RORYAKWETU
Member
- Nov 18, 2011
- 83
- 13
Habari jf!, naomba kupata update niliomba nafasi katika jeshi tajwa hapo juu nikiwa chuoni juni 2012 naona kimya kingi.
Achana na jeshi hilo. Jifue JWTZ zinanukia mda si mrefu, tunza afya yako mpwa.
Kwanini wasema hivyo mkuu??aaaah hizo nafasi siku hizi zimetawaliwa na ukiritimba
cha kale ni dhahabuSiamin nasoma uzi wa 2012