Tanzania without a Resource Curse

Zitto kwa hisani yako naomba makala kama hizi ambazo zinagusa mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa, ziwe kwa lugha ya Kiswahili. Watu wengi wanaoongea Kiingereza wana ulewa mpana na wa kina wa mambo yaliyo kwenye makala kama hii. Na wengi wao wana 'interest' na pengine wasingetaka sana kufanya tofauti na ilivyo sasa.

Kama tunataka mabadiliko yawe na msukumo wa kipekee ni lazima yawe 'bottom up' na asibakizwe mtu nyuma. Lugha inabakiza watu wengi nje ya ulingo wa mijadala na watu hawa wangekuwa na michango mizuri sana. Watu wa Mtwara na Lindi kwa mfano, wangefaidika kama wangekuwa sehemu ya mjadala. Lakini ni wangapi Lindi na huko Mtwara wanaelewa Kiingereza?

Makala za kiingereza zinakwenda kwa wale wale tunaombiwa 'hawana elimu' ya kuandaa mikataba na bado wanaachwa kuandaa mikabata!

Chondechonde -asiachwe mtanzania nyuma.

Upo sahihi kabisa. Naandika andika kwa kiswahili pia. Lakini kama unavyosema inabidi tuandike zaidi kwa kiswahili chepesi ili mtu wa Kilwa aelewe. Mtu wa Ilagala aelewe nk. Ni changamoto.

Nitaitafsiri makala hii na kuiwekea nyama zaidi na kuitoa RaiaMwema ya wiki ijayo Mhariri akinipa nafasi.

Nimeweka makala zangu mbili za kiswahili. Moja, kuhusu Taifa linavyo gawanyika kimapato na pili kuhusu nchi ya Sri Lanka ilivyo sawa na mkoa wa Lindi.
 
Mara nyingi huwa tunatafuta very complicated solutions kwa matatizo yetu, lakini jibu la matatizo yetu ni simple tu. Good intentions.

Hatushindwi kuendelea kwa sababu ya kukosekana kwa good ideas. There is alot of good ideas in government doccuments, but the problem is that good ideas die in the book shelves.

Tukiwa na nia ya dhati hakuna tunaloshindwa, na hapa ndipo tunapokwama.

Labda nitoe mfano wa daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake umefunguliwa rasmi leo. Wazo la ujenzi wa daraja lipo tangu awamu ya kwanza, lakini hatujaona daraja zaidi ya maneno matupu. Bajeti ya daraja ni less than bilion 300. Kesi moja tu ya Liyumba inamshutumu kuitia hasara serikali ya sh. bilion 221, which means kama kungekuwa na usimamizi mzuri utakaodhibiti Liyumba asilete hasara hiyo tayari daraja la Kigamboni lingejengwa. Sasa jiulize kuna kesi ngapi za ufisadi? sh. ngapi zinaibiwa? Kwa hiyo tatizo letu siyo good ideas kwa sababu watu wasio na malengo ya dhati ya kuleta maendeleo hata wakiwa na good idea wataifungia kabatini mpaka waone kuwa watanufaika kwa kujitajirisha kibinafsi hata kama wanaleta hasara kwa umma.

Kwa hiyo bwana Zitto na makala yako ndefu ya mawazo ya kinadharia huu sio wakati wake. Sasa hivi tuelekeze concentration ya taifa kwenye kuchagua viongozi bora watakaofanya kazi ya maendeleo kwa dhati. Bila kuwa na uongozi bora na mfumo wa checks and balance good ideas become useless...
 
Mara nyingi huwa tunatafuta very complicated solutions kwa matatizo yetu, lakini jibu la matatizo yetu ni simple tu. Good intentions.

Hatushindwi kuendelea kwa sababu ya kukosekana kwa good ideas. There is alot of good ideas in government doccuments, but the problem is that good ideas die in the book shelves.

Tukiwa na nia ya dhati hakuna tunaloshindwa, na hapa ndipo tunapokwama.

