kilimahewa
Member
- Aug 20, 2009
- 5
- 0
Wakuu
havi karibuni haba dubai tulikuwa tukiburudika na channel 2 za tanzania. TBC1 na Channel 10 katika satellite Eutelsat W2A na sasa imekuwa ya kulipia (Startimes TV).je ni taratibu gani za kupata smart card..........
natanguliza shukrani
havi karibuni haba dubai tulikuwa tukiburudika na channel 2 za tanzania. TBC1 na Channel 10 katika satellite Eutelsat W2A na sasa imekuwa ya kulipia (Startimes TV).je ni taratibu gani za kupata smart card..........
natanguliza shukrani