Tanzania Tuige Mifano Kama Huu Hapa: Hakuna Wa Kuwa Juuu Ya Sheria!

TUTAZAME UPYA UTOAJI HAKI KWA WATANZANIA NA KUZIBA MIANYA INAYOWAPENDELEA MATAJIRI KUKWEPA ADHABU STAHIKI

Sijui ni lini barani Afrika utamaduni wa 'Sheria ni kwa ajili ya akina wale' na wengi kutokuguswa kitu itaisha lini. Jambo moja linalosikitisha zaidi ni kwamba kuna rafiki yangu mmoja hivi alikamatwa kwa kosa la kugonga kwa nyuma daladala ilikua imepaki katikati ya barabara na yeye akafikiria gari hilo linatembea.

Licha ya gari lake kuharibika sana ila kwa daladala hasara ilikua ni kwa indicator moja tu, alilazwa wikiendi nzima rumande kwa kukanusha kusababisa ajali kwa uzembe.

Kwa mujibu wa maelezo yake kilichomsikitisha sana ni kwamba kwa wiki hiyo hiyo naye mwanasheria mkuu mstaafu, Andrew Chenge, naye akawa amepata ajali huko masaki masaki huko. Katika ajali hiyo mheshimiwa huyu yasemekana alisababisha hasara ya kuharibu kabisa usafili aina ya bajaji na baya zaida akasababisha vifo vya rais watatu pale.

Hatua ya vyombo vya sheria dhidi ya Mhe Chenge ilikua ni kwamba badala ya kupelekwa naye kule kule rumande wakati uchunguzi ukiwa unaendelea badala yake huyu baba aliongwa na jopo kubwa la maafisa karibia wa vitengo vyote vya vyombo vyetu vya usala kwenye msafara wa kifalme kwenda kukagwa eneo la tukio alikochukulia watu uhai. Na kweli nakumbuka nami kuona lugha za mwili wa maafande wetu kama wanamsikitikia vile kupata ajali baya na hata kumpa pole.

Ajabu ya mwaka ni kwamba huyu Mlinzi Mkuu wa sheria za nchi hakupelekwa rumande wala nini wakati watu wa aina yake, tunaowafahamu kwa majina, wakisababisha vifo hukaa rumande kwa zaidi ya hata miaka mitano hivi.

Mheshimiwa Chenge hakuenda kabisa huko. Kesi yake ikaanza kupigwa dana dana kumruhusu yeye kwenda mahakamani pale anapowiwa. Na hivi karibuni tu katozwa Tsh laki 7 tu kwa roho hizo tatu pamoja na bajaji. Hii hali haina tofauti sana na simulizi sa Kampen Meneja wa Mhe Kikwete 2005, Marehemu Ukiwao Mzuzuri Ditopile na kutoweka kwa uhai wa dereva wa daladala njia ya tegeta.

Tangu hapo nilifika mahali nikupata kutambua kwamba kumbe sheria zetu ni kwa ajili ya kuwadhibiti watu wa chini tu na wala wakubwa hawamo katika mipaka hiyo na kwamba wakiamua kuwemo basi ni kwa ajili tu ya kuridhisha jamii mambo yapite salama.

Jamani kwa mtindo huu watu masikini barani Afrika bado tutaendelea tu kuwa masikini kwa kubebeshwa gharama kubwa mno wa mikesi na wala dalili za siku moja kufanya UTOAJI WA HAKI UWE SAWA KWA WOTE itabakia tu kuwa ni ndoto usingizini.

Nadhani katika Uundwaji Upya wa Sheria zetu BAADA YA KATIBA MYA tujaribu kuhakikisha hili swala la HAKI SAWA KWA WOTE ambayo imebakia tu kinadharia vichwani ipewe ufumbuzi wa kutosha.

