Tanzania ;Taifa lenye watu wasiona Furaha!

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Pamoja na kusifiwa kuwa kisiwa cha Amani Tafiti zimeonyesha watanzania wengi hawana furaha na tunaongoza kuwa watu waliochoka, kukosa matumaini,kushangaa shangaa,pamoja na utajiri wa rasilimali zote tulizonazo ,watu wa taifa hili wamechoka kwelikweli,nini kimesababisha watu wa taifa hili kukosa Furaha?
 
Pamoja na kusifiwa kuwa kisiwa cha Amani Tafiti zimeonyesha watanzania wengi hawana furaha na tunaongoza kuwa watu waliochoka, kukosa matumaini,kushangaa shangaa,pamoja na utajiri wa rasilimali zote tulizonazo ,watu wa taifa hili wamechoka kwelikweli,nini kimesababisha watu wa taifa hili kukosa Furaha?
<br />
<br />
Tatizo hata watoto wa primary school wanalijua, na tiba ni kufanya mabadiliko ya uongozi kisiasa kupitia sanduku la kura.
 
Pamoja na kusifiwa kuwa kisiwa cha Amani Tafiti zimeonyesha watanzania wengi hawana furaha na tunaongoza kuwa watu waliochoka, kukosa matumaini,kushangaa shangaa,pamoja na utajiri wa rasilimali zote tulizonazo ,watu wa taifa hili wamechoka kwelikweli,nini kimesababisha watu wa taifa hili kukosa Furaha?
<br />
<br />
watanzania wana bahat mbaya kwa kupenda kuchagua serikal LEGELEGE
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tatizo hata watoto wa primary school wanalijua, na tiba ni kufanya mabadiliko ya uongozi kisiasa kupitia sanduku la kura.
<br />
<br />
tafiti zimeendelea kubainisha watu wamekosa maono kabisa wapowapo tu ,watu wazima, wenye familia wamekuwa ni watu wa kukimbia kimbia!nchi haina role model yoyote!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
watanzania wana bahat mbaya kwa kupenda kuchagua serikal LEGELEGE
<br />
<br />
inasemekana hata usiku watu hawalali bali wanajificha tu! Kutokana na lundo la matatizo!
 
<br />
<br />
tafiti zimeendelea kubainisha watu wamekosa maono kabisa wapowapo tu ,watu wazima, wenye familia wamekuwa ni watu wa kukimbia kimbia!nchi haina role model yoyote!

mkuu hizi tafiti kafanya nani..? maeneo gani ya tanzania...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom