deal za kufa mtu?
Tanzania ilivyo sasa sio rahisi kuamini lipi linalosemwa ni kweli na lipi lina agenda ya watu wachache wanaotaka kunufaika nyuma yake.
Waache wakatae tusiuze hizo pembe
 
[FONT=Courier New said:
"We can't justify failure to take a child to school because we are using resources to conserve elephants," Namugala said. "I appeal to allow Zambia to utilize the natural resources given to us by God."[/FONT]


I simply loved this maadam Minister!

Anyway I dont condone, illigal poaching, lakini hawa wadhungu wamejaa unafiki wa kutupwa! Hivi mbona wanauza silaha kila siku wakati wanajua watu wa kawaida wanakufa kama ngedere? au "animal welfare" ni muhimu kuliko sisi wananchi? Hawa jamaa wanashindwa kuelewa kwamba sisi hatuna luxury ya kuwahudumia mbwa na paka..wakati watu wetu wanakufa kwa njaa na malaria...will they understand?? I really ask the powers that be..waache hizi double standards. If they want us to respect them and take them serious.we should all play by similar international rules. IF THAT THING DOES EXIST ANYWAY!

Yaani, I am a die hard internationalist, lakini kila nikiona hawa jamaa wanavyotuchezea akili kila kukicha..I just get the feeling that....we dont have to respect them.

Mfano juzi US kamuuzia silaha Taiwan..harafu anakuja kumwambia China asupport sanctions dhidi ya rafiki yake mkubwa wa biashara Iran..hivi kweli hiyo ni akili au ni tope? au ni kuwaona wengine..hatunazo? Our dictators..might be ignorant of the rules and very corrupt..but at times..NAWAELEWA! Uki-deal na hawa watu..they only understand language ya Iran na China.
 
Najiuliza kwamba kama Tz ingeruhusiwa kuuza hizo pembe kwa mabilioni ya sh. Mwananchi angefaidika kweli kadiri ya hali ya kujipenda kilivyokithiri Tz? wangefaidi walewale tu who were born to make others suffer at their expense!
 
I simply loved this maadam Minister!

Anyway I dont condone, illigal poaching, lakini hawa wadhungu wamejaa unafiki wa kutupwa! Hivi mbona wanauza silaha kila siku wakati wanajua watu wa kawaida wanakufa kama ngedere? au "animal welfare" ni muhimu kuliko sisi wananchi? Hawa jamaa wanashindwa kuelewa kwamba sisi hatuna luxury ya kuwahudumia mbwa na paka..wakati watu wetu wanakufa kwa njaa na malaria...will they understand?? I really ask the powers that be..waache hizi double standards. If they want us to respect them and take them serious.we should all play by similar international rules. IF THAT THING DOES EXIST ANYWAY!

Yaani, I am a die hard internationalist, lakini kila nikiona hawa jamaa wanavyotuchezea akili kila kukicha..I just get the feeling that....we dont have to respect them.

Mfano juzi US kamuuzia silaha Taiwan..harafu anakuja kumwambia China asupport sanctions dhidi ya rafiki yake mkubwa wa biashara Iran..hivi kweli hiyo ni akili au ni tope? au ni kuwaona wengine..hatunazo? Our dictators..might be ignorant of the rules and very corrupt..but at times..NAWAELEWA! Uki-deal na hawa watu..they only understand language ya Iran na China.

Sio suala la kuwaona wengine hamnazo.... ila hatunazo kikweli kweli.... Kwani tukifa kama ngedere kinawahusu nini? Kama tumeshindwa kujijali sisi wenyewe unategemea wengine watujali??
 
Mkuu ujangili unachangiwa na mambo mengi, vitendea kazi hafifu, uchache wa askari wa wanyama pori, na mahitaji ya pepmbe za ndovu sokoni ni makubwa saana, Ni garama saana kuendelea kuhifandhi hizo pembe zingeuzwa wangenunua vitendea kazi zaidi kwani garama za kuzihifadhi na zenyewe ni kubwa saana

Kwa utaratibu wa TZ, zingeuzwa pesa ingeenda hazina - fuko kuu. Na huko wenye meno wengechota kwa uwezo wao.
Kununua vifaa itasubiri bajeti mama kwa Wizara ambapo si lazima kua Wizara wangeona umuhimu wa kutenga fungu la vitendea kazi katika kudhibiti poachers. Huo ndio utaratibu, na hao wanaosingizia kua pesa ingetumika kulinda wanyama hawako serious kama kawaida yao.
 
I simply loved this maadam Minister!

Anyway I dont condone, illigal poaching, lakini hawa wadhungu wamejaa unafiki wa kutupwa! Hivi mbona wanauza silaha kila siku wakati wanajua watu wa kawaida wanakufa kama ngedere? au "animal welfare" ni muhimu kuliko sisi wananchi? Hawa jamaa wanashindwa kuelewa kwamba sisi hatuna luxury ya kuwahudumia mbwa na paka..wakati watu wetu wanakufa kwa njaa na malaria...will they understand?? I really ask the powers that be..waache hizi double standards. If they want us to respect them and take them serious.we should all play by similar international rules. IF THAT THING DOES EXIST ANYWAY!

Yaani, I am a die hard internationalist, lakini kila nikiona hawa jamaa wanavyotuchezea akili kila kukicha..I just get the feeling that....we dont have to respect them.

Mfano juzi US kamuuzia silaha Taiwan..harafu anakuja kumwambia China asupport sanctions dhidi ya rafiki yake mkubwa wa biashara Iran..hivi kweli hiyo ni akili au ni tope? au ni kuwaona wengine..hatunazo? Our dictators..might be ignorant of the rules and very corrupt..but at times..NAWAELEWA! Uki-deal na hawa watu..they only understand language ya Iran na China.

