Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Waarabu hawajui fair play ndio maana huwa hawafiki popote nje ya Afrika.. I saw the replay, Kaseja was first to the ball, Chamakh akaenda kujikwaa kwa kusudi kabisa ..naona refa hataki masikhara kapiga mtu kadi ya njano kwa kulalamika inaelekea waarabu wanatafuta penalty wafunge basi warudi nyuma kuzuia