Tanzania: The Legacy of President Jakaya Kikwete (2005-2015)

Wana JF,

Mimi nina wasiwasi mkubwa kwamba kama raia kwa ujumla wetu tumepoteza uwezo wa kufanya upembuzi wa jambo lolote la kijamii bila ya kuweka personal or political bias zetu pembeni. Naombea kwamba pengine hili ni tatizo tu hapa JF, na sio huko kwenye kaya zetu. Hivi kwa nini tumeishia kujitazama kwamba sisi (au kundi la watu fulani) ndio lina haki ya kutoa maoni, na maoni yao ni sahihi zaidi wakati ya wengine wote ni ya kuwadharau tu kwavile wametoka ukoo fulani maarufu?

Nadhani Thuwein Makamba ana haki ya msingi kusikilizwa bila ya hoja zake kupindishwa. Hivi ukiishi nje ya nchi zaidi ya miaka 5 na umetembelea nyumbani kwa siku 90 tu kati ya hizo, maana yake ni kwamba umepoteza haki na uhuru wako wa kikatiba kujadili yanayotokea nyumbani? Wangapi humu JF hamjarudi nyumbani zaidi ya miaka 10 na bado mnajazba kuchangia hoja za nyumbani? Katiba ile ile ambayo wengi wenu mnapigania kwa maslahi ya wengine mnaminyia huyu kijana Thuwein! Kama hoja zake hazifai, basi hazifai on merit, sio kwa vile tu eti ni mtoto wa Mzee Makamba. Yeye akitoa maoni yake basi lazima anayo hidden agenda. Jiulize wewe mwenyewe huwa una maslahi binafsi katika kila jambo unalolisema? Haiwezekani. Kwanza huyu jamaa ameanza mada yake kwa kutoa full disclosure – kwamba Kikwete ameteua watu ndani ya familia yake kushika nyadhifa. Wangapi humu ndani mkitoa maoni yetu mnatoa disclosure ya conflict of interest mlizonazo huko uraiani? Hii sio desturi ya wengi, na nadhani huyu kijana ameonyesha njia hapa. Tena asingefanya disclosure, bado mngemshutumu!

Sasa kwende kwenye hoja zake. Kijana Thuwein amechanganua kwa maoni yake suala la freedom of the press katika vipindi vya awamu zote nne. Akasema Kikwete, love him or hate him, he is very tolerant of free press compared to past presidents. Uhuru wa kujieleza uliopo leo sio ule wa wakati wa Mwalimu. Sidhani kwamba huyu Thuwein alimaanisha kwamba Kikwete hajafanya matendo ya hapa na pale ambayo yanakiuka freedom of the press. Ushahidi upo to the contrary. Kwahiyo, that is not the point. Nilivyomuelewa mimi ni kwamba amepima wastani wake. Hivi wangapi leo wanadhani kwa wastani Nyerere angevumilia kutukanwa kama anavyotukanwa Kikwete leo hii? Tena haimaanishi kwamba uhuru huu wa leo umeletwa na Kikwete, la hasha. Umeletwa na wananchi wenyewe kupigania haki yao kwa muda mrefu kuwa na uhuru zaidi wa habari na maoni. Lakini suala ni kwamba Kikwete amevumilia mangapi ya kweli na ya uwongo bila ya kuchukua hatua za kuzima habari? Uhuru tulionao leo hii ni jambo ambalo lilikuwa geni sana kwa wananchi wa Egypt chini ya Mubarak, kwa wananchi wa Tunisia chini ya Ben Ali. Huo ndio ukweli. Tena huna haja ya kwenda mbali. Tazama jirani yetu Malawi ambapo nchi nzima ina magazeti matatu binafsi na yote yanafungiwa kila kukicha. Ukiwa pale Blantyre, mji mkuu, magazeti yanaonekana mitaani lunch time, na kopi zake ni chache sana. Kuna TV moja tu ya Serikali (private TVs zimezuiliwa bila sababu maalum) na kutwa nzima TV inaonyesha hotuba za Rais ama sivyo wanaweka kwaya za injili. Siku nzima! Hakuna talk shows, hakuna kuongea siasa kwa namna yoyote. Ni jambo la kujiuliza je tungekuwa kama wao, au kama Zimbabwe, Egypt, au Tunisia ambapo freedom of speech ni finyu je hali yetu ingekuwaje? Tupime hili bila kuleta hoja za kando kando.