Uwajibikaji mkubwa uwepo, mianya mingi kisheria izibwe na pia watu pia wapigwe faini kulingana na kipato chake au watu wa ngazi yake ili nako uchungu faini ya Tsh 70,000/- inapomuuma mhudumu wa hoteli kulipa ili apate kuwa huru mahakamani naye mzee vijisenti awe analipa kitu kama Tsh 70m/- hivi na hapo ndipo maumivu kwa watuhumiwa hawa wawili kinadharia huenda wakapata maumivu ya aina moja na kuwafanya siku nyingine waogope kurudia kosa husika.

Tofauti na hapo ukimtoza mhudumu faini sawa kitarakimu na ile ya Mzee Vijisenti mtu atakayekuwa ameadhibiwa zaidi, kwa maoni yangu, ni huyu mwinye kipato cha chini.
 

-- Kumbuka historia ya uhuru kule Egypt, ilianza na Nabii Musa hakupewa bure kwanza alianza kwa kuomba kistaarabu kwa Pharao na baadaye ndio ikaja bakora!, sasa tunaanza na kuwaomba viongozi wetu kistaarabu kwanza!


William.

Natumaini hii inatoka ndani ya moyo wako. Ubarikiwe.
 
- - Bongo tunahitaji this kind siku moja mtu mmoja kwenye Judicial System yetu afunge macho ale sahani moja na mkulu mmoja mpaka kieleweke, angalau mmoja tu inatosha kwa kuanzia!

William.

This is BIG stuff. This really mean something, especially coming from you.....
 
Kikwete comes under fire over graft suspects Send to a friend Saturday, 25 September 2010 22:54 digg

By Bernard James
Chama Cha Mapinduzi's commitment to fighting corruption has come under scrutiny, with critics accusing its presidential candidate, Mr Jakaya Kikwete, of publicly embracing individuals facing graft allegations.

Political analysts were concerned about the legal, political and moral implications of President Kikwete's decision to involve in his campaigns for the October 31 General Election politicians charged with corruption or abuse of office.

At a campaign rally in Iringa earlier this week, a former secretary general of the Tanzania Football Federation, Mr Frederick Mwakalebela, who has been charged with bribing voters in the party's primary poll, was called to the podium in front of Mr Kikwete, to declare his support for the party, in a show that has raised questions over CCM's stand on corruption in elections.

Mr Mwakalebela, who won the party nomination, was axed by the National Executive Committee (NEC) in favour of the outgoing MP, Kilimanjaro regional commissioner Monicah Mbega, accused of bribing voters. He denied the charge in a court in Iringa.

A former Governor of the Bank of Tanzania and founder of the opposition party, Chadema, Mr Edwin Mtei, recently criticised President Kikwete for urging Rombo constituents to re-elect Mr Basil Mramba. The former Finance minister is currently on trial for alleged abuse of office that caused the government a loss of Sh11 billion.

President Kikwete invited Mr Mramba to the dais at a campaign rally and asked the people to vote for him, describing him as "an old hoe that does not rust".

Nadhani na hao wana mengi ya kujifunza kwetu:

Tuesday, November 25, 2008

Mh. Mramba na Mh.Yona Mahakamani!


Waheshimiwa Daniel Yona na Basil Pesambili Mramba wakiwasili mahakama ya Kisutu leo (picha kutoka Michuzi Blog)

source: Swahili Time: Mh. Mramba na Mh.Yona Mahakamani!

Na wengine kibao wakae chonjo, Kikwete yuaja.
 
Kikwete comes under fire over graft suspects Send to a friend Saturday, 25 September 2010 22:54 digg

By Bernard James
Chama Cha Mapinduzi's commitment to fighting corruption has come under scrutiny, with critics accusing its presidential candidate, Mr Jakaya Kikwete, of publicly embracing individuals facing graft allegations.

Political analysts were concerned about the legal, political and moral implications of President Kikwete's decision to involve in his campaigns for the October 31 General Election politicians charged with corruption or abuse of office.

