MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kwa wenzetu kwenye nchi zilizo endelea kuna utaratibu wa kujua thamani ya assets za mtu binafsi na makapuni. Hii ndiyo maana wenzetu wanaweza kuorodhesha watu au mashirika yenye pesa zaidi. Je kwa Tanzania tuna utaratibu wa kujua mtu binafsi au shirika ina assets za kiasi gani? Nadhani tungeweza kufanya hivyo tungeweza kuona jinsi watanzania na Tanzania ilivyo tajiri(aidha kwa uhalali au la).