Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Wana Jf,hiv kuna haja gani ya kuendeleza sherehe za kukimbiza mwenge mikoa yote hapa nchini tukitumia gharama kubwa,wakati kuna sekta muhimu zina bajeti finyu,sekta kadhaa za serikali hazijaajiri pesa hakuna,iweje pesa nyingi zitumike kwenye mbio za mwenge na wakati wananchi wana hal mbaya? Hili mnalionaje wanajf?