We should dare face it once and for all ... Kazi ya kiswahili kama lugha moja ya Taifa ... Imeshafanyika .... imemalizika na kutufikisha mahali ..hatuwezi kuendelaea bila lugha ya kiingereza kupewa umuhimu sawa na Kiswahili...!!
Mawazo ya kikoloni mpaka kwenye mishipa ya damu
Tunaweza kuendelea bila kiingereza kwani kiingereza si ardhi, watu, siasa na uongozi bora.