The roundtable sponsored by Barrick, Zain, Arthumas Group,Artumas group and Coca-Cola)
Masaki,
Mbali na hayo ya mafuta, Canada hawaruhusiwi kutengeneza magari madogo hata kama teknologia hiyo wanayo isipokuwa mashirika ya US tu ndiyo yanaweza kuweka viwanda vyake Canada!...
mimi niliwadokeza wanajamii kuhusu mkutano huu
mwezi juni na link nikawawekea lakini naona
tulibanwa navipau mbele vingine wakati huo
hebu ona
https://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/14328-mkutano-mwengine-huo.html
Nilipata mtu mmoja aliyeniambia kuwa Manji ni product kali ya Havard University yeye pamoja na Rostam Aziz. Hawa wamefundishwa entrepreneurship ya hali ya juu. Kwa hiyo kwa macho yao wanaona jinsi watanzania kwa upamoja wao walivyolala. Kwa elimu waliyopata wanaona fursa nyingi mno hapa Tanzania.
Lakini kwangu mimi ninasikitika tu kuwa hawa watu hawana hata chembe moja ya nia ya kutumia ujuzi na elimu yao kwa ajili ya nchi wanayoiita yao. ELIMU ni nini kama huitumii kwa ajili ya jamii yako??
Shame on them!!!!!!!!!!!!!!
Kwamba Manji anaoneka atashepu uchumi wa nchi na kwamba yeye ni role model mimi napinga kabisa na siko tayari kubadilishwa imani yangu.
Tusipoacha tamaa hawa tunawalaumu kuwa WAHINDI WABAYA wataendelea kututafuna mpaka BETWEEN OUR LEGS
Kamende,
Katika nadharia ya uchumi wa kibepari, unatakiwa kutumia kila nafasi uliyonayo kujipatia faida. Kama Watanzania wamelala, na una nafasi ya kutengeneza faida kubwa kutokana na kulala kwao, tena faida hiyo itokane na njia halali, basi ni haki yako kutengeneza faida hiyo.
But, I beg your pardon, did Manji go to Havard University?
heshima mbele wakuu, hapa sasa naona kweli sauti ya watu nguvu ya ajabu.... Aluta continua....
nilipata mtu mmoja aliyeniambia kuwa manji ni product kali ya havard university yeye pamoja na rostam aziz. Hawa wamefundishwa entrepreneurship ya hali ya juu. Kwa hiyo kwa macho yao wanaona jinsi watanzania kwa upamoja wao walivyolala. Kwa elimu waliyopata wanaona fursa nyingi mno hapa tanzania.
Lakini kwangu mimi ninasikitika tu kuwa hawa watu hawana hata chembe moja ya nia ya kutumia ujuzi na elimu yao kwa ajili ya nchi wanayoiita yao. Elimu ni nini kama huitumii kwa ajili ya jamii yako??
shame on them!!!!!!!!!!!!!!
kwamba manji anaoneka atashepu uchumi wa nchi na kwamba yeye ni role model mimi napinga kabisa na siko tayari kubadilishwa imani yangu.
Siku zote huwa nawshangaa nyie watu wa JF hayo matendo ya Manji na RA ni matokeo. TAFUTENI CHANZO.
Kwani huyo handsome wenu wakati anachukuwa mamiliono ya kampeni hakujua kuwa fedha zetu wananchi ndio zinatumika? Ubavu wa manji RA na wahindi wote wezi kuchota hela zetu wangeupata wapi kama sio MIATANZANIA MIENZETU inayotusaliti?
Mijitu iafurahia kupata billion moja kwenye deal ya mhindi anayechota mabilion?
Mwl Nyerere aliwahi kutofautisha rushwa za ughaibuni na za kiafrica, ulaya mtu anapendelewa mtoto wa waizri anapewa kazi anaifanya kwa kiwango cha kurifdhisa africa anapewa tenda mdogo wa hawara yake waziri kazi anavurunda TUTAFIKA KWELI.
Tusipoacha tamaa hawa tunawalaumu kuwa WAHINDI WABAYA wataendelea kututafuna mpaka BETWEEN OUR LEGS
Nilipata mtu mmoja aliyeniambia kuwa Manji ni product kali ya Havard University yeye pamoja na Rostam Aziz. Hawa wamefundishwa entrepreneurship ya hali ya juu. Kwa hiyo kwa macho yao wanaona jinsi watanzania kwa upamoja wao walivyolala. Kwa elimu waliyopata wanaona fursa nyingi mno hapa Tanzania.
Lakini kwangu mimi ninasikitika tu kuwa hawa watu hawana hata chembe moja ya nia ya kutumia ujuzi na elimu yao kwa ajili ya nchi wanayoiita yao. ELIMU ni nini kama huitumii kwa ajili ya jamii yako??
Shame on them!!!!!!!!!!!!!!
Kwamba Manji anaoneka atashepu uchumi wa nchi na kwamba yeye ni role model mimi napinga kabisa na siko tayari kubadilishwa imani yangu.