SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Naamini iko siku hizi taasisi zitaanzishwa hapa nchini na Afrika kwa ujumla.
Imeashaanza UD mkuu.
Tuliwashauri siku nyingi kama watakuwa wameanza ni jambo njema. Naomba utupe taarifa zaidi kuhusu nini UDSM wanafanya katika Tele-Education.