Tanzania ya 'Rais Lowassa'

Hivi niulize yule mtu tuliyeambiwa kuwa jina lake liko mezani kwa Kikwete kwa ajili ya kuandaliwa kuwa rais wa 2015 ni nani?Hivi atakuwa Lowassa, Membe, Sitta, Mwandosya,Magufuli,
 
Arusha huyu Lowasa ana majumba kila kona, London kila kona Dar sijui Tanzania kaifilisi kwa miradi yake ya DOWANS, ebu fikiri kidogo akipewa Uraisi si nchi itabaki jangwa???????????

JK alikuwa hana kitu. Nchi imebaki na nini? Bora huyu aliyenacho tayari.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba EL hafikiriwi na wengi wala hapendwi na wengi, ila nadhani tunachotakiwa kuelewa hapa ni kwamba huyu EL ana imani kubwa kwamba ana uwezo mkubwa wa kupenyeza na kwenda Magogoni bila wasiwasi 2015. Mkitaka kujua nguvu ya EL angalieni sakata zote zinazomhusu zilikoishia, hakuna hata moja iliyoenda popote na sasa ndio hivi tunaambiwa Mwakyembe kakimbizwa India baada ya Mwandosya kuwa huko kwa muda mrefu tuu. Mwakyembe alitoa taarifa kuhusu mipango ya kuwamaliza siku nyingi na ilidhihirisha wazi kwamba kundi la EL linahusika na ushahidi wa magari yao na makampuni yao wakisaidiwa na dola yenyewe uliwekwa wazi. Kuna ushahidi wa kutosha kuhusu ushawishi wa EL kwa NEC, ma-DC, ma-RC na madaraja mengine mengi... zaidi sana JK mwenyewe ni swahiba mkubwa kwa siri wakiendelea kula nchi hii bila wasiwasi. Pesa aliyonayo huyu jamaa kwa sasa anaamini anaweza kumnunua Mtanzania yeyote mwenye kelele mbele yake, ingawa si kweli lakini cha msingi hapa ni kwamba yeye anaamini hivyo na tukae tukijua kwamba ataitumia hiyo pesa kufanya lolote analoona litamsafishia njia kuelekea Magogoni.

Tutafakari ukweli kwamba hali ngumu tuliyonayo sasa hivi inachangiwa sana na pesa nyingi iliyotumika kumweka JK madarakani 2010, lakini kutokana na ukweli kwamba 2015 inaonekana kuwa ngumu... CCM wameshaanza tena mikakati ya ukusanyaji wa fedha za kutumia 2015. Ni pesa nyingi sana inahitajika na CCM 2015 na itakuwa ngumu kuikusanya kwa haraka, kwahiyo tusitarajie unafuu wowote haswa ikizingatiwa kutokea kwa chaguzi zingine zisizotarajiwa kama za Igunga na nyinginezo ambazo hatujui ujio wake kabla ya 2015.

Kama ikitokea Mungu akafumba macho ili EL achukue nchi (kwa lengo ambalo Mungu analijua mwenyewe), naamini pesa ambayo itatumika ili EL atinge Magogoni itakuwa mara 3 ya matarajio ya matumizi ya CCM kwa hiyo 2015. Ili kuzirudisha hizo pesa ikiwemo faida ya kukaa Magogoni itabidi Watanzania tuuzwe na tutanadiwa bila hata kusema chochote. Tukae tukielewa wazi kwamba EL ni mbabe kuliko hata Mkapa, kama Mkapa alifunga watu fulani fulani midomo basi EL atawazima kabisa. Hizi za akina Mwakyembe na Mwandosya zitakuwa ni issue ndogo sana iwapo EL atakuwa hapo Magogoni. Kwa kifupi kama jamaa ataingia madarakani kuna watu itawabidi wakimbie kabisa nchi hii hadi EL atakapoiaga hii dunia ya Mwenyenzi Mungu, nitamuomba Mungu asiwe kama Gadaffi maana akiwa hivyo atawafuata hata huko waliko na atawamalizia mbali kama Mungu mwenyewe hatozuia hayo kutokea. Hatumwogopi lakini EL si mtu wa kumfikiria kwa haraka na kuondoka, ni mtu wa kumtafakari kwa umakini kabla ya kujua nini kifuate baada ya hicho ulichokiona.
 
Mtoa mada mi na m-support 100%, kama ni kujadili prospective candidate yoyote ni sasa, rukiacha upenyo mpaka 2015 tumekwishaaa. The motion should be ongoing, we can not afford any loose points!
 
Believe me, CCM hata wakisimamisha jiwe, kwenye nafasi ya uraisi kwa 2015 hakuna chama kitakachochukua. Lowassa usifikirie ni mpumbavu, he is the highly intelligent boy, uliza waliosoma nae, uliza wote waliokuwa chini yake akiwa PM, na kabla ya hapo wizara ya Ardhi, uliza jinsi jamaa alivyo na highly convincing power kule nothern zone, mjomba Excellent usicheze..... na kwa mtazamo wangu, ndiye mtu pekee ndani ya CCM anayeweza kupata asilimia nyingi sana ya kura kutoka kwa wananchi. Ufupi jamaa anajua kujipanga, na atahitaji kusafishwa kidogo tu, na historia ya uchapa kazi itambeba.
 
Isijdekuwa haqmumtaki Lowassa kwa sababu ya ukabila, mtu kuwa katika kabila lolote hakimkatazi kuwa Rais wa TZ.Tuongelee sifa za mgombea Urais na si kabila lake, tusiongelee udini wa mtu wa kugombea Urais ila tuongelee sifa zifaazo.Hata suala la kwa awe wa kutoka Zanzibar si sifa yenye mashiko.Nawasilisha.
 