Kuhusu generational change in leadership, hili nashindwaga kuelewa kwanini watu fulani hawalipendi kabisa, tena basi vijana! You would think kwamba vijana wangeungana katika hili bila kujali vyama au itikadi. Sijui ni kwa vile wanajua vyema vipenzi vyao watu kama Dr Slaa, Samuel Sitta, Membe au Lowassa tayari ni “wazee” katika zama za dunia ya leo? Letu ni Taifa la vijana, sasa kwanini tusiseme vijana competent wasipewe nafasi? Off course, umri peke yake sio hoja. Lazima kiongozi awe na utashi, uwezo, maadili na mengineyo. Kwahiyo mtu yeyote anayesema kwamba kiongozi mkuu ajaye awe amezaliwa baada ya mwaka 1961, haina maana kwamba akose sifa zingine zote! Haina maana kwamba sifa pekee ni huo umri “mchanga”. Lakini utashangaa kuona watu wanajibu hoja hii kwa kutoa logic za namna hii ambazo hazina msingi na wala hazipeleki mbele majadiliano.

Mwisho, imesemwa kwamba huyu Thuwein ameneemeka kutokana na familia yake. Cha kushangaza ni kwamba katika miaka yote ambayo baba yake amekuwa Katibu Mkuu CCM na kaka yake amekuwa Msaidizi wa Rais Ikulu na sasa Mbunge, huyu kijana ameamua kuwa nje ya nchi akijiendeleza mwenyewe kimasomo. Wanaomfahamu Marekani wanajua jinsi gani alivyosota huko. Hakwenda shule zinazojulikana, amesoma maeneo ambayo kwa Marekani ni “vijijini”. Na inaonekana scholarships na kazi za kujishikiza ndizo zimemsaidia kumaliza elimu yake. Kama angekuwa ni mtu wa kutegemea familia, basi angeweza amerudi nyumbani siku nyingi na kujaribu kunufaika binafsi na hayo maisha ya juu kupitia familia yake. Lakini badala yake yupo Sudan ya Kusini akiishi maisha ya shida vijijini akisaidia watu wa kawaida kiafya. Naamini angeweza kufanya hiyo kazi vijijini hapa Tanzania (ambapo hali kitaifa ni bora kuliko kule Sudani Kusini), lakini pengine alitaka kuwapo sehemu ambayo hatajulikana kwamba ni mtoto wa “kigogo” ili apate uzoefu wa kitaaluma bila kunufaika bila haki.

Maelezo mengi haya nimeyapata kwenye LinkedIn profile yake www.linkedin.com/pub/thuwein-yusuf-makamba/30/194/918 na ukisoma Thesis yake pia ambayo ipo online unaona mawazo haya.
 
Mzee Mbegu,

Naona umeamua kugeneralize kwamba wote waliompinga Makamba Jr kwamba wamefanya hivyo kutokana na kumuonea wivu. Hii sio kweli kabisa! Vitu alivyoandika hapo juu ni vitu vya kitoto na mbaya zaidi viko kinadharia zaidi. Nilikuwa najua ya kuwa elimu yetu hapa nyumbani imeshuka, lakini nilikuwa sijui hata Marekani nako elimu imeshuka kiwango hiki. Inakuwaje mtu mwenye shahada ya juu anashindwa kuelewa mihimili ya uchumi? Anasema Tanzania is on the verge of taking off, ni vigezo alivyotumia kufika hiyo conclusion? Wakati huo huo anajicontradict kwa kusema ya kuwa ana siku 90 tangu arudi Tanzania, sasa amejuaje ya kuwa Tanzania iko katika hali hiyo.

Huyu dogo lazima atambue ya kuwa he is entitled to his own opinion, but not to his own facts to quote senator Moynihan.
 
We all know that only a generation ago, Tanzania was rightly famed throughout Africa for the high standards of integrity, decency and probity in our public life. Our civil servants did not take bribes - in sharp contrast to the deplorable conduct of officials across most of East Africa and beyond.

And our politicians were keenly conscious of the distinction between public service and private greed. They did not go into government to make a fortune. On the contrary, with a few benighted exceptions. But over the past 15 years, Tanzanian public life has undergone a terrible deterioration. As the Richmond, BOT, UDA, MEREMETA, expenses scandal so graphically demonstrates, our MPs today think nothing of extorting money from the taxpayer. Meanwhile, former ministers shamelessly profit from office by making ruthless use of their contacts.

And that office in Magogoni in, instead of being the ultimate ambition for every aspiring MP, is now seen as a stepping stone for joining the super-rich.

So far I'm just disgusted with the whole cabinet and their workings. And I wonder if Thuwein has had power blackout in his flay/apartment/house 3 days in a row if he did then he will understand exactly where some of us come from. In short I'm not in a mood of loving JK nor his crew until he sorts out this pile of mess we are in at the moment
 
your among of few who eats national unfairly eats a national cake, JK have favoured you much your much individulistic, you dont think about the poverty of the nation,you dont think about the corruption existing, real you position does not see how much the life standard were suffering ndio maana unjifanya hata kiswhili umesahau.ITAFIKA KIPINDI MTATAMBUA KUWA NCHI HII NI YETU SOTE NA MALI ZA NCHI NI ZETU SOTE NA HATA HIVYO VYA KWENU NI VYA WIZI NA MTANYANGANYWA AU TUTAGAWANA TAKE CARE
 
Mzee Mbegu

Hiyo essay aliyoandika dogo imejaa logical inconsistencies, unsubstantiated statements pamoja na grammatical mistakes na kwa kweli haiendani kabisa na kiwango cha usomi wake kama kweli kasoma Tulane na kuandika hiyo thesis kwa jitihada zake mwenyewe. Hata hivyo, hainishangazi sana kwani nakujua tokea enzi za YoungAfricans.com kama mpambe na rafiki mkubwa wa kakake dogo, January aka "Curtis".
 
Last edited by a moderator:
Rufiji,
Labda utazame hii thesis yake kabla ya kutoa madai kwamba elimu yake ni finyu....

Immunization Activities in Post-Conflict Settings: Field Notes from Southern Sudan | Journal of Global Health



Kamisaa,

Kusoma maana yake ni kuweza kumpatia mtu uwezo wa kuchambua mambo katika upeo mkubwa. Kitu alichoandika Thuwein kinaonyesha dhahiri ya kuwa ana-upeo finyu wa kuchanganua mambo. Pili, nimesoma hiyo Thesis yake nayo pia hiko too shallow, nadhani walimu wanagrade hizo thesis tofauti; watu wa dunia ya tatu wanabebwa ili wamalize...
 
There was a free press that was fearful of the state and you can say that Benjamin was not comfortable enough to be ripped (or his government) in the press daily. This had resulted into fewer leaks and fewer scandals being presented to the press. It doesn't mean that there were no scandals.

Actually, during Pres. Mkapa's regime there was an aggressive free press. The press reported for almost a decade on "the Valambhia case". When one reads all the articles concerning the case, it seems the case was like an anti corruption movement in this country.

In fact, the media was very transparent in their coverage. The whole matter was reported in such transparent and detailed fashion. Even the headlines to the story were crystal clear in informing the reader of the high level corruption involved in this matter: "Corruption at the peak", "Corruption hinted in Valambhia case", "Valambhia accuses the govt., BoT of Daylite Robbery", "suit against BoT 'real test of rule of law'", "Dar leaders abetting Money Laundering", AG (Chenge) files suit to Stop payment of Dar court award",

"Chenge faces Imprisonment, says counsel". Instead, during the present regime, there is hardly any aggressive, investigative reporting on corruption except for an article in June 2009 by Richard Mgamba titled "The most expensive legal suit in Dar's history" which dealt with the ongoing corruption taking place at the present time with the case.

In the article, a senior BoT official is quoted as saying that this so called case is a fiction going on and is a "special" project of the few elite ppl/officials. There is no case, just fiction being created so that billing and invoicing can continue to take place at the BoT. A "special" project of the few for the benefit of the few costing the Tanzanian gvt. and the taxpayer millions of dollars. However, the article is not available online as it is suppressed by the government.

Even though the press was transparent, the President Mkapa did not do anything at all to stop the injustice going on before his eyes. He did not obey court orders, rulings, Judgements etc. In that regard, its the same today, the case is languishing at the court house long after Mr. Valambhia's death and a few are benefitting every day, (and there is absolutely no reporting going on at this daylite robbery continuing today). But the President in charge seems to be following in the footsteps of his predecessors- of doing nothing!

(A sitting President today in Tanzania will not act to stop the corruption taking place at the government's own central banK. )
 
Mzee Mbegu

It's not a matter of thinking if everyone should have the right to free speech or not. It's a matter of thinking if you should. Now, basing on what you wrote, do you think you should be entitled to the freedom of speech? One of the most pernicious forms of attempted censorship of unwelcome views isn't overt repression, but rather to convince people not to express those unwelcome views in the first place. It's always much better to head off the wrong thoughts before they are expressed rather than clamp down on them after they are already out in public.

Regarding what would have happened if we had limited freedom speech like the Tunisians, Egyptians, etc, it is not about the freedom of speech, but the people's power. If the people's power says you must go, then you must go my friend. The Egyptians did not have the freedom of speech, but what happened? This video provides a brutal example of people's power.

 
Last edited by a moderator:
Thuwein you are right in your own way, and as you have declared your interest and on the same ground you still wish to see your master receives a standing ovation when his days comes to the end. I just wish to say that any excellency you wish to applaud to the master is clearly overwhelmed by his weaknesses, his legacy remains the worst experience in the history of this country.

His government was the most inert and irresponsible of all times.
 
You see, we Tanzanians are luckly. Nyerere presided a nation with a clear vision to empower and create independent thinkers out of Tanzanians. He pushed education in its empowering version-not to accumulate knowledge, but to become the means of livelihoods.

accumulation of knowledge is one thing and using the knowledge you have accumulated to the benefits of our nation is another....
 
"Moving forward, Tanzania is on the cusp of taking off."

This is among the stupidest statement I have ever heard in my life, I am curious to know which criterion he used to reach that preposterous conclusion. We don't have reliable energy and this kid is talking about free media? Corruption has become part and parcel of our lives, and you are saying we are about to take off? My advice, please go back and study Economics 101 before posting your gibberish.

The father of economics as we know it never called it economics. He preferred the term political economy. The idea is that economics and political system goes together. Sasa Rufiji, Tanzania do have an economic crisis as a result of political crisis. The energy can be reliable if politicians make the right decisions.

We have gas, we have means for HEP, we have the Mchuchuma, and plenty of "capabilities" (as Amartya Sen would put it) to end the energy crisis. Our country is not land locked, we have fresh water bodies, tourism, and minerals.

Economic crisis in bongo is self-inflicted. That is why Bwa Mdogo wrote we are on a cusp of taking off assuming that in 2015 we put the right leaders who are blind of 1961 euphoria--because the political crisis can easily be fixed. Maybe u need to read and reason what the author meant, instead of jumping into populist reduction while you are inside the box.

And if u think free press is not important. Then Muheshimiwa hakuna haja ya kuendelea na mjadala.

The other crisis that we have is fewer skilled work force, and those who are skilled spend their productive time in JF discussing rather un-important figure as Thuwein Makamba. This also has to be fixed.
 
Rufiji,
Labda utazame hii thesis yake kabla ya kutoa madai kwamba elimu yake ni finyu....

Immunization Activities in Post-Conflict Settings: Field Notes from Southern Sudan | Journal of Global Health


.
Sioni cha ajabu katika hi thesis yake...wanafunzi wote wa elimu ya juu hupitia tanuri hili, na ni la lazima, why should we clap for him? Besides ukiingalia article ni majumuisho ya tafiti zilizofanywa na wengine ambazo yeye amezitumia ili kuji familiarize na mazingira ya eneo husika, na alifanya hivyo ili kulenga ajira katika eneo lille na amefanikiwa kuipata........ni mwendo wa kuunga unga tu.
 
Moving forward, Tanzania is on the cusp of taking off. We have this great foundation in place, we just need a reformer and visionary at helm to steer us the right way.

Any sovereign country ruled by the rule of law cannot move forward without recognizing the rule of law of that country. NO democracy can move forward without recognizing the basic core beliefs of what constitutes a democratic nation, and those are human rights, justice, and equality for all. How can a nation drowned in the sea of corruption move forward? Martin Luther King, Jr, once said that the arc of the moral universe is long, but it bends towards justice.

The most dangerous aspect of both this President, and the former, is that both are responsible for bending the arc of this moral universe backwards towards lawlessness for at least a generation. The most important lesson on rule of law and good governance is actually to be found in what transpired for two decades (and continues to take place today) in "the Valambhia case".

