Tanzania: Tatizo la ajira kwa vijana ni kubwa sana, lisifanyiwe masihara!

umeongelea UBUNIFU wa ajira! Ubunifu anaufanya mwajiri au anaeomba kazi? Maana hauwezi ku-apply kazi kwenye position ambayo haipo, et kisa unafanya mbunifu..
Kuna ubunifu wa Ajira toka kwa mtafuta Ajira mwenyewe kaka mfano wewe ni mwalimu wa michezo kuna shule nyingi hazina mfumo wa ufundishaji michezo mashuleni unajua kwanini sio mwajiri hajabuni yeye ni mwendeshaji tuu ila wewe unayejua taaluma ya michezo kwanini usiende pale ukaongea na mkuu wa chuo au bodi ya chuo husika kuhusu wazo la kufundisha kuhusu taaluma yako ya kufundisha michezo shuleni hapo? Hapo utakuwa Hujabuni ajira mpya mahali husika tuu??
Vivyo hivyo kwenye maeneo mengine mengi kunahitaji ubunifu wa ajira mpya tuu tutasonga mbele badala ya kusubiri mpaka shule itangaze nafasi za mwalimu wa michezo ndo ukaombe utakuwa umechelewa sana.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nakubaliana na mwanzisha mada kuwa ajira ni tatizo hapa nchin..Tatizo lingine ni mtu kuwa na passion na kile ki2 anachokifanya.unaweza ukamwuliza mtu unataka kufanya kazi gan atakwambia yoyote tu ambayo inalipa, sasa huu si upunguan kwel..ndo maana NG'Os zimekuwa nying nowdayz na hata hazidumu coz soon mwanzilish akishapata pesa za kutosha anasepa zake na inakufa, wat is this.?its lack of passion n commitment on wat you do..lets work on ths n mayb we can succed on tacklin employment problem.Over
 
Habari zenu wana Jf!

Katika miaka ya hivi karibuni wahandisi wengi wa hapa nchini wamekua wakiangaika sana kupata ajira, huku tukiona makampuni na viwanda wakiajiri wahandisi wengi kutoka nje ya nchi.

Je, hili linatoka na;

1. Mfumo wa elimu waipatayo wahandisi wetu ni mbovu na hauendani na mahitaji ya viwanda na makampuni, na kama mfumo mbovu unashauri nini kifanyike ili tuweze kwenda sambamba na mahitaji ya makampuni na viwanda?

2. Nchi ina wahandisi wengi kiasi kwamba tumejitosheleza, na kama wapo wengi kwanini makampuni na viwanda vina ajiri wahandisi kutoka nje ya nchi na tuki waacha wa humu nchini kwetu waki landa landa kutafuta ajira?
 
Ukosefu wa ajira hapa nchini limekua ni moja ya majanga ya kitaifa. Je? Unafikiria kifanyike nini ili kuweza kukabiliana na hili tatizo.

1. Kubadili Mtazamo - ni lazima vijana wajaribu plan B, yaani kujiajiri, tatizo la ajira haliwezi tatuliwa kwa kusaka kazi tu ni lazima miongoni mwa vijana wanao maliza vyuo wengine wajiajiri na wengine waajiriwe.

Hapa ni lazima Entreprenership Spirit ijengwe, nchi nyingine unaweza kuta katika graduate 4000 kutoka chuo kimoja basi 800 huenda kujiajiri wenyewe na wanao bakia ndo waingia sokoni.

Ila kwa Tanzania ni tofauti kabisa almost asilimia 100 ya graduate huingia sokoni. Hapa ni lazima tatizo la ajira liwe kubwa tu. Wazazi wasaidie kuhamasisha watoto wao wajenge hari ya kujiajiri, wenyewe.

Mara nyingi tumeshuhudia tukiwa wadogo wazazi wetu walitusisitizia tusome ili tuje kuwa wakurugenzi so hili ni tatizo kubwa. Serikali ni lazima iweke mazingira mazuri ya vijana kujiajiri, ikiwemo mikopo na kazalika.

Viwanda ndo kitu pekee kitakacho weza kupunguza tatizo la ajira ila ndo kama hivyo hatuna viwanda na tunaagiza hadi vijiti vya meno. Bila viwanda kwa wingi tatizo la ajira halitatuliwa.

