mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
[h=3]Tanzania wizi wizi mtupu![/h]
Tanzania chini ya utawala wa sasa imeanzisha mtindo wa kula kwa zamu. Kila anayepata nafasi au cheo serikalini lazima ajitafutie jinsi ya kuitumia ili kujitajirisha na familia yake. Baada ya Mwanaidi Majaar kuangukia nafasi ya ubalozi kutokana na uhusiano wake mzuri na Jakaya Kikwete, amekuwa mbioni kuhakikisha anafanya kile wanachofanya akina Salma Kikwete, Anna Mkapa, Regina Lowassa na wake wengine wa vigogo. Tofauti na wao, Mwanaidi ameanzisha NGO ya mumewe sawa na watajwa walivyoanzisha NGO kupitia migogoni mwa waume zao. Mwanzoni tuliambiwa ni Foundation kumbe kampuni ya biashara. Huyu Hassan Majaar ukiachia mbali kuwa mume wa balozi ni nani Tanzania?
Taarifa zilizopo ni kwamba NGO hii ya ulaji imeanzisha duka la vitu mbali mbali jijini na kuliita la hisani wakati hakuna hisani yoyote bali usanii. Je kwa mchezo huu watu wetu watanusurika?
Tanzania chini ya utawala wa sasa imeanzisha mtindo wa kula kwa zamu. Kila anayepata nafasi au cheo serikalini lazima ajitafutie jinsi ya kuitumia ili kujitajirisha na familia yake. Baada ya Mwanaidi Majaar kuangukia nafasi ya ubalozi kutokana na uhusiano wake mzuri na Jakaya Kikwete, amekuwa mbioni kuhakikisha anafanya kile wanachofanya akina Salma Kikwete, Anna Mkapa, Regina Lowassa na wake wengine wa vigogo. Tofauti na wao, Mwanaidi ameanzisha NGO ya mumewe sawa na watajwa walivyoanzisha NGO kupitia migogoni mwa waume zao. Mwanzoni tuliambiwa ni Foundation kumbe kampuni ya biashara. Huyu Hassan Majaar ukiachia mbali kuwa mume wa balozi ni nani Tanzania?
Taarifa zilizopo ni kwamba NGO hii ya ulaji imeanzisha duka la vitu mbali mbali jijini na kuliita la hisani wakati hakuna hisani yoyote bali usanii. Je kwa mchezo huu watu wetu watanusurika?