Labda nitoe mfano wa daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake umefunguliwa rasmi leo. Wazo la ujenzi wa daraja lipo tangu awamu ya kwanza, lakini hatujaona daraja zaidi ya maneno matupu. Bajeti ya daraja ni less than bilion 300. Kesi moja tu ya Liyumba inamshutumu kuitia hasara serikali ya sh. bilion 221, which means kama kungekuwa na usimamizi mzuri utakaodhibiti Liyumba asilete hasara hiyo tayari daraja la Kigamboni lingejengwa. Sasa jiulize kuna kesi ngapi za ufisadi? sh. ngapi zinaibiwa? Kwa hiyo tatizo letu siyo good ideas kwa sababu watu wasio na malengo ya dhati ya kuleta maendeleo hata wakiwa na good idea wataifungia kabatini mpaka waone kuwa watanufaika kwa kujitajirisha kibinafsi hata kama wanaleta hasara kwa umma.

Kwa hiyo bwana Zitto na makala yako ndefu ya mawazo ya kinadharia huu sio wakati wake. Sasa hivi tuelekeze concentration ya taifa kwenye kuchagua viongozi bora watakaofanya kazi ya maendeleo kwa dhati. Bila kuwa na uongozi bora na mfumo wa checks and balance good ideas become useless...
Hivi pesa za NSSF ni za serikali?
 
Kiranga my bro,first of all to differ with me is your right.

Such a remarkable, graceful, eminent elegance. Marhabaaa.

What I am trying to emphasize is the right forumn. We all know hon. Zitto is from opposition part in the name of CHADEMA, therefore if the matter can be taken more seriously can bring more results. Kiranga you remember issue ya mabadiliko ya Katiba? Why opposition parts cannot team up again and show their uzalendo on this? May be there seeing Hon Zitto preferring one man show and that is why they step back. But again if that is what they are doing for whom's benefit?

If JF is not the right forum, where is this right forum then?

When we discuss issues of natural resources, we should always remember that is where our wealth is. When we talk about poverty and all the good strategies formulated day and night to ensure we improve our economy natural resource has more percentage on this. Again remember this is the time. God didn't give us all those natural resources to be taken away and benefit someone else.

Which is even more of a reason to make sure we are getting the input of Tanzanians of all sorts, not receding to the secrecy of self-appointed obscurantists and ottomanlike ombudsmen.

Transparency is what we are all looking for, but what thereafter?

Transparency is the father of better decision making just as discussion is the mother of progress. Without transparency you can't have an informed discussion, good decision making process or any meaningful progress at all.

Kila nyumba Ina Siri zake, I believe it is the same to our Govt.

I wrote extensively on the delicacy of this issue and how to maintain that carefully balanced position of giving what is needed without compromising what could be considered genuinely harmful here A campaign for greater transparency: Tanzania government contracts

As directed by prof, let a team go through those contracts, review them and give us the report. Let me remind you je report ya Bomani iliwekwa publicly after that review, furthermore what are the outcome of the findings and recommendations?. Do we know them in that picture of transparency?

This should be evidence for a need for better transparency, not less.

I still believe we need to support prof on his vision and strategies.

Why do you think a cry for more transparency is not supporting a better vision for Tanzania?

If Hon. Zitto can join him for the sake of TZ and sensitivity of the matter, it will be my pleasure and I will thank God for that.

We have to quit looking at this issue from the perspective of personalities as in "the Prof's vision" "Zitto could join him" etc, and look at the polity and policy issues, principles involves, pragmatism and learning from experience. Secrecy has done nothing for our country for the last 50 years, it is time we do away with it.As I stated before, those who know what is really lethal don't even come to air that in these forums, and what Zitto is giving us is pretty much declassified info, or he would be in trouble from the Draconian hand of the government.

Anyway that is my opinion.

The philosophical difference between myself and you is that you tend to believe in secrecy while I believe in transparency.