Ila Mimi naamini vijana wengi wakifanikiwa kubadili fikira kwamba maisha ni kuajiriwa na kuwa na fikira kwamba maisha ni kujiajiri tutaweza punguza kwa sababu na wao wataajiri wengine
 
Ukosefu wa ajira hapa nchini
limekua ni moja ya majanga ya kitaifa. Je? Unafikiria kifanyike nini
ili kuweza kukabiliana na hili tatizo.

Tatizo sisi waTz tumelala. Tunataka kazi za kufunga tai au kuulamba. Kuamka saa kumi na moja alfajiri na kukimbilia mjini ndo maisha tunayoona yanatufaa.
Lakini, kwa hakika hii nchi ina opportunity nyingi sana. Ngojea tuendelee kulala lakini cha moto tutakuja kukiona...
 
1. Kubadili Mtazamo - ni lazima vijana wajaribu plan B, yaani kujiajiri, tatizo la ajira haliwezi tatuliwa kwa kusaka kazi tu ni lazima miongoni mwa vijana wanao maliza vyuo wengine wajiajiri na wengine waajiriwe.

Hapa ni lazima Entreprenership Spirit ijengwe, nchi nyingine unaweza kuta katika graduate 4000 kutoka chuo kimoja basi 800 huenda kujiajiri wenyewe na wanao bakia ndo waingia sokoni.

Ila kwa Tanzania ni tofauti kabisa almost asilimia 100 ya graduate huingia sokoni. Hapa ni lazima tatizo la ajira liwe kubwa tu. Wazazi wasaidie kuhamasisha watoto wao wajenge hari ya kujiajiri, wenyewe.

Mara nyingi tumeshuhudia tukiwa wadogo wazazi wetu walitusisitizia tusome ili tuje kuwa wakurugenzi so hili ni tatizo kubwa. Serikali ni lazima iweke mazingira mazuri ya vijana kujiajiri, ikiwemo mikopo na kazalika.

Viwanda ndo kitu pekee kitakacho weza kupunguza tatizo la ajira ila ndo kama hivyo hatuna viwanda na tunaagiza hadi vijiti vya meno. Bila viwanda kwa wingi tatizo la ajira halitatuliwa.

Ila Mimi naamini vijana wengi wakifanikiwa kubadili fikira kwamba maisha ni kuajiriwa na kuwa na fikira kwamba maisha ni kujiajiri tutaweza punguza kwa sababu na wao wataajiri wengine
 
1. Kubadili Mtazamo - Ni lazima Vijana wajaribu Plan B, yaani kujiajiri, tatizo la ajira haliwezi tatuliwa kwa kusaka kazitu ni lazima miongoni mwa Vijana wanao maliza vyuo wengine wajiajiri na wengine waajiriwe.Hapa ni lazima Entreprenership Spirit ijengwe,Nchi nyingine unaweza kuta Katika Graduate 4000 kutoka Chuo kimoja basi 800 huend kujijiri wenyew na wanao bakia ndo hingia sokoni, Ila kwa Tanzania ni Tofauti kabia almost asimia 100 ya graduatehuingia sokoni, hapa ni lazima tatizo la ajira liwe kubwa2. Wazazi wasaidie kuhamasisha watoto wao wajenge hari ya Kujiajiri, wenyewe, Mara nyingi tumeshuhudia tukiwa Wadogo wazazi wetu walitusisitizia tusome ili tuje kuwa wkurugenzi so hili ni tatizo kubwa3. Serikali ni lazima iweke mazingira mazuri ya Vijana kujiajiri, ikiwemo mikopo na kazalika4. Viwanda ndo kitu pekee kitakacho weza kupunguza tatizo laajira ila ndo kama hivyo hatuna viwanda na tunaagiza hadi vijiti vya meno, Bila viwanda kwa wingi tatizo la ajira halitattuliwa,Ila Mimi naamini vijana wengi wakifanikiwa kubadili fikira kwamba maisha ni kuajiriw na kuwa na fikira kwambamaisha niKujiajiri tutaweza punguza kwa sababu na wao wataajiri wengine

kujiajiri bila mtaji ni kazi bure!watanganyika wengi tumetoka kwenye familia zisizo na mtaji,ni impossible kusema watajiajir,labda wauze mihogo na kashata mtaani ndio ajira wanazoweza kujiajir lasivyo wengi wao wanasubir ajira za ofisin au makampuni,

