matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari ya maana kumbe inawaza ngono tu..
Ebu ona na umu JF watu wanajazana jukwaa la mapenzi,wengine sijawai kuwaona ata majukwaa mengine kama Intelligence,Elimu,Business na Lugha yani mtu kujiandikisha tu anakimbilia jukwaa la ngono.
Hivi watanzania tulilogwa?mbona tunapenda sana chini!
Ushauri wangu..
Jamani tujitokeze ata kwenye majukwaa mengine muone wanaume tunavyoshusha nondo,maana umu naona sura zile zile azimuv ata kuchungulia sehemu zengine kwa jinsi damu zao inavyochemka ngono..
Ebu ona na umu JF watu wanajazana jukwaa la mapenzi,wengine sijawai kuwaona ata majukwaa mengine kama Intelligence,Elimu,Business na Lugha yani mtu kujiandikisha tu anakimbilia jukwaa la ngono.
Hivi watanzania tulilogwa?mbona tunapenda sana chini!
Ushauri wangu..
Jamani tujitokeze ata kwenye majukwaa mengine muone wanaume tunavyoshusha nondo,maana umu naona sura zile zile azimuv ata kuchungulia sehemu zengine kwa jinsi damu zao inavyochemka ngono..