Bado siamini kama Afrika hasa tz tutakuja pata viongozi wazalendo,hii ni kwa sababu wote wanapopewa ridhaa husahau raia na kuweka maslahi yao mbele,wanapenda sn sifa,utajiri,nk.nashuri kuwe na strictly rule of law,na raisi asiwe na madaraka ya kuteua viongozi mhimu kwani inapelekea kufanya kazi kwa interest zake au chama.kiongozi akivunja sheria ahukumiwe kama raia wa kawaida kama misri.