vilevile serikali na benki zenyewe zinajifanya kutoa mikopo ila tatizo kubwa ni riba kubwa ambayo unatakiwa kuilipa na katika muda mfupi ambayo wengi inawashinda ukizingatia ni biashara mpya ambayo inapoanza inakua haina uzalishaji mkubwa bali matumiz ndio yanakua makubwa katika kujarib kucover cost,sasa unakuta na hapohapo benki zinaanza kudai mikopo yao this is not fair lazima kuwepo long grac period kulingana na biashara husika

mi nashauri kama hawawez kupunguza riba atleast watoe mda mrefu wakurudisha hiyo mikopo, la sivyo wengi wetu tunaogopa kuweka dhamana zetu, kwani tunajua mwisho wa siku hizo dhamana tutanyanganywa na hali ndio itazidi kuwa mbaya zaidi.

lakini vilevile ,serikali ikubali kupokea dhamana za mashamba ambayo hayana hati kwani wat wengi hawana hati miliki na hilo ndio tatizo kubwa sana hapa nchini serikali haijafanya urasimishaji wa mali za watu ,kama kweli wanataka watu wakope wawarasimishe watu nchi nzima mali zao kwa cost zao kama wanafanya sensa vile kwani huo ndio uwekezaji wa kwanza halaf watu utawaona wanakuja kukopa
 
ni kweli unacho ongea mkuu! Lakini chanzo chote haya je? ni uvivu, uzembe na kutojua kutumia oportunity zilipo, au mfumo wetu mmbovu ndio chanzo cha hata hawa vijana kuishi kwa mtindo wa kutegemea kuvaa tai na min skirt
Tatizo sisi waTz tumelala. Tunataka kazi za kufunga tai au kuulamba. Kuamka saa kumi na moja alfajiri na kukimbilia mjini ndo maisha tunayoona yanatufaa.
Lakini, kwa hakika hii nchi ina opportunity nyingi sana. Ngojea tuendelee kulala lakini cha moto tutakuja kukiona...
 
Ni kweli mkuu usemayo, lakini mitaala yetu hapa nchini haimjenge mtu kujiajiri zaidi ya kumtengenezea mtu mazingira ya kutafuta ajira, na pili hata katika familia zetu nyingi vijana hawatoki katika mifumo ya kujiajiri bali wanatengenezewa mazingira ya kuajiliwa.
1. Kubadili Mtazamo - Ni lazima Vijana wajaribu Plan B, yaani kujiajiri, tatizo la ajira haliwezi tatuliwa kwa kusaka kazitu ni lazima miongoni mwa Vijana wanao maliza vyuo wengine wajiajiri na wengine waajiriwe.Hapa ni lazima Entreprenership Spirit ijengwe,Nchi nyingine unaweza kuta Katika Graduate 4000 kutoka Chuo kimoja basi 800 huend kujijiri wenyew na wanao bakia ndo hingia sokoni, Ila kwa Tanzania ni Tofauti kabia almost asimia 100 ya graduatehuingia sokoni, hapa ni lazima tatizo la ajira liwe kubwa2. Wazazi wasaidie kuhamasisha watoto wao wajenge hari ya Kujiajiri, wenyewe, Mara nyingi tumeshuhudia tukiwa Wadogo wazazi wetu walitusisitizia tusome ili tuje kuwa wkurugenzi so hili ni tatizo kubwa3. Serikali ni lazima iweke mazingira mazuri ya Vijana kujiajiri, ikiwemo mikopo na kazalika4. Viwanda ndo kitu pekee kitakacho weza kupunguza tatizo laajira ila ndo kama hivyo hatuna viwanda na tunaagiza hadi vijiti vya meno, Bila viwanda kwa wingi tatizo la ajira halitattuliwa,Ila Mimi naamini vijana wengi wakifanikiwa kubadili fikira kwamba maisha ni kuajiriw na kuwa na fikira kwambamaisha niKujiajiri tutaweza punguza kwa sababu na wao wataajiri wengine
 
kujiajiri bila mtaji ni kazi bure!watanganyika wengi tumetoka kwenye familia zisizo na mtaji,ni impossible kusema watajiajir,labda wauze mihogo na kashata mtaani ndio ajira wanazoweza kujiajir lasivyo wengi wao wanasubir ajira za ofisin au makampuni,

