Tanzania Vs Algeria;Mpira bila SIMBA YANGA inawezekana!

Kizimkazimkuu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
337
234
Ukiachilia mbali kuwa matokeo ya suluhu dhidi ya Ageria mchezo uliofanyika Ijumaa katika mjia wa BILDA, Algeria utaacha kumbukumbu nyingine ambayo pengine itachukua kipindi kirefu kufutika. Kikosi chote kilichocheza mchezo huo hakikumuhusisha hata mchezaji mmoja wa SIMBA SC jambo ambalo wafuatiliaji wa soka wanaeleza liliwahi kutokea mwaka 1990 katika michuano ya challenge! Kikosi kilichocheza Bilda kilikuwa hivi: Kado (Mtibwa). Mwasika(Azam), Jabir Idrisa (sofapaka),Nsajigwa (Yanga), Cannavaro (Yanga), Abdi/Babi(Yanga),Agrey Morris (Azam), Ngassa(Azam), Mrwanda(Vietnam), Henry Joseph (Sweden) Nizar(Canada). Mshambuliaji wa Simba Mgosi na Beki Kanoni hawakuwepo hata katika orodha iliyokuwa Benchi. Source: Mwanaspoti Jumanne, 7th Sept, 2010

Kwa muda mrefu washabiki wa Simba na Yanga wamekuwa wakiamini kuwa bila wachezaji wa vilabu hivyo vikubwa mpira hautachezwa..na makocha wengi wameingia matatizo kwa kuwaacha wachezaji fulani vipenzi wa Timu hizo. Mhanga wa mwisho alikuwa ni Maximo ambaye ameondoka akibebeshwa lkawama kwa kuwaacha Chuji, Kaseja na Boban wa Msimbazi. Jan Poulsen ametufungulia ukurasa mpya tumpe nafasi.........
 
Nakubaliana na wewe kaka kwamba na hili liweze kufuta imani ya wachezaji wengi ili waonekane wao ni wakali nia lazima wachezee simba au yanga kitu ambacho si kweli hizo ni klabu kama nyingine tu.
 
Mkuu,sisi (hasa Simba),hatuangalii nani alicheza na nani hakucheza,tunajali matokeo tu yakiwa mazuri tunafurahi, yakiwa mabaya tutanuna tu.Hii mambo ya kuangalia mchezaji anatoka timu ipi,imepitwa na wakati sasa tusitafute sababu ya kuanza kumpiga mawe kocha.Tulishawahi kumpiga huyohuyo Algeria 2-1 pale Shamba la bibi na mchezaji ambaye hakuwa wa Simba aliyecheza alikuwa Edibily pekee 1-11 nzima,hiyohiyo timu ikaibutua the cranes 4-1,smbuse juzi ambapo Mrwanda na Henry Joseph walikuwepo!!!!!
 
Mkuu,sisi (hasa Simba),hatuangalii nani alicheza na nani hakucheza,tunajali matokeo tu yakiwa mazuri tunafurahi, yakiwa mabaya tutanuna tu.Hii mambo ya kuangalia mchezaji anatoka timu ipi,imepitwa na wakati sasa tusitafute sababu ya kuanza kumpiga mawe kocha.Tulishawahi kumpiga huyohuyo Algeria 2-1 pale Shamba la bibi na mchezaji ambaye hakuwa wa Simba aliyecheza alikuwa Edibily pekee 1-11 nzima,hiyohiyo timu ikaibutua the cranes 4-1,smbuse juzi ambapo Mrwanda na Henry Joseph walikuwepo!!!!!


Hivi Mrwanda na Henry Joseph bado wanachezea simba tu!!
Basi na Nonda Shaaban bado ni wa Yanga!!
 
Ukiachilia mbali kuwa matokeo ya suluhu dhidi ya Ageria mchezo uliofanyika Ijumaa katika mjia wa BILDA, Algeria utaacha kumbukumbu nyingine ambayo pengine itachukua kipindi kirefu kufutika. Kikosi chote kilichocheza mchezo huo hakikumuhusisha hata mchezaji mmoja wa SIMBA SC jambo ambalo wafuatiliaji wa soka wanaeleza liliwahi kutokea mwaka 1990 katika michuano ya challenge! Kikosi kilichocheza Bilda kilikuwa hivi: Kado (Mtibwa). Mwasika(Azam), Jabir Idrisa (sofapaka),Nsajigwa (Yanga), Cannavaro (Yanga), Abdi/Babi(Yanga),Agrey Morris (Azam), Ngassa(Azam), Mrwanda(Vietnam), Henry Joseph (Sweden) Nizar(Canada). Mshambuliaji wa Simba Mgosi na Beki Kanoni hawakuwepo hata katika orodha iliyokuwa Benchi. Source: Mwanaspoti Jumanne, 7th Sept, 2010

Kwa muda mrefu washabiki wa Simba na Yanga wamekuwa wakiamini kuwa bila wachezaji wa vilabu hivyo vikubwa mpira hautachezwa..na makocha wengi wameingia matatizo kwa kuwaacha wachezaji fulani vipenzi wa Timu hizo. Mhanga wa mwisho alikuwa ni Maximo ambaye ameondoka akibebeshwa lkawama kwa kuwaacha Chuji, Kaseja na Boban wa Msimbazi. Jan Poulsen ametufungulia ukurasa mpya tumpe nafasi.........


kabla ya KUENDELEA WATAKE RADHI MASHABIKI WA YANGA KWA UJUMLA

),Nsajigwa (Yanga), Cannavaro (Yanga), Abdi/Babi(Yanga),

HAWA WAMETOKEA PAMBA YA MWANZA????ELSE FUTA KICHWA CHAKO CHA HABARI AMA REKEBISHA TUENDELEE BADALA YA KUDANGANYA JAMIII...YANGA SIO SIMBA KIJANA
 
kabla ya KUENDELEA WATAKE RADHI MASHABIKI WA YANGA KWA UJUMLA

),Nsajigwa (Yanga), Cannavaro (Yanga), Abdi/Babi(Yanga),

HAWA WAMETOKEA PAMBA YA MWANZA????ELSE FUTA KICHWA CHAKO CHA HABARI AMA REKEBISHA TUENDELEE BADALA YA KUDANGANYA JAMIII...YANGA SIO SIMBA KIJANA
MMhhh......!!!! Mbona umekuwa mkali Sam? Hudhani kuwa mwenzetu kawaona hata hao wa Yanga ni wachache kuliko tulivyozoea? Hukumsikia kocha wa Azam alivyosema? (Ulikuwa bado hujarudi)
 
Back
Top Bottom