Tanzania watoto wa zama zile ndio wakubwa wa zama hizi

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
13,345
14,821
Wakati tukiwa wadogo tuliaminishwa ukiona gari nyekundu au msalaba mwekundu hao ni mumiani wananyonya watu damu,nakumbuka mara tukaletewa habari kuna mwanamke anaitwa msekwa ana titi moja,uzushi ukawa unasambaa kwa kasi ya ajabu.

Sasa wakubwa wa sasa wameaminishwa neno ugaidi kwa bahati mbaya waandishi,vyombo vyetu vya usalama pia vimetumbukia kwenye mkumbo mmoja,hivi tukijiuliza vikundi vya kigaidi vikiingia katika nchi hii kutalika kweli!

Kumbukeni ule mlipuko wa ubalozi wa Marekani ulikuwaje sasa hawa wahuni wa amboni na wale wahuni waliochinja watu mwanza tusiwape promo kubwa ya ugaidi wakati ni kikundi cha wauaji unaweza kuwaita majambazi kama komando yoso au panya road tu,tusirudi kwenye zama zile za kutishiwa buma,mumiani,zimwi.
 
Kwa Vile Hatuna Experience ya Matukio Makubwa ndio Mana Tunajiropokea tu,Ila waliokumbwa na madhila hayo Hawataki hata Kusikia neno Ugaidi!kwa Uzembe Wetu,wa Jeshi Letu la Polisi sidhani Kama Hawa Magaidi wakiamua kufanya Operations Zao tutakuwa Salama,Sisi Tunaishi kwa Neema ya Mungu tu ila si kwa Ulinzi tulionao!!
 
Kwa Vile Hatuna Experience ya Matukio Makubwa ndio Mana Tunajiropokea tu,Ila waliokumbwa na madhila hayo Hawataki hata Kusikia neno Ugaidi!kwa Uzembe Wetu,wa Jeshi Letu la Polisi sidhani Kama Hawa Magaidi wakiamua kufanya Operations Zao tutakuwa Salama,Sisi Tunaishi kwa Neema ya Mungu tu ila si kwa Ulinzi tulionao!!
Ki ukweli wakiamua ,italuja tokea disaster hatuta sahau

Uwa naangalia hata mliman city pale , usalama ni 0 yaan
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom