Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
For the record, "Waafrika Ndivyo Tulivyo" ni kitabu cha Malima Ndelema I believe, certainly Nyani Ngabu si author wa huo msemo, as despicable and smallminded as the saying is the record must be straightened.
Sina uhakika kama ni Malima Ndelema....nadhani ni Dk. Bundara....but I have certainly taken it to a whole 'nother level....
Na habari ndio hiyo...Miafrika Ndivyo Tulivyo!! Hata u-dismiss kivipi....ungekuwa (mngekuwa) mna dismiss kwa vitendi kuwa Miafrika Sivyo Yulivyo mnge-make sense....lakini sasa hivi ni talk is cheap yadi yadi yada....