Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Pamoja na kusifiwa kuwa kisiwa cha Amani Tafiti zimeonyesha watanzania wengi hawana furaha na tunaongoza kuwa watu waliochoka, kukosa matumaini,kushangaa shangaa,pamoja na utajiri wa rasilimali zote tulizonazo ,watu wa taifa hili wamechoka kwelikweli,nini kimesababisha watu wa taifa hili kukosa Furaha?