Queen Esther

A queen ought to know that Machiavellian intrigues are better suited to a bygone era, and that the seed of secrecy is bound to fruit in a tempting opportunity.

The people aim to remove even the opportunity for temptation, the very root of corruption and graft.

Information is power, give the people information and you give them power.

Your attempt to strangle a natural growth is running against the tide of history.

If you want to remain a Queen, you will do well to recognize that.
 
Mh Zitto, wazo au mjadala huu ni mzuri na unachembe kubwa za mafaa, binafsi naamini serikali hii iliyopo madarakani nivigumu kupokea na kuifuata hoja hii, njia nzuri mjadala huu uhuishe kwenye chama cha chadema ili iwe hoja ya chama na isimamiwe kikamilifu na chama,

Ikiwa chama kitashinikiza na serikali ikakaidi, chama kichukue jukumu la kutushirikisha wananchi tuishinikize serikali.
 
Yes ni za serikali, lakini sijaelewa connection kati ya swali lako na hoja yangu.
Kwasababu ulitoa mfano wa pesa za serikali zinazoliwa badala ya kupelekwa kwenye shughuli za kimaendeleo,na ukatolea mfano wa EPA,ama?
 
Zitto una hoja nzuri lakini naomba tuelimishane kwenye sehemu mbili muhimu (a) Kuhusu ujenzi (b) Wataalamu

Mwanzo:

Sheria ya mafuta haitakiwi kuchukua zaidi ya mwaka kuweka!! Tanzania sio nchi pekee duniani yenye sheria ya mafuta hivyo hakuna sababu ya Msingi ukizingatia tuna wabunge na wahisani wenye nia ya kusaidia haitachukua zaidi ya miezi sita kuweka Bill bungeni nzuri ya yenye uwazi kuhusu Gas and Oil.

Link hizi hapa

http://www.bain.com/bainweb/images/LocalOffices/BNDES_Consolidated_Report_BNDES_eng.pdf

Home

Vilevile Zitto ni lazima uelewe kuanzia research mpaka production ya Oil and Gas inachukua miaka kumi na mbili hivyo ukisema tusubiri miaka kumi ina maana production ya Oil and Gas itaanza baada ya miaka ishirini na mbili!!. Serikali kwa miaka kumi ambayo search za mafuta zinaendelea inatakiwa Kujenga au kupanua barabara,bandari na kuelemisha watoto wetu wa vyuo ili waweze kufanya hizi kazi. Kuna Pipeline inatengenezwa kwa mkopo wa China lakini tunatakiwa kuweka barabara ya bandari. Hakuna ulazima wa kusubiri kama tutapata Bill ya Oil and Gas.

Kuhusu Wataalamu:
Zitto nakuhakikishia kwamba Watanzania wenye utaalamu wa Oil and Gas wako wengi sana lakini hawapo Tanzania wapo Texas, USA. Kuna Watanzania zaidi ya mia mbili hapa Houston na Dallas ambao ni wataalamu wa Oil and Gas na utashangaa walivyo wengi hapa Houston kwenye sehemu zote za Oil na Gas Production. Kuanzia kwenye Rig za majini mpaka Oil and Gas Software. Marafiki zangu wote wa Kitanzania na ndugu zangu hapa wanafanya kwenye Oil and Gas. Sasa wanasiasa badala ya kufungua matawi mngekuja na kuweka mkutano wa wataalamu wa Oil and Gas ambao ni Diaspora ungeshangaa walivyo wengi. Hawa watu wote wanaweza kurudu nyumbani kama wataheshimiwa kama wataalamu wengine wowote. Vilevile Zitto badala ya kwenye Europe kujifunza kuhusu mikataba njoo kutana na Watanzania wa Houston na uongee nao kuhusu Oil and Gas. Houston ndiyo Head Office ya kampuni za Oil and Gas Duniani.
 