Isijekuwa hamumtaki Lowassa kwa sababu ya ukabila, mtu kuwa katika kabila lolote hakimkatazi kuwa Rais wa TZ.Tuongelee sifa za mgombea Urais na si kabila lake, tusiongelee udini wa mtu wa kugombea Urais ila tuongelee sifa zifaazo.Hata suala la kwa awe wa kutoka Zanzibar si sifa yenye mashiko.Nawasilisha.
 
Mimi ningependa kuwaonya watanzania wenzangu hata hao wana ccm wakimpitisha sisi watanzania tumkatae hatufai kutuongoza.
 
Maelezo Mengi Point hakuna kabisa. Kila Mtanzania Ana Haki ya kugombea urahisi kikatiba na unapogombea sio lazima ushinde ina maana kura ndizo zitaamua. Mambo ya 2015 kuyazungumzia sasa hivi ni kama mtu anaota ndoto maana hata hatujui ni nani atafanikiwa kuuona mwaka 2015.

Acha unafiki. Kama 2015 ni mbali mbona yeye Lowassa anajipanga na anaendelea na vikao toka mwaka 2008? Suala hapa siyo kuwa na haki ya kikatiba ya kugombea. Suala la msingi hapa ni moral authority ya anayegombea. Na hii unaijua kwa kuangalia vitendo vyake vya nyuma. Past ya Lowassa imejaa uvundo!
 
Believe me, CCM hata wakisimamisha jiwe, kwenye nafasi ya uraisi kwa 2015 hakuna chama kitakachochukua. Lowassa usifikirie ni mpumbavu, he is the highly intelligent boy, uliza waliosoma nae, uliza wote waliokuwa chini yake akiwa PM, na kabla ya hapo wizara ya Ardhi, uliza jinsi jamaa alivyo na highly convincing power kule nothern zone, mjomba Excellent usicheze..... na kwa mtazamo wangu, ndiye mtu pekee ndani ya CCM anayeweza kupata asilimia nyingi sana ya kura kutoka kwa wananchi. Ufupi jamaa anajua kujipanga, na atahitaji kusafishwa kidogo tu, na historia ya uchapa kazi itambeba.

Hivi kusomea sanaa ya maigizo na ngoma ndiyo kuwa na akili? Labda tuwaulize umahiri wake katika unenguaji. Mimi nina hakika kwamba kama angekuwa ana kichwa asingesoma masomo hayo na leo ukategemea kusiwe na usanii katika utendaji.
 
Mimi najua rais atakuwa kijana kati ya Emmanuel Nchimbi, January Makamba, Amosi Makala na Mwigulu Nchemba. Itakuwa supprise wala sio wazee hao. Atachukuliwa mtu bila watu kuamini kama kiongozi wa kampeni za igunga
 
Arusha huyu Lowasa ana majumba kila kona, London kila kona Dar sijui Tanzania kaifilisi kwa miradi yake ya DOWANS, ebu fikiri kidogo akipewa Uraisi si nchi itabaki jangwa???????????

Wewe ni muongo natoka Arusha, acha kuandika uongo, kama huna cha kuandika acha. Kelele za kuku hazimzuwi mwewe kuchukua kifaranga.
 
jamani siku zote watu wananishangaa sana mi mwanaharakati kumkubali lowasa si kwamba sijui nitendalo hapana ni kwamba imefika mahali kipofu kati ya chongo atushike mkono.watu ni wezi tunapafuta mwizi mwenye afadhali,nitarudi
 
watu wengine waache kufikiri kwa kutumia makalio tupeni mambo ya msingi na siyo haya ya kipuuzi hivi lowassa alimwambia
mama yako kuwa anagombea urais wa mwaka 2015 tujibu kama alimwambia tukupe swali la nyongeza na hata kama anagombea
je hana haki kikatiba mambo ya miaka mitano mnayaleta huku je wewe utakuwa hai au umekufa usimpangie Mungu Wewe jadili mambo
ya umeme giza hali ya maisha ni ngumu mambo ya choooni peleka huko huko
 
Mimi sina tatizo naye ikiwa atapitishwa na chama tutamsikiliza then tutamua wenyewe wananchi
 
Wewe ni muongo natoka Arusha, acha kuandika uongo, kama huna cha kuandika acha. Kelele za kuku hazimzuwi mwewe kuchukua kifaranga.
sawa sasa unataka rais maskini mbona wakina raila odinga wana ndege 540 wakina obama wana magorofa
acheni wivu wa kike fanyieni kazi siyo kuchungulia mali za watu kama baba yako alizubaaa shauri yake muulize ilikuwaje pesa alipeleka nyumba ndogo.

kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
(Ni mmasai,haendi mahali labda wamwue.Ndo ukweli huo.EL is definetly going to come back come 2015.) Wadau tuwe na upeo wa kufikiri, hivi kweli tunataka TZ yetu iwe mikononi mwa huyu jamaa mnadhani tutabaki salama...alietoa mada jaribu kufikiri au ulikua unafikiria vigine, EL pres 2015...Dont even think of it.Halafu fwatilia historia ya EL, wazazi wake walikua matarishi wa kikoloni Meru-Kwa umbea wao wameru wenzao wakataka kuwamalza ndipo baba yake alipohamishiwa Monduli akiwa yy na kaka yake.Umasaini hakuna ukoo wa lowasa tafadhali huyo ni mmeru asilia, nenda oldadai utaonyeshwa makazi yao na walipozaliwa na kukulia wazazi wake ndipo utapata historia ya babu na babu zake ingawa watanzania hatuulizani makabila(wote wa nchi ya Nyerere)...Huyo n mmeru bwana, msituaribie kabila la wamasai...
 
Back
Top Bottom