vilevile serikali na benki zenyewe zinajifanya kutoa mikopo ila tatizo kubwa ni riba kubwa ambayo unatakiwa kuilipa na katika muda mfupi ambayo wengi inawashinda ukizingatia ni biashara mpya ambayo inapoanza inakua haina uzalishaji mkubwa bali matumiz ndio yanakua makubwa katika kujarib kucover cost,sasa unakuta na hapohapo benki zinaanza kudai mikopo yao this is not fair lazima kuwepo long grac period kulingana na biashara husika

mi nashauri kama hawawez kupunguza riba atleast watoe mda mrefu wakurudisha hiyo mikopo, la sivyo wengi wetu tunaogopa kuweka dhamana zetu, kwani tunajua mwisho wa siku hizo dhamana tutanyanganywa na hali ndio itazidi kuwa mbaya zaidi.

lakini vilevile ,serikali ikubali kupokea dhamana za mashamba ambayo hayana hati kwani wat wengi hawana hati miliki na hilo ndio tatizo kubwa sana hapa nchini serikali haijafanya urasimishaji wa mali za watu ,kama kweli wanataka watu wakope wawarasimishe watu nchi nzima mali zao kwa cost zao kama wanafanya sensa vile kwani huo ndio uwekezaji wa kwanza halaf watu utawaona wanakuja kukopa

Na huu ndo ukweli mkuu!tutapiga keleke hapa,ooh! Watu hawataki kujiajiri,lkn c kweli,opportunity zipo bt capital ni tatizo! Even mi hapa ctamani kabisa kuajiriwa jinsi nilivyochoka na hii biashara ya kusaka ajira!bt unaanzaje?
 
Na huu ndo ukweli mkuu!tutapiga keleke hapa,ooh! Watu hawataki kujiajiri,lkn c kweli,opportunity zipo bt capital ni tatizo! Even mi hapa ctamani kabisa kuajiriwa jinsi nilivyochoka na hii biashara ya kusaka ajira!bt unaanzaje?

mkuu! usiombe kutembea na hivyo vibahasha mpaka vinachakaa mkononi utafikir unafanya kazi posta,wote tunapenda kujiajiri kwani hamna anayependa kutumwatumwa
 
tatizo lipo kuanzia kwnye elimu yetu, Tanzania tunasoma elimu kuanzia msingi hadi sekondari ukiwa hujui utapata kazi gani ukifika form 6 ndio unaanza kuangalia wapi panakufaa hilo ndio tatizo kubwa hivyo inafikia muda na chuo umemaliza mpo watu 3000 ofisi zipo 400 inamaanisha watu 2600 wanakosa kazi kwa vile hawakujiandaa tokea mwanzo wanaamua kujaribu jaribu maisha wanaishia kukaa vijiweni

utatuzi
Mitaala ya Elimu ibadilishwe na iende kwa kuangalia mtoto anaelekea kuwa nani wengi ukiwauliza kama wanatembelea ndoto zao watakwambia hapana na wengine watakwambia kwetu ni watu wa aina fulani basi tu kwa vile ya masilahi lakini ili kazi ikupe mafanikio lazima kwanza uipende na uifanye kwa moyo.
 
Tatizo sisi waTz tumelala. Tunataka kazi za kufunga tai au kuulamba. Kuamka saa kumi na moja alfajiri na kukimbilia mjini ndo maisha tunayoona yanatufaa.
Lakini, kwa hakika hii nchi ina opportunity nyingi sana. Ngojea tuendelee kulala lakini cha moto tutakuja kukiona...

zitaje kabisa hizo opportunity wengine tunapata maujanja hapahapa...
 
Na huu ndo ukweli mkuu!tutapiga keleke hapa,ooh! Watu hawataki kujiajiri,lkn c kweli,opportunity zipo bt capital ni tatizo! Even mi hapa ctamani kabisa kuajiriwa jinsi nilivyochoka na hii biashara ya kusaka ajira!bt unaanzaje?

Napingana na wewe kwa 100% Ukiwa na sprit ya kujiajiri huwezi lia mtaji hata siku Moja, Ni kuulize kwani ni Mtaji kiasi gani inayo tosha kuanzisha biashara?

Je kuna kiwango maalumu kilicho wekwa kimataifa?