Zitto kwenye uzi wako nilipendekeza kuwepo na mijadala huru kupitia TV na radio, Nipo tayari kutoa ushiriki kuelezea ni jinsi gani wenzetu wanapractice & kunufaika na sera za gas, vinginevyo hatutampata mchawi iwapo mtaendelea kutunga sera chumbani.
Mkuu, as you would have participated katika mjadala via traditional media ndio hivo hivo you can participate via JF. Kwanza nadhani hapa ni bora zaidi sababu unachukua muda wa kupanga maneno yako kabla ya kuyatangaza, pili unaweza kuunganisha source kabisa to an article, a video or audio link etc ili members wasome kwa undani zaidi. Tafadhali, just share.
Carring is Sharing (source, Maxence Melo)
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Zitto kwasababu ulitumia mfano wa nigeria,kuna research hapa iliyofanywa kuhusiana na hiyo Dutch Disease kwa wanaigeria,nimeweka kipengele hiki ili kutia msisitizo kwamba hilo la Dutch Disease siyo applicable kwetu kama nilivyoainisha kwenye bandiko langu lililopita...hilo ni dbatable,and so lets debate.
It is debatable whether the theoretical aspects of Dutch disease are wholly applicable to LDCs, because the oil sector typically does not
employ a factor that is sufficiently mobile to the rest of the economy. As a result ‘enclave’ development is common. This implies that there is really only a spending effect, and no direct deindustrialization
Nigerian Oil and Exchange Rates: Indicators of []Dutch Disease’ - Struthers - 2008 - Development and Change - Wiley Online Library

 
Last edited by a moderator:
Unajua mimi najiuliza kama viongozi wetu wanafuatilia
hata kwenye tv tu jinsi viongozi wa nchi nyingine walivyo makini na
wanavyojiandaa na pia matumizi ya lugha na wakalimani wanapokwenda nchi zingine?

wachina na wamarekani wanapokutana tv zoote zinaonesha na unaona
wakalimani wanatumika na unasikia wachina hao hao wamesoma Marekani au Uingereza..
hatujifunzi kabisaa
Boss (and Kiranga)
This for Tanzania is easier said than done. If I have learnt about governance in English, it is easier for me to write and discuss about it in english than in any other language. Translation into swahili would require more efforts and concentration to make sure that the point I want to address doesn't get lost.
Kwa mtu yoyote anae zungumza at least lugha mbili it is clear that not only wordscould lose their meaning in translation but sometimes the concepts are simply inexistant. Kuna anthropological discussion about western concepts (not just western languages) being used in Africa. But this I believe is another discussion.
Sijui kama mh Zitto alikutana na tatizo hilo la kutafsiri concept/maneno but nimenote in his response to FJM that he will take his time to translate and share his ideas in Swahili.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu tujihadhari sana na kuipa hii sekta ya gesi na mafuta msisitizo wa kulihusisha bunge kwa sababu so far bunge limeonyesha kuwa na utendaji usioridhisha. Kejeli, malumbano yanayodhoofisha hoja za msingi ndani ya bunge ni maudhi na fedheha kwa wananchi. Bunge analolizungumzia Mhe. Zitto labda lingine na si hili lililopo. Wabunge wanaohusishwa na kuomba rushwa ili wapitishe miswada ya wizara ni watu wa kuwaamini kweli? Wengine wanasinzia, wengine wananyimwa fursa za kutoa hoja. Sasa hili la gesi na petroli litazungumzwa na wabunge hawa kwa dhamira ipi yenye matumaini kwa watanzania?

