attachment.php

Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

attachment.php

Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

attachment.php

Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s (DK)


attachment.php

Salender Bridge 1960s

attachment.php

Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

attachment.php

Seaview-Mawingu House 1960

attachment.php

Arusha-Clock Tower 1966

attachment.php

Dodoma City Center 1974

attachment.php

Bukoba City Center 1972

attachment.php

Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

attachment.php

Korogwe Hotel

attachment.php

Same Hotel

attachment.php

Musoma 1960

attachment.php

Handeni Bomani Enzi Hizo

attachment.php

Shule Ya secondary Kisutu 1975

attachment.php

Iyunga Secondary 1966
 
Yaliwezekana haya kipindi kile watu waliopita university wa kuhesabika kwanini leo mipango haipangiki maana zamani train mtu anajua itapita saa ngapi morogoro, Dodoma na tabora mpaka mwanza na kama inafika saa kumi na moja basi ni kila siku kwa muda wa mwaka mzima inapita around mida hiyo na haizidi saa 12 lakini siku hizi leo ikipita saa 2 siku nyingine saa 6, kasoro train ya Mpanda ndio ilikuwa haina kanuni kutokana na miundombinu ya kule

Uko sahihi kabisa Mkuu. Enzi hizo za UDA, DSM Muda wa basi kupita kituoni tulikuwa tunaufahamu kwa hiyo wanafunzi tunajiandaa muda wetu nakumbuka basi Uwanja Taiakwetu lilikuwa linapta saa kumi na mbili na nusu Juu ya alama. Na hilo basi ilikuwa likichelewa 5 minutes tena kwa nadra. lakini sasa hivi kila mtu na lake. Ukiuliza ooh siku hizi foleni ilimradi shaghalabagala.
 
Uko sahihi kabisa Mkuu. Enzi hizo za UDA, DSM Muda wa basi kupita kituoni tulikuwa tunaufahamu kwa hiyo wanafunzi tunajiandaa muda wetu nakumbuka basi Uwanja Taiakwetu lilikuwa linapta saa kumi na mbili na nusu Juu ya alama. Na hilo basi ilikuwa likichelewa 5 minutes tena kwa nadra. lakini sasa hivi kila mtu na lake. Ukiuliza ooh siku hizi foleni ilimradi shaghalabagala.
Ahsante mkuu, kumbe uzi bado upo hai pamoja na kwamba umetolewa na King Kong III kitambo kidogo
 
Last edited by a moderator:
Mabasi ya Ikarus yalikuwa marefu kama haya ya mradi wa mabasi yendayo kasi!! yatakapo anza kazi yatatukumbusha enzi hizoooo!!!
 
Back
Top Bottom