Hili la mitaji limekuwa likitumika kama Ngao ya kuhalalisha mtu asijijiri ila si kweli kwamba Tatizo ni Mtaji na fact ni nazo ukitaka,

 
kujiajiri bila mtaji ni kazi bure!watanganyika wengi tumetoka kwenye familia zisizo na mtaji,ni impossible kusema watajiajir,labda wauze mihogo na kashata mtaani ndio ajira wanazoweza kujiajir lasivyo wengi wao wanasubir ajira za ofisin au makampuni,

vilevile serikali na benki zenyewe zinajifanya kutoa mikopo ila tatizo kubwa ni riba kubwa ambayo unatakiwa kuilipa na katika muda mfupi ambayo wengi inawashinda ukizingatia ni biashara mpya ambayo inapoanza inakua haina uzalishaji mkubwa bali matumiz ndio yanakua makubwa katika kujarib kucover cost,sasa unakuta na hapohapo benki zinaanza kudai mikopo yao this is not fair lazima kuwepo long grac period kulingana na biashara husika

mi nashauri kama hawawez kupunguza riba atleast watoe mda mrefu wakurudisha hiyo mikopo, la sivyo wengi wetu tunaogopa kuweka dhamana zetu, kwani tunajua mwisho wa siku hizo dhamana tutanyanganywa na hali ndio itazidi kuwa mbaya zaidi.

lakini vilevile ,serikali ikubali kupokea dhamana za mashamba ambayo hayana hati kwani wat wengi hawana hati miliki na hilo ndio tatizo kubwa sana hapa nchini serikali haijafanya urasimishaji wa mali za watu ,kama kweli wanataka watu wakope wawarasimishe watu nchi nzima mali zao kwa cost zao kama wanafanya sensa vile kwani huo ndio uwekezaji wa kwanza halaf watu utawaona wanakuja kukopa

Hapo kwenye Red, hapo ndo watu kama wachina wakisoma wanachekelea sana, Usidhani wale wachina wanao tembeza vitu Kariakoo ni wajinga, Nenda China uone wanapo anzia ni huku huku kwa kutembeza,

Wabongo tunajifanya tunajua sana kumbe hakuna kitu, ni ujanja wa Kijinga tu, Kwani Kuuza Mihogo na Kashata si biashara? Biashara ni zipi? u najua Definition ya Biashara?

Wabongo tunaamni Biashara ni za Kwenda China kuchukua Mzigo, Biashara ni Kufungua M-PESA, Biashara ni Kununua Toyo, Biashara ni kufungua Saloni, ndo hizo tunazo jua,

Kuna watu walianza na Mafungu Matatu ya Mchicha, Ila ninapo andika wako mbali sana, tunakaa tunawaza Utajiri tu, Utajiri haujawahi wazwa, na ukiwaza Utajiri kinacho fuata ndo kwenda Kukata Maalibino mikono iukizania ndo kutajirika kumbe ni hakuna kitu,

Utajiri na Mafanikia siku zote ni Matokeo ya Kazi zako ulizo fanya, na Mara zote Safari ya Ujasirimali sio Rahisi kama tunavyo fikilia ni Sfari moja ngumu sana,

Na Dhata is wahy wengi walio fanikiwa ukijaribu kuangalia walivyo anza Safari zao unaweza lia na kuamni kwamba haiwezekani kabisa, Jaribu kusoma story za Wafanya biashara mbali mbali hata wa Africa uone Soma story ya Yule Mnigeria anaye Miliki Kampuni ya DANGOTE, soma story ya MUGUKU mfuga kuku wa Kenya aliye kuja kuibuka na kuwa kati ya Mbilionare watano wakubwa nchini Kenya,Unaweza lia na unaweza kesho yake kwenda kuandika Barua ya Kuacha kazi,

Huyu Jamaa MUGUKU wa Kenya napenda sana kumtumia kama mfano kwa sababu safari yake ya Ujasirimali inafundisha sana, kuna mengi sana ya Kujifunza kutoka kwa Huyu Mzee ambaye kwa sasa ni Marehemu ingawa kampuni yake bado ipo

