Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Mapenzi ndio kila kitu, Watu wanafanya kazi kwa bidii kwa ajili ya mapenzi, watu wanasoma kwa bidii mapenzi watu wanajenga nyumba nzuri kwa kutaka mapenzi, watu wananunua magari mazuri yoote hayo mapenzi tu wengine wanakuwa fisadi mapenzi.