Kama mna ubavu si muuze tu. Of course China wangeuza maana hata wanajua wauze wapi na vipi na wanajua pesa itasaidia vipi Nchi yao.
Kama tuna ubavu na tuzilinde interest zetu (kama tunazo) kama vile US inavyotaka support toka China kuibana Iran - kwani wanajua kabisa China ina interest zaidi US kuliko Iran ama Taiwan.
 
"But should this meeting fail to consider this proposal, we run the risk of enhancing hostility against elephants by our local community especially where human-elephant conflicts are prevalent. More elephants would be killed."

???

lol..Huyu ndo mhishimiwa waziri hapo ana-argue the case. Kazi hipo!

Nadhani kuna kitu hakielezwi vyema hapa. Kuna 'nguvu' nyuma na hii movement ya kuuza hizi pembe za ndovu, si bure.
 
Mbona wamekwisha wauzia wachina tayari. Nyie mnapiga porojo hapa dili imekwenda kimya kimya unacheza na wabongo nini? Mambo mbele kwa mbele.
 
Hawawezi kufanya walilofanya kenya..???

"In 1989 the former president of Kenya, Daniel Arap Moi lit a dramatic ivory bonfire, to torch 10 tons of ivory worth Kshs. 60 million, in a bid to eliminate the mass slaughter of Africa's elephants for their tusks. A commemorative plaque with the legendary words "Great objectives often require great sacrifices" is placed at this location. Since then, the great fire has been lit twice more to banish confiscated stocks of poached rhino horn and ivory" source: www.enchanted-landscapes.com

 
Haya ndiyo matunda ya usanii wa Serikali yetu.
Ilikubali KUZUIA uwindaji haramu wa tembo. Badala yake ikaridhika tu KUWAKAMATA majangili wanaoua tembo na kuwanyang'anya nyara ilizowakuta nazo.Ushahidi (Exhibits) ndiyo hilo lundo la meno; la sivyo ieleze meno hayo yamepatikanaje. Haijafanya lo lote la maana i) kuwalinda tembo, ii) kuwalinda wananchi wanaozunguka hifadhi dhidi ya madhara yatokanayo na tembo wanaoachwa kuzurura hivyo nje ya hifadhi, na iii)kuzuia uwindaji haramu.
Badala yake inaleta visingizio vya kutaka kufungua biashara haramu, ili watendaji wake wakuu na washirika wao (mafisadi) wanufaike.
Wasiruhusiwe, tumechoka nao. Watekeleze majukumu yao.
 
mtajuaje zimechomwa moto zote.. au ndiyo mkisikia maneno ya "serikali imesema" basi ndio hata kuinua vichwa hamuinui kuangalia..
 
mtajuaje zimechomwa moto zote.. au ndiyo mkisikia maneno ya "serikali imesema" basi ndio hata kuinua vichwa hamuinui kuangalia..
Ni kweli, tatizo hapa mfanyabiashara ni huyo huyo serikali ingekuwa ni mali ya mtu zingechomwa sasa kitakachotokea kama watashindwa rufaa wanayotaka kukata tutaambiwa zimeshachomwa zote kumbe labda ni tani 2 tu zilizochomwa mbele ya waandishi wa habari na mabalozi wa nje

Lakini cha kujiuliza hapa kwa nini serikali inataka kufanya biashara haramu?
 
Kwani mpaka ziuzwe nje jamani kwa nini uzio wa ikulu yetu usiungushiwe hizi pembe iwe kivutio???. ikiwezekana watengeneze hata tiles.

kama kuuza kiuzwe kitu ambacho ni finished product la sivyo pembe hizo zitumike kama mapambo.

Nyumba ya sanaa na makumbusho mbona wana uhaba wa vitu vya kuonyesha.?
 
???

lol..Huyu ndo mhishimiwa waziri hapo ana-argue the case. Kazi hipo!

Nadhani kuna kitu hakielezwi vyema hapa. Kuna 'nguvu' nyuma na hii movement ya kuuza hizi pembe za ndovu, si bure.

Mwangunga inasemekana aliahidiwa donge na marafiki zake majangili kuwa angefanikisha wangemfadhili kwenye kugombea Ubunge kwenye jimbo la Ubungo!! Kukatataliwa kwa mpango wa kuuza hizi nyala kumewaokoa wakina Myika ama sivyo mama angemwaga razi ya fedha huko jimboni!! Mungu si Athumani!!
 
Mi binafsi nina furahia hii move. Kuna wakati hapa Col fulani mstaafu meli yake ilituhumiwa kupeleka pembe kama hizo nje ya nchi kinyume cha sheria. Je wangeliruhusu watu wa aina hiyo, si wangefanya deal za kufa mtu?
Tanzania ilivyo sasa sio rahisi kuamini lipi linalosemwa ni kweli na lipi lina agenda ya watu wachache wanaotaka kunufaika nyuma yake.
Waache wakatae tusiuze hizo pembe


Naona imetokea kwa mara nyingine, as usual itazungumzwa tu, na itapita kimya kimya, and life will go on.
 
Ndo furaha ya wakenya mkuu, naamini wamefanukisha azma yao kwani walipania saana tunyimwe hiyo ruhusa ya kuuza hizo pembe

Zikuzwa zitakusaidia nini wewe kama Mwananchi?

Mimi bado sidanganyiki eti fedha zisaidie kupambana na ujangili. Utashi wa kupambana na ujangili ndio usiuoni.

Kama twiga mzima alipandishwa kwenye ndege watu wakakaa kimya leo uniambie tunahitaji fedha kukomesha hilo. Yale yale ya chenji ya radar
 
Back
Top Bottom