So tusikae kusema Mitaji, Mitaji huku tunamiliki simu za Laki saba, Music systema, Gari, na kazalika, na kwa hizo aproach zetu kamwe hatutaweza kufanya chochote

 
tatizo lipo kuanzia kwnye elimu yetu, Tanzania tunasoma elimu kuanzia msingi hadi sekondari ukiwa hujui utapata kazi gani ukifika form 6 ndio unaanza kuangalia wapi panakufaa hilo ndio tatizo kubwa hivyo inafikia muda na chuo umemaliza mpo watu 3000 ofisi zipo 400 inamaanisha watu 2600 wanakosa kazi kwa vile hawakujiandaa tokea mwanzo wanaamua kujaribu jaribu maisha wanaishia kukaa vijiweni
utatuzi
Mitaala ya Elimu ibadilishwe na iende kwa kuangalia mtoto anaelekea kuwa nani wengi ukiwauliza kama wanatembelea ndoto zao watakwambia hapana na wengine watakwambia kwetu ni watu wa aina fulani basi tu kwa vile ya masilahi lakini ili kazi ikupe mafanikio lazima kwanza uipende na uifanye kwa moyo.

enye Red, si kweli kabisa kwamba Elimu ndo Kikwazo, Ni Kuulize ni kwa Nini Watoto wengi wa Wahindi huwezi kuwakuta wakizunguka na Bahasha? Unajua ni kwa Nini? Ulisha wahi soma nao Chuo ukaona Kozi wanazo Soma?

Mkuu tunatatizo la Entreprenershop Spirit na si kitu kingine, Watoto wa Kihindi wanasoma hivi hivi vyio tunavyo soma na hata kama wanaenda kusoma India bado mambo ni yale yale,

kuu Kama ukikulia kwenye Mazingira ya Fuatayo usitegemee miujiza ya wewe kuja kuwa mjasirimali

1. Kukuwa ukikuta wazazi ni wafanya kazi

2. Majirani wano kuzunguka ni Wafanya kazi

3. Ndugu jamaa na marafiki ni wafanya kazi

4. Wazazi wana kusisitizia usome uje kuwa na kazi nzuri uje kuwa na meneja wa Benki na kazalika

Kwa Mazingira haya mkuu ni lazima uzunguke na Bahasha kutafuta kazi, tyu make mazingira uliyo kulia umekuta watu waot wanao kuzunguka ni watu wa Mwisho wa mwezi

Watoto wa Kihindi kinacho wasaidia ni hicho wanakua wakikuta wazazi ni wafanya biashara, Majirani zao juu ya Magorofa ni wafanya biashara, Mafafiki na Ndugu ni wafanya biashara, hapa hakika watoto ni lazima waje kuwa wafanya biashara ndo mahesabu yalivyo kama ulikuwa hujui,

Jaribu kuchunguza Vyuoni watoto wa Kihindi uone kozi wanazo soma, IT, ACOUNTING, MARKETING, BUSINESS MANAGMENT,huwezi wakuta sijui wanasoma Socilogy, sijui Education, sijui Community development,

Wanasoma kozi zinazo endana na kazi wanazo fanya wazazi wao na sisi wengine tunasoma kozi zinazo endana na mawazo yetu ya kuajiriwa
 
Inawezekuwa ni kweli lakini hilo linachangiwa na mfumo wa elimu kaka na hayo uliyoyaongeza so unatakam entrepreneurship spirit aitoe mzazi HAPANA, inatakiwa mzazi achangie ila sehemu kubwa itoke kwa walimu na masomo yanayokuandaa hata hao wahindi huko kwao wakienda bado watashika bahasha sema huku kwetu bado tunatetemekea rangi
 
  1. serikali watengeneze fursa ili vijana waweweze kujiajiri!
  2. vijana waacheze fikra za kuajiriwa na watengeneze fikra za kuwa wajasiriamali
  3. mitaala ya elimu ibadilishwe maana atawakifundishwa bado maofisini hatuna ufanisi wa kutosha
 
Hapo kwenye Red, hapo ndo watu kama wachina wakisoma wanachekelea sana, Usidhani wale wachina wanao tembeza vitu Kariakoo ni wajinga, Nenda China uone wanapo anzia ni huku huku kwa kutembeza,

Wabongo tunajifanya tunajua sana kumbe hakuna kitu, ni ujanja wa Kijinga tu, Kwani Kuuza Mihogo na Kashata si biashara? Biashara ni zipi? u najua Definition ya Biashara?