The former President let this "criminality" happen even when newspapers, radio stations and public opinion shouted at the top of their lungs to please settle this matter for its incurring unnecessary cost to our country. The cost is not only monetary, the cost is the rule of law of this country, the cost is good governance, the cost is the basic fundamentals of a democracy.

The biggest question is why would any normal, rational government not want to end this matter? And want this crime to continue to take place and that also at the High Court of Dar. (The scam, a "special" project of the few and mighty, at the HC has absolutely nothing to do with the law, however, it has everything to do with keeping billing and invoicing alive at the BoT regarding this matter.) Mwalimu Nyerere used to say corruption was the enemy of justice and unfortunately that is true in this matter. It is in this "allowing" of this scam of few officials, in this continuing of a "special" project of the few, where the core foundation of a democracy is at stake.

There cannot be effective democracy without the implementation of rule of law, good governance, justice and equality for all. The legacy of this President will of one who "allowed" the abuse of the rule of law, who "allowed" abuse of the courts, who "allowed" this daylite robbery to take place, who "allowed" his country to be drowned in the sea of corruption and who was responsible for turning that moral arc of universe backwards for another generation, thus handicapping democracy.

In their silence on this matter, in their doing nothing to recognize the noble cause of JUSTICE for the nation, in their not stopping the looting taking place at the BoT in this matter, in that he and the former President can be considered nothing short of accomplices in a crime, because both have done nothing to stop this crime from taking place at the High court and at the BoT, yesterday and today.
 
When JK galloped into the highest public office in this nation his adulators were too trigger-happy to silence his critics that it was too early to place JK under microscopic valuation since he was yet to deliver. We were urged to give him at least three years before the inquest of his leadership skill could commence in earnest. However, having JK’s 17 years ministerial underachievement as a guidance, JK’s skeptics were not quelled as they went on to prophesy his administration would be long in lip-service but short on delivery.


That hindsight reminisces of JK’s sunset years of a lackluster ministerial career that was embroiled in foreign relations waterloo following one Saudi legate had allegedly raped one of his maid’s girl and JK failed to rise to occasion when he recommended bribing the poor gal to hush-up that criminal act. To JK, the rich should always buy their freedom from the poor; as a result, having that criminal Saudi suspect being hastily repatriated back home to cover-up the inhumane act. This signifies that under JK the haves do not need to account to the have nots. The whole caboodle of curbing impunity was for the lip-servers only. That Saudi Legate has never been apprehended in his home country despite JK promising impunity will not prevail into that matter.


In six years of JK leadership, Tanzanian currency has lost and continues to lose ground against major International currencies despite major infusions of funds in the form of foreign aid and private investments. The real secret behind freefall of our local currency remains to be cryptic tax exemptions and official graft. My crystal ball reassures me that unless something is serious done to curb massive tax exemptions and official graft benefiting conglomerates we shall enjoin Mugabe in declaring official dollarization of our economy because our currency will be just like” toilet paper.”


“Kilimo Kwanza” was part of a highly orchestrated ccm 2010 campaign to deceive rural voters that ccm is their protector while the truth suggest that ccm is preparing the rural peasants as “manamba” or mere spectators to service the selfish needs of conglomerates. Arable land is hastily handed to aliens in the name of achieving Millennium goals and/or "legalized” globalization!


In patching up his administration, Jk has perfected the art of cronyism and patronage in manner that makes his predecessors look amateurish and naïve………..no wonder his efforts to consolidate power in his own unsteady hands have convinced him to rewrite the procurement laws in a way that will placate him with overseer and accounting officer mandates of all national procurement decisions……………..placing the institution of presidency at the nerve centre of monitoring and abetting procurement malpractice under guises of presidential supervision!


……on constitutional reforms, JK has persevered to rewrite the laws the way he wanted reducing us into mere spectators via a presidential commission he had single-highhandedly picked in a manner our past laws have been written notwithstanding the public quest for interactive dialogue to the same…………….how do I rate JK’s leadership? An F may be too harsh but a D minus is spot-on in many ways………… an underachiever in CHIEF, is JK’s enduring legacy……………
 
A failed president...amefeli kila kitu na worse enough J.K lacks even plan C in his fully capacity..his legacy can never remain intact any longer.
 
Back
Top Bottom