Tanzania tuige mfano wa chile

Brandon

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
336
5
Hatimaye all the miners have been rescued. ilikua kama vile action movie,ucku kucha nimeangalia. hawa jamaa wameni inspire sanaa kuanzia rais wao hadi waokoaji na watu wote kwa ujumla.sikuweza jizuia machozi.

kitu kama hiki kingetokea hapa kwetu ni wazi kuwa kaburi lao lingekua ni hilo hilo. sidhan kama ingekua ni hapa rais na mkewe wangekua mstari wa mbele kuhamasisha zoezi zima kwa kukesha mgodini. jamani hebu viongozi wetu tuone kama hii ni changamoto kwetu na tuache kungangania tu madaraka na viti ofisini na kuacha watu wanapoteza maisha bila msaada wowote.

TUJIFUNZE KUTOKA CHILE.

VIVA CHILE.......
 
Hatimaye all the miners have been rescued. ilikua kama vile action movie,ucku kucha nimeangalia. hawa jamaa wameni inspire sanaa kuanzia rais wao hadi waokoaji na watu wote kwa ujumla.sikuweza jizuia machozi.

kitu kama hiki kingetokea hapa kwetu ni wazi kuwa kaburi lao lingekua ni hilo hilo. sidhan kama ingekua ni hapa rais na mkewe wangekua mstari wa mbele kuhamasisha zoezi zima kwa kukesha mgodini. jamani hebu viongozi wetu tuone kama hii ni changamoto kwetu na tuache kungangania tu madaraka na viti ofisini na kuacha watu wanapoteza maisha bila msaada wowote.

TUJIFUNZE KUTOKA CHILE.

VIVA CHILE.......
du.. nimesimuliwa sikuweza kuiona hiyo action... ila sidhani kama serikali yetu inaweza kufanya vitu kama hivyo. hongera chile...
 
Hatimaye all the miners have been rescued. ilikua kama vile action movie,ucku kucha nimeangalia. hawa jamaa wameni inspire sanaa kuanzia rais wao hadi waokoaji na watu wote kwa ujumla.sikuweza jizuia machozi.

kitu kama hiki kingetokea hapa kwetu ni wazi kuwa kaburi lao lingekua ni hilo hilo. sidhan kama ingekua ni hapa rais na mkewe wangekua mstari wa mbele kuhamasisha zoezi zima kwa kukesha mgodini. jamani hebu viongozi wetu tuone kama hii ni changamoto kwetu na tuache kungangania tu madaraka na viti ofisini na kuacha watu wanapoteza maisha bila msaada wowote.

TUJIFUNZE KUTOKA CHILE.

VIVA CHILE.......

Haiwezekani kama tuna raisi na uongozi wa Kisanii....kila kitu sisi ni mizaha tu!

Mwingine anasema ataleta mvua za kutengenezwa- Thailand, Mwingine Bajaj, mwingine Kigoma itakuwa Dubai....tunalaana sisi!
 
Hiyo haiwezekani hapa wenzetu wana determination hapa kila mara tunasikia watu wamefukiwa kwenye migodi lakini juhudi za kuwaokoa 0, nakwambia hao wangekuwa Bongo wangezikwa humo humo hamna mtu angehangaika nao.
 
well,hata TANZANIA kwa msaada wa nje hawa watu wangeokolewa,swala la kujiuliza ni chile wametumia muda mrefu au mfupi kuwaokoa hawa watu? je ingekuwa USA au UK hawa watu si wangeokolewa in not more then 10 days.
 
well,hata TANZANIA kwa msaada wa nje hawa watu wangeokolewa,swala la kujiuliza ni chile wametumia muda mrefu au mfupi kuwaokoa hawa watu? je ingekuwa USA au UK hawa watu si wangeokolewa in not more then 10 days.

Tanzania kuna usanii sana hata kwenye mambo ya Msingi! All in all Chile wameonyesha wanaweza kumbuka raisi na mkewe wamekuwepo muda wote wa operation rescue hadi watu wote waliokwisha. Mkwere angekuwa anasuburi kwenda kuuza sura kwenye Mazishi
 
Kawni wakuu hamkumbuki yule mtoto aliye tumbukia kwenye bwawa karibu na Mlimani University?, Kikosi cha uokoaji cha kikwete, sio kwamba kiliweza kumuokoa huyo mtoto, kilishindwa hata kuata maiti yake! vijana wenzao ndo walizama na kupata maiti hiyo.

HAYO YOTE YAWEZEKANA WATANZANIA TUKIAMUA KWA PAMOJA KUBADILISHA UONGOZI WA SASA 31/10/2010. NA TWAWEZA FANANA NA CHILE!
 
Back
Top Bottom