VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
[h=6]TBC anzisheni CHANNEL YA TBC BUNGE [ yaani mambo ya bunge tu mwanzo mwisho, zaidi ya hapo majimboni, vikao vya kamati za bunge kama hakuna BUNGE? ]
Mbona channel za MUZIKI wanaweza hali wakijiendesha kwa kodi zetu? Kwa nini tuweka mambo ya MUZIKI mbele kwenye chombo cha serikali [MIZIKI YENYEWE YA KIKONGO ] wakati kuna mambo kama ya BUNGE na shughuli za majimbo havina nafasi?
Kama tusipoweka vipaumbe vyetu sawa, tutaendelea kuchechemea na kunyumba kimaendeleo pamoja na kunyima watu nafasi ya kupata taarifa muhimu hasa za bunge, ni lazima tuwe na uwezo wa kujua neno kwa neno ya kile kinachoendelea bungeni muda wote wa kikao.
Bunge lipewe channel yake hapo TBC na iwe na kazi hiyo tu, likianza DODOMA hakuna kukata mwanzo mwisho na likimalizika shughuli za kamati ziwe zinarushwa hewani, hakuna siri ya kuficha,
Itafungua wananchi zaidi na itakuza utendaji wa bunge, pia itaongeza uelewa na upatikanaji wa taarifa za bunge kwa wananchi, kitu ambacho ni muhimu sana kwa lolote taifa.[/h]SOURCE : CHANGE TANZANIA GROUP ON FACEBOOK
Log In | Facebook
Mbona channel za MUZIKI wanaweza hali wakijiendesha kwa kodi zetu? Kwa nini tuweka mambo ya MUZIKI mbele kwenye chombo cha serikali [MIZIKI YENYEWE YA KIKONGO ] wakati kuna mambo kama ya BUNGE na shughuli za majimbo havina nafasi?
Kama tusipoweka vipaumbe vyetu sawa, tutaendelea kuchechemea na kunyumba kimaendeleo pamoja na kunyima watu nafasi ya kupata taarifa muhimu hasa za bunge, ni lazima tuwe na uwezo wa kujua neno kwa neno ya kile kinachoendelea bungeni muda wote wa kikao.
Bunge lipewe channel yake hapo TBC na iwe na kazi hiyo tu, likianza DODOMA hakuna kukata mwanzo mwisho na likimalizika shughuli za kamati ziwe zinarushwa hewani, hakuna siri ya kuficha,
Itafungua wananchi zaidi na itakuza utendaji wa bunge, pia itaongeza uelewa na upatikanaji wa taarifa za bunge kwa wananchi, kitu ambacho ni muhimu sana kwa lolote taifa.[/h]SOURCE : CHANGE TANZANIA GROUP ON FACEBOOK
Log In | Facebook