Kwanza nieleze mimi ni mfuatiliaji sana wa siasa za nchi mbalimbali. Nilichogundua ni kwamba marais wengi wazee ni wazuri sana kwa sababu zifuatazo:
(i) Kwanza wana busara sana
(ii) Pili na kubwa zaidi, kutokana na umri hana ambitions kubwa za kutumia urais ili awe tajiri.
Mifano mizuri ni rais wa Zambia kwa muda mfupi amefanya makubwa sana, mandela, Wade(though ana tamaa ya kipindi cha tatu), Kibaki nk. Marais wote hawa ambao walipata urais uzeeni hawajakubwa na kashfa za rushwa.
Ila tukiwa na rais mzee ateue kijana kama waziri mkuu ili akimbizane na mambo ya kila siku.
Ningefurahi kama mmoja wa wazee hawa angeukwaa urais: Dr. Slaa, Sitta, Lowassa, Dr Salim bado ana nguvu na kiukweli anaweza akawa Rais mzuri zaidi
(i) Kwanza wana busara sana
(ii) Pili na kubwa zaidi, kutokana na umri hana ambitions kubwa za kutumia urais ili awe tajiri.
Mifano mizuri ni rais wa Zambia kwa muda mfupi amefanya makubwa sana, mandela, Wade(though ana tamaa ya kipindi cha tatu), Kibaki nk. Marais wote hawa ambao walipata urais uzeeni hawajakubwa na kashfa za rushwa.
Ila tukiwa na rais mzee ateue kijana kama waziri mkuu ili akimbizane na mambo ya kila siku.
Ningefurahi kama mmoja wa wazee hawa angeukwaa urais: Dr. Slaa, Sitta, Lowassa, Dr Salim bado ana nguvu na kiukweli anaweza akawa Rais mzuri zaidi