sasa na sisi wanaume tuanzishe benki yetu?? Mimi nasubiri sasa nafasi za ubunge viti maalum kinababa nami nichangaamkie!
Hivi tulianzisha chama chetu kutetea hati zetu sisi wanaume..je mtaniunga mkono??
two things:
1) nadhani hii itakuwa inaangukia kwenye ANTI-DISCRIMINATION LAWS if not KATIBA,
2) kwa sababu wanawake ni weak in almost everything (kwa sababu mbali mbali including mfumo dume tulionao) this bank is bound to fail
hiyo point ya pili kila mtu anajua lakini hakuna anayethubutu kusema hivyo nishakurahisishieni kazi...yap I've said it
Halafu watatumia pesa za umma kuisetup hii benki au itakuwaje?