Tunakubaliana kuwa Tanzania tuna kila kitu cha kuweza kutufanya tuwe engine ya maendeleo Afrika.
Na tukijitahidi kuhubiri umoja tukiungana na DRC, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya na South Sudan tunajenga nchi itakayokuwa na kiwango kama cha India au Brazil.
Tunahitaji kitu kimoja tu nacho ni uongozi imara na visionary. Ukweli tukiwa na Dr Slaa kama rais Tanzania tutarudisha tena heshima yetu, we will lead again. Jamani amkeni tulete ukombozi
Na tukijitahidi kuhubiri umoja tukiungana na DRC, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya na South Sudan tunajenga nchi itakayokuwa na kiwango kama cha India au Brazil.
Tunahitaji kitu kimoja tu nacho ni uongozi imara na visionary. Ukweli tukiwa na Dr Slaa kama rais Tanzania tutarudisha tena heshima yetu, we will lead again. Jamani amkeni tulete ukombozi