Hatimaye all the miners have been rescued. ilikua kama vile action movie,ucku kucha nimeangalia. hawa jamaa wameni inspire sanaa kuanzia rais wao hadi waokoaji na watu wote kwa ujumla.sikuweza jizuia machozi.
kitu kama hiki kingetokea hapa kwetu ni wazi kuwa kaburi lao lingekua ni hilo hilo. sidhan kama ingekua ni hapa rais na mkewe wangekua mstari wa mbele kuhamasisha zoezi zima kwa kukesha mgodini. jamani hebu viongozi wetu tuone kama hii ni changamoto kwetu na tuache kungangania tu madaraka na viti ofisini na kuacha watu wanapoteza maisha bila msaada wowote.
TUJIFUNZE KUTOKA CHILE.
VIVA CHILE.......
kitu kama hiki kingetokea hapa kwetu ni wazi kuwa kaburi lao lingekua ni hilo hilo. sidhan kama ingekua ni hapa rais na mkewe wangekua mstari wa mbele kuhamasisha zoezi zima kwa kukesha mgodini. jamani hebu viongozi wetu tuone kama hii ni changamoto kwetu na tuache kungangania tu madaraka na viti ofisini na kuacha watu wanapoteza maisha bila msaada wowote.
TUJIFUNZE KUTOKA CHILE.
VIVA CHILE.......