Wabongo tunaamni Biashara ni za Kwenda China kuchukua Mzigo, Biashara ni Kufungua M-PESA, Biashara ni Kununua Toyo, Biashara ni kufungua Saloni, ndo hizo tunazo jua,

Kuna watu walianza na Mafungu Matatu ya Mchicha, Ila ninapo andika wako mbali sana, tunakaa tunawaza Utajiri tu, Utajiri haujawahi wazwa, na ukiwaza Utajiri kinacho fuata ndo kwenda Kukata Maalibino mikono iukizania ndo kutajirika kumbe ni hakuna kitu,

Utajiri na Mafanikia siku zote ni Matokeo ya Kazi zako ulizo fanya, na Mara zote Safari ya Ujasirimali sio Rahisi kama tunavyo fikilia ni Sfari moja ngumu sana,

Na Dhata is wahy wengi walio fanikiwa ukijaribu kuangalia walivyo anza Safari zao unaweza lia na kuamni kwamba haiwezekani kabisa, Jaribu kusoma story za Wafanya biashara mbali mbali hata wa Africa uone Soma story ya Yule Mnigeria anaye Miliki Kampuni ya DANGOTE, soma story ya MUGUKU mfuga kuku wa Kenya aliye kuja kuibuka na kuwa kati ya Mbilionare watano wakubwa nchini Kenya,Unaweza lia na unaweza kesho yake kwenda kuandika Barua ya Kuacha kazi,

Huyu Jamaa MUGUKU wa Kenya napenda sana kumtumia kama mfano kwa sababu safari yake ya Ujasirimali inafundisha sana, kuna mengi sana ya Kujifunza kutoka kwa Huyu Mzee ambaye kwa sasa ni Marehemu ingawa kampuni yake bado ipo

So tusikae kusema Mitaji, Mitaji huku tunamiliki simu za Laki saba, Music systema, Gari, na kazalika, na kwa hizo aproach zetu kamwe hatutaweza kufanya chochote


chasha umewahi kwenda china?hivi unadhani hao wachina wanaokuja kufanya biashara hapa bongo ni mitaji ya kwao wenyewe?
thubutu! ni mitaji wanayopewa na serikali zao na yote ni kutokana na population kubwa walionayo, serikali inawataftia sehemu ambako wanaweza kupata soko kwa biashara wanazofanya na kuwapa mitaji midogodogo na wanailipa ile mitaji ambayo inakua ina riba ndogondogo ndani ya kipindi kirefu, na wanalipa kodi kama kawaida kupitia kwenye balozi zao.ukweli ni kwamba bila serikali kuwezesha hakuna kinachowezekana
na wahindi nao wana benki of india katika nchi zote zenye wahindi wengi wakikataliwa wanapitia njia zingine.cha muhimu kinachowasaidia ni kufanya biashara za ukoo au familia unakuta mtot anauza chapati,mama anauza vitambaa,baba anauza icecream halaf wanakaa chumba kimoja hapo unakuta wanapunguza gharama za kulipa kodi za biashara, nyumba nk na wanafanya cheap labour wote wachina na wahindi kwan mtoto halipwi,mjomjomba halipwi,babu,bibi wote hawalipwi ila wote wanafanya biashara

hao matajir usisome historia zao wakikusimulia kwenye gazeti ukajua ndio full story,wengi wana dark history behind ambayo wanaiweka kapuni, kama huamini nenda kauze mboga zako kweny kigenge halaf utegemee kuwa tajir, si tungekua na matajir wengi sana, mana hicho unachokipata lazima ujue kuna suala la kodi ya kibanda,kodi ya pango,inabid ununue mahitaji yako binafsi ili uweze kuishi,kodi ya mapato nk lasivyo uwe fisadi usilipe kodi

watu waliosoma na ukawaona matajiri, utajiri wao hata akikuelezea unaeleweka na hesabu zinaenda sawasawa lakini nenda kawaulize hao matajiri wako waliokua wanauza icecream barabarani alijibana vp kama hakulipa kodi ,mwingine utasikia alikua anauza bidhaa za magendo, hizo hawasemi hata siku moja jarib kukumbuka ugomvi wa mengi vs rostam the kingmaker, walivyoumbuana hadharan, mengi alimuumbua mwenzake ameupata utajiri kwa njia za kifisad na akamwita fisadi papa,wengi tukajua mengi ni msafi ,alipokuja rostam kutoa data za mengi alivyojitajirisha kwa kukwepa kodi,kufilisi makampuni wakati amechukua mikopo na mambo mengine mengi sana, na aliyaongea with proofs in hand halaf mwisho akamwita fisadi nyangumi kuna alichokataa mengi

bila serikali kutuwezesha huwez kuwa tajiri labda uwe fisadi
 
Back
Top Bottom