At a campaign rally in Iringa earlier this week, a former secretary general of the Tanzania Football Federation, Mr Frederick Mwakalebela, who has been charged with bribing voters in the party's primary poll, was called to the podium in front of Mr Kikwete, to declare his support for the party, in a show that has raised questions over CCM's stand on corruption in elections.

Mr Mwakalebela, who won the party nomination, was axed by the National Executive Committee (NEC) in favour of the outgoing MP, Kilimanjaro regional commissioner Monicah Mbega, accused of bribing voters. He denied the charge in a court in Iringa.

A former Governor of the Bank of Tanzania and founder of the opposition party, Chadema, Mr Edwin Mtei, recently criticised President Kikwete for urging Rombo constituents to re-elect Mr Basil Mramba. The former Finance minister is currently on trial for alleged abuse of office that caused the government a loss of Sh11 billion.

President Kikwete invited Mr Mramba to the dais at a campaign rally and asked the people to vote for him, describing him as "an old hoe that does not rust".

Malecela? au Malechela? Huna hoja.
 

- Yaaani hata Peru wanajitahidi na sheria, hata Indonesia isipokuwa sisi tu!


William.

Tatizo la tanzania sio sheria tatizo la tanzania ni viongozi wanaotakiwa kusaidia kuhakikisha sheria zilizopo zinafanya kazi kuwa na rangi mbili.

tunajua
rais yuko juu ya sheria lakini rais anapotumia nafasi yake ya kuwa juu ya sheria kulinda madudu yake na mbaya zaidi kulinda madudu ya waziri , RC DC RPC au rafiki zake basi hata tungekuwa na sheria za kama za US ,UK, Norway , canada isingesaidia.

Tunajua kwa nafasi yako huwezi kusema ukweli wa direct. unasema sheria lakini moyoni unasema ni Uongozi ndio tatizo.
 
Nadhani na hao wana mengi ya kujifunza kwetu:

Tuesday, November 25, 2008

Mh. Mramba na Mh.Yona Mahakamani!

Waheshimiwa Daniel Yona na Basil Pesambili Mramba wakiwasili mahakama ya Kisutu leo (picha kutoka Michuzi Blog)

source: Swahili Time: Mh. Mramba na Mh.Yona Mahakamani!

Na wengine kibao wakae chonjo, Kikwete yuaja.

Hivi hawa na waliosaini mkataba wa Dowans nani ameliingizia taifa hasara kubwa, keep in mind two wrongs can't make a right. Lakini mbona hatuoni reactions ina at least the same proportion kutoka kwa JK kuhusu watu waliofanya uzembe kwenye Richmond na Dowans.
 
- Hapana mkuu unajua katika kazi yangu ya kila siku hapa New York City, huwa inanipa nafasi ya kufanya kazi kwenye Prison Systems zote za hapa Metro, infact huwa ninaiingia mpaka ndani wanakoishi inmates, jana nilikuwa kwenye prisons za Penn State na Trenton, NJ State, mle ndani nikamuona inmate mmoja aliyekua big politician zamani nikaongea naye sana na kumueleza jinsi kwetu watu kama yeye walivyo juu ya sheria, akacheka sana na kunitaka nimuombee ahamie bongo! ha! ha!

- However: nikatoka mle ninajiuliza how nice could it be kuwaona mafisadi wetu bongo wakiwa kwenye msoto kama yule mzee kwa kuvuruga trust ya wananchi na taifa!


William.
Kama tukiwa serious..no one will still be holding their offices, either in opposition or the ruling party

Some corrupt procedures are now 'just good habits'

I have watched with interest how the american presidential candidates were questioned even for a $200 campaign money given out of line!
How their words (back before they start running ) catch up with them, how their dirty linen is hanged in the public to dry..

And wondered how ours dare!! And they dare openly! And know, no one can do anything abt it..
 
Back
Top Bottom