Tanzania old school yatoa tathmini ya MARAIS wa Tanzania ndani ya miaka hamsini (50) ya uhuru

everybody

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
337
103
Hizi ndio Tathmini za mafanikio ya Maraisi wa Tanzania ndani ya kipindi cha miaka hamsini ya uhuru.

A.Mwl. Nyerere, J.K.

1. Kujenga msingi wa umoja na mshikamano
2. Kuondoa ukabila na udini
3. Kupigania uhuru kwa bara zima la Africa

B. Mzee Mwinyi, A.H.

1. Kuleta uchumi mikononi mwa wananchi (chachu ya maendeleo ya Tanzania)
2. Kuingiza mfumo wa soko huria Tanzania

C. Mzee Benjamin, W.M.

1. Kudhibiti mfumuko wa bei
2. Kusimamia mapato ya Serikali
3. Kuongeza heshima ya Tanzania kimataifa

D. Mh. Kikwete, J.M

1. Kuimarisha utawala bora wa kisheria
2. Kuboresha miundo mbinu Tanzania
3. Kupambana na rushwa na ufisadi
4. Kujenga mashule na kusomesha walimu
5. Kujenga zahanati kila kata

Source: Tanzania Old School band celebrate 50 years of Independence


Je mafanikio haya yaliyoainishwa na wazee hawa wa Old school (kupitia wimbo wao wa miaka hamsini ya uhuru) yamewanufaisha wananchi wa Tanzania kiukweli. Na kama kumekuwa na mafanikio haya nini kinachosababisha wananchi wengi wa Tanzania kuendelea kuwa maskini mpaka sasa? Embu tuijadili hii miaka hamsini ya Tanzania kwa kuangalia mafanikio hayo ya Maraisi wetu wa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kwamba each new government did not build on the achievement of the past, wanaanzisha miradi mipya na wanasahau zile za mwanzo.Poor continuity and relatively arguable results on the goals zilizo tajwa hapo...
 
Hapo kwa Mwalimu unaweza kuongeza kuhakikisha uchumi wa nchi unakuwa mikononi mwa Watanzania badala ya wageni.

Mwalimu ili kufanikisha hili aliona umuhimu wa kujenga Chuo Kikuu na vyuo vingine nchini ili kuhakikisha Tanzania inatoa Wataalamu wake wenyewe na pia alipeleka Watanzania wengi sana katika nchi mbali mbali ili wakapate elimu ya kuweza kushika nafasi za uongozi katika mashirika yetu mbali mbali nchini.

Mwalimu aliona umuhimu wa elimu hivyo akaamua kwamba elimu kuanzia shule za msingi hadi Chuo Kikuu iwe bure ili hata Watanzania wanaotoka katika familia ambazo hazikuwa na uwezo waweze kupata elimu bila matatizo yoyote.

Pia alianzisha mashrika muhimu ya Umma na pia kujenga viwanda mbali mbali ili kuongeza ajira kwa Watanzania. Mwalimu alikuwa na mapungufu yake kama Kiongozi lakini mafanikio yake hayafikiwi na awamu zote za Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwa pamoja. RIP Mwalimu.

 
Tatizo ni kwamba each new government did not build on the achievement of the past, wanaanzisha miradi mipya na wanasahau zile za mwanzo.Poor continuity and relatively arguable results on the goals zilizo tajwa hapo...
Nakubaliana na wewe katika hili. Kuna kuwaga na "missing link" Kila awamu mpya inapoingia.

Kwa upande mmoja sio mbaya kwa sababu kila Raisi anataka aonekane amefanya kitu kipya, ila kwa upande wa pili haileti maendeleo endelevu sababu inawaondolea wananchi "focus" yao.

Kama kile kilimo kwanza alichokianzisha mwalimu Nyerere wakati wa Azimio la Arusha kingeendelezwa na Maraisi waliofuata leo hii tusingerudi kwenye sera ya kilimo kwanza tungekua tunaongelea kuboresha viwanda vya ku"process" mazao na matunda...
 
Nakubaliana na wewe katika hili. Kuna kuwaga na "missing link" Kila awamu mpya inapoingia. Kwa upande mmoja sio mbaya kwa sababu kila Raisi anataka aonekane amefanya kitu kipya, ila kwa upande wa pili haileti maendeleo endelevu sababu inawaondolea wananchi "focus" yao. Kama kile kilimo kwanza alichokianzisha mwalimu Nyerere wakati wa Azimio la Arusha kingeendelezwa na Maraisi waliofuata leo hii tusingerudi kwenye sera ya kilimo kwanza tungekua tunaongelea kuboresha viwanda vya ku"process" mazao na matunda...
Ndio hivo! kuja na miradi mipya sio vibaya ila kila mradi unapitishwa Bungeni kwa kupitia sheria (a law to approve its budget). Lazima miradi zilizo kutwa zipewe priority, unless they are officially replaced by new ones, kwa kupitia njia ilio zi-establish(kupitia bunge).
 
Hiyo tathimini inaonyesha kwamba JK amefanya mengi zaidi kuliko wenzake. Mbona Mwinyi hakuonyeshwa kwamba alikuleta demokrasia nchini baada ya kukubali mfumo wa vyama vingi?
 
Hizi ndio Tathmini za mafanikio ya Maraisi wa Tanzania ndani ya kipindi cha miaka hamsini ya uhuru.

