WADAU JF:<BR>Nimeiona picha hii kwenye blog ya Mjengwa, ikabidi niwaletee hapa tujadili jinsi nchi yetu inavyoibiwa. Kama hili Jengo ni kweli limeghalim $1 M tu , basi ufisadi nchini mwetu unatisha. Hii naisema kwa sababu nyumba ya Governor wa fedha ilighalimu $1M na haiwezi kuwa hata robo ya ubora na uzuri wa jengo hili. Hivi kwanini tumefikia level hii ya wizi usio aibu?
Jengo jipya la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) lililozinduliwa leo na Rais wa China Bw Hu Jintao jijini Addis Ababa leo January 29,2012 Jengo hilo, ambgalo limegharimu dola milioni za Kimarekani, limejengwa kwa udhamini wa China (PICHA NA IKULU)