blea
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 379
- 114
Umbumbumbu wa viongozi wetu na uroho wa kutaka wafaidi wao na fqmilia zao ndio chanzo cha kiliingiza Taifa kwenye mikataba mibovu ya uchimbaji wa madini.Pia usimamizi mbovu wa kodi na kukosa uzalendo ndio unalifikisha Taifa hapa lilipo. INANIUMA SANA JAMAA WANAIBA HATA WANYAMA WAKUBWA KAMA TWIGA kweli huu ni zaidi ya ulafi