morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
nivema sasa jeshi la police ligeuzwa mfumu nakuwa huduma za police .kwani kwa kufanya hivyo .kutaliondoa kuwa jeshi na kuwa chini ya amiri jeshi mkuu ambaye ni raisi wa nchi.na hivyo kutowezesha kutumika vibaya na utawala uliopo madarakani kama ilivyo sasa .mfano ni nchi ya Ghana na pia sasa nchi ya Kenya .kote huko baada kuwa na katiba mpya sasa hivi sio police force bali ni police service