Ningependa kuchangia hasa lile tatizo la Dutch Disease ambalo kwetu ni fundisho tosha. Tukumbuke gesi au madini mengine ni vitu vinavyokwisha. Tusije tukasahau kilimo na rasilimali nyingine ambazo zinaweza zikaendeshwa katika misingi endelevu. Uwekezaji kwenye ardhi, utalii na maeneo mengine mikataba yake nayo ichambuliwe ili wananchi wafaidike? Wananchi wanabaki manamba au wanakuwa wabia? Uwekezaji usaidie kukuza sekta nyingine hata kama siyo moja kwa moja (indirectly). Inashangaza kwa mfano kwenye makambi ya Barrick vyakula vya senior staff kama vile nyama, viazi mviringo, mboga nk vinaagizwa kutoka nje wakati vinapatikana hapa nchini. Wawekezaji nao wawe chachu ya kukuza sekta nyingine kwa hiyo mikataba iwe yenye upana mkubwa (holistic) badala ya kuangalia sekta moja tu.
 
Zitto,

Tanzania ni nchi yetu na kila mtu anajua ya kuwa Rais ndiye kila kitu! Huyu waziri tunamwone tuu kwani he is being used as a mouthpiece tuu hapa. Swli langu kwako uliposafiri na rais kwenda Ethiopia mliongea naye nini kwenye ndege? Ulimwambia kuhusu hii ishu?
 
Such a remarkable, graceful, eminent elegance. Marhabaaa.



If JF is not the right forum, where is this right forum then?



Which is even more of a reason to make sure we are getting the input of Tanzanians of all sorts, not receding to the secrecy of self-appointed obscurantists and ottomanlike ombudsmen.



Transparency is the father of better decision making just as discussion is the mother of progress. Without transparency you can't have an informed discussion, good decision making process or any meaningful progress at all.



I wrote extensively on the delicacy of this issue and how to maintain that carefully balanced position of giving what is needed without compromising what could be considered genuinely harmful here A campaign for greater transparency: Tanzania government contracts



This should be evidence for a need for better transparency, not less.



Why do you think a cry for more transparency is not supporting a better vision for Tanzania?



We have to quit looking at this issue from the perspective of personalities as in "the Prof's vision" "Zitto could join him" etc, and look at the polity and policy issues, principles involves, pragmatism and learning from experience. Secrecy has done nothing for our country for the last 50 years, it is time we do away with it.As I stated before, those who know what is really lethal don't even come to air that in these forums, and what Zitto is giving us is pretty much declassified info, or he would be in trouble from the Draconian hand of the government.



The philosophical difference between myself and you is that you tend to believe in secrecy while I believe in transparency.



A queen ought to know that Machiavellian intrigues are better suited to a bygone era, and that the seed of secrecy is bound to fruit in a tempting opportunity.

The people aim to remove even the opportunity for temptation, the very root of corruption and graft.

Information is power, give the people information and you give them power.

Your attempt to strangle a natural growth is running against the tide of history.

If you want to remain a Queen, you will do well to recognize that.

Kiranga my brother, thank you for taking analytical part of what I have said. I appreciate and I think that is what we should do as great thinkers.

The way you build up your arguments, construction of sentences, the use of ambiguity words in school we use to call them " kantangalas jargons" is the same to that of Hon. Zitto, such a coincidence. Anyway let me go back to the business of the day:

1. When I said right forumn I meant CDM, Govt - referring to "mabadiliko ya Katiba meeting at Magogoni, Parliament Meetings etc. We all know those are serious places and they mean business in anyway whether positively or negatively. All in all At the end of the day it will be known who is the obstacle to the new TZ and record will be kept.
2. Secondly I also agree on transparency as one pillar of good governance. What about other pillars like accountability, rule of law, not forgetting political interference on professional issues and culture in general?
3. Last you remember the issue of EPA, RADA, now USWISS money to mention the few of which through transparency we have seen and heard things we didn't expect. What has been done so far?
4. I think jukwaa la siasa needs modification so that serious issues pertaining to economy needs to have its own forumn.
5. Finally I agree to disagree.
Have a blessed day.
Queen Esther
 
Hili nalo linataka kunipa stress, ngoja iende chit chat tu

Na wanorway wakiingia hapa basi ndio wataachiwa waandae kila kitu bila hata 'leadership' ya watu wetu
Halafu hiyo master plan ikishindwa tunaanza kutafuta mchawi.
 
Zitto una hoja nzuri lakini naomba tuelimishane kwenye sehemu mbili muhimu (a) Kuhusu ujenzi (b) Wataalamu

Mwanzo:

Sheria ya mafuta haitakiwi kuchukua zaidi ya mwaka kuweka!! Tanzania sio nchi pekee duniani yenye sheria ya mafuta hivyo hakuna sababu ya Msingi ukizingatia tuna wabunge na wahisani wenye nia ya kusaidia haitachukua zaidi ya miezi sita kuweka Bill bungeni nzuri ya yenye uwazi kuhusu Gas and Oil.

Link hizi hapa

http://www.bain.com/bainweb/images/LocalOffices/BNDES_Consolidated_Report_BNDES_eng.pdf

Home

Vilevile Zitto ni lazima uelewe kuanzia research mpaka production ya Oil and Gas inachukua miaka kumi na mbili hivyo ukisema tusubiri miaka kumi ina maana production ya Oil and Gas itaanza baada ya miaka ishirini na mbili!!. Serikali kwa miaka kumi ambayo search za mafuta zinaendelea inatakiwa Kujenga au kupanua barabara,bandari na kuelemisha watoto wetu wa vyuo ili waweze kufanya hizi kazi. Kuna Pipeline inatengenezwa kwa mkopo wa China lakini tunatakiwa kuweka barabara ya bandari. Hakuna ulazima wa kusubiri kama tutapata Bill ya Oil and Gas.

Kuhusu Wataalamu:
Zitto nakuhakikishia kwamba Watanzania wenye utaalamu wa Oil and Gas wako wengi sana lakini hawapo Tanzania wapo Texas, USA. Kuna Watanzania zaidi ya mia mbili hapa Houston na Dallas ambao ni wataalamu wa Oil and Gas na utashangaa walivyo wengi hapa Houston kwenye sehemu zote za Oil na Gas Production. Kuanzia kwenye Rig za majini mpaka Oil and Gas Software. Marafiki zangu wote wa Kitanzania na ndugu zangu hapa wanafanya kwenye Oil and Gas. Sasa wanasiasa badala ya kufungua matawi mngekuja na kuweka mkutano wa wataalamu wa Oil and Gas ambao ni Diaspora ungeshangaa walivyo wengi. Hawa watu wote wanaweza kurudu nyumbani kama wataheshimiwa kama wataalamu wengine wowote. Vilevile Zitto badala ya kwenye Europe kujifunza kuhusu mikataba njoo kutana na Watanzania wa Houston na uongee nao kuhusu Oil and Gas. Houston ndiyo Head Office ya kampuni za Oil and Gas Duniani.

Kamanda umeonesha njia,Mh Zitto ni kiongozi wa juu Chadema lazima waanze sasa kutafuta mbinu za kutumia vichwa hivi kwa manufaa ya Taifa hili.Sijui sera ya Chadema inasemaje watakapo chukua madaraka juu ya wataalamu wetu walioko ughaibuni kushawishiwa kurudi kutoa mchango kwa Taifa letu hasa kwa sector nyeti kama hizi!
 
Zitto,

Tanzania ni nchi yetu na kila mtu anajua ya kuwa Rais ndiye kila kitu! Huyu waziri tunamwone tuu kwani he is being used as a mouthpiece tuu hapa. Swli langu kwako uliposafiri na rais kwenda Ethiopia mliongea naye nini kwenye ndege? Ulimwambia kuhusu hii ishu?

Labda mkuu kwa kuongeza ungeuliza hivi, Mh Zitto unapopata nafasi ya kuwa karibu na Mh Rais huwa unampa mawazo kama haya ili ayapitie? Kuna mrejesho wowote kwako ktk swala lolote ulilowahi kushauri?
 
Back
Top Bottom