A.Mwl. Nyerere, J.K.

1. Kujenga msingi wa umoja na mshikamano
2. Kuondoa ukabila na udini
3. Kupigania uhuru kwa bara zima la Africa

B. Mzee Mwinyi, A.H.

1. Kuleta uchumi mikononi mwa wananchi (chachu ya maendeleo ya Tanzania)
2. Kuingiza mfumo wa soko huria Tanzania

C. Mzee Benjamin, W.M.

1. Kudhibiti mfumuko wa bei
2. Kusimamia mapato ya Serikali
3. Kuongeza heshima ya Tanzania kimataifa

D. Mh. Kikwete, J.M

1. Kuimarisha utawala bora wa kisheria
2. Kuboresha miundo mbinu Tanzania
3. Kupambana na rushwa na ufisadi
4. Kujenga mashule na kusomesha walimu
5. Kujenga zahanati kila kata

Source: Tanzania Old School band celebrate 50 years of Independence (Michuzi Blog) - YouTube

Je mafanikio haya yaliyoainishwa na wazee hawa wa Old school (kupitia wimbo wao wa miaka hamsini ya uhuru) yamewanufaisha wananchi wa Tanzania kiukweli. Na kama kumekuwa na mafanikio haya nini kinachosababisha wananchi wengi wa Tanzania kuendelea kuwa maskini mpaka sasa? Embu tuijadili hii miaka hamsini ya Tanzania kwa kuangalia mafanikio hayo ya Maraisi wetu wa Tanzania.

1. Kwenye red. Are u serious au unafanya provocation
2. Kwenye brown. Hiyo ni continuation aliyonza Mkapa, hata hivyo asilimia kubwa ni misaada!!!
3. Kwenye blue. Hiyo ndo miradi yenye mzaha mkubwa kwa wa tanzania, Shule za kata!!!!!, walimu voda fasta!!!! e.t.c

Halafu generally the comparison iko chini sana .... very very low!!!!!
 
Hizi ndio Tathmini za mafanikio ya Maraisi wa Tanzania ndani ya kipindi cha miaka hamsini ya uhuru.

A.Mwl. Nyerere, J.K.

1. Kujenga msingi wa umoja na mshikamano
2. Kuondoa ukabila na udini
3. Kupigania uhuru kwa bara zima la Africa

B. Mzee Mwinyi, A.H.

1. Kuleta uchumi mikononi mwa wananchi (chachu ya maendeleo ya Tanzania)
2. Kuingiza mfumo wa soko huria Tanzania

C. Mzee Benjamin, W.M.

1. Kudhibiti mfumuko wa bei
2. Kusimamia mapato ya Serikali
3. Kuongeza heshima ya Tanzania kimataifa

D. Mh. Kikwete, J.M

1. Kuimarisha utawala bora wa kisheria
2. Kuboresha miundo mbinu Tanzania
3. Kupambana na rushwa na ufisadi
4. Kujenga mashule na kusomesha walimu
5. Kujenga zahanati kila kata

Source: Tanzania Old School band celebrate 50 years of Independence (Michuzi Blog) - YouTube

Je mafanikio haya yaliyoainishwa na wazee hawa wa Old school (kupitia wimbo wao wa miaka hamsini ya uhuru) yamewanufaisha wananchi wa Tanzania kiukweli. Na kama kumekuwa na mafanikio haya nini kinachosababisha wananchi wengi wa Tanzania kuendelea kuwa maskini mpaka sasa? Embu tuijadili hii miaka hamsini ya Tanzania kwa kuangalia mafanikio hayo ya Maraisi wetu wa Tanzania.


Kwa maana hiyo JK ana mafanikio zaidi ya wote tena ndani ya miaka 6 tu!! Kweli Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni........!!
Mafanikio ya miundo mbinu nafikiri ilitakiwa apewe Mkapa!!

Mafanikio ya JK ni pamoja na kuisamabratisha CCM!!
 
Hizi ndio Tathmini za mafanikio ya Maraisi wa Tanzania ndani ya kipindi cha miaka hamsini ya uhuru.

A.Mwl. Nyerere, J.K.

1. Kujenga msingi wa umoja na mshikamano
2. Kuondoa ukabila na udini
3. Kupigania uhuru kwa bara zima la Africa

B. Mzee Mwinyi, A.H.

1. Kuleta uchumi mikononi mwa wananchi (chachu ya maendeleo ya Tanzania)
2. Kuingiza mfumo wa soko huria Tanzania

C. Mzee Benjamin, W.M.

1. Kudhibiti mfumuko wa bei
2. Kusimamia mapato ya Serikali
3. Kuongeza heshima ya Tanzania kimataifa

D. Mh. Kikwete, J.M

1. Kuimarisha utawala bora wa kisheria
2. Kuboresha miundo mbinu Tanzania
3. Kupambana na rushwa na ufisadi
4. Kujenga mashule na kusomesha walimu
5. Kujenga zahanati kila kata

Source: Tanzania Old School band celebrate 50 years of Independence (Michuzi Blog) - YouTube

Je mafanikio haya yaliyoainishwa na wazee hawa wa Old school (kupitia wimbo wao wa miaka hamsini ya uhuru) yamewanufaisha wananchi wa Tanzania kiukweli. Na kama kumekuwa na mafanikio haya nini kinachosababisha wananchi wengi wa