Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz wamekopeshwa na IMF dola 400bil, Kuna mikakati ya kurudisha au hilo deni litasamehewa??
Au mpaka kizazi cha 2040??
TUJIULIZE, SISI HATUWEZI KUZALISHA.
Hebu tujadili hili??wana THINKTANKER
Tunahitaji kujua masharti ya mkopo kwanza. Hizi tabia za kuambiana tu ooh tumepewa mkopo wa sh. kadhaa ni very irresponsible. Taarifa za mikopo zitolewe kwa ukamili.
Tz wamekopeshwa na IMF dola 400bil, Kuna mikakati ya kurudisha au hilo deni litasamehewa??
Ni kweli tz wamekopeshwa hicho kiasi, na bajeti ya Tanzania kwa mwaka ni zaidi ya Tirioni 3
Wadanganyika nyinyi watu wa ajabu saaaaana. Badala ya kusahihisha na kuendelea ku discuss issue mko mabishana ni dola au shilingi. Hii inawasaidia nini? Jiulizeni tu hivi hawa wakubwa wetu wanapokopa pesa hii huwa wanahitaji kwa ajili ya nini? nini vipaumbele? au ndio zikifika zinastimulate safari za viongozi kwa kuwa eti wanaenda kutafuta pesa?
Kulipa ni sisi wote tunalipa lakini kukopa sisi hatutakiwi kujua.
Haya wabunge wetu tunawapa kazi. Wakati wa bajeti tuwasikie mnamuuliza Mkulo mnasikia? na isiishie hapo tu bali monitor usage of this money!
Wewe unataka watu wa discuss mkopo ambao haujaeleweka ni wa kiasi gani?
Halafu nani anarudisha discussion kwenye dola au shilingi wakati watu washatoka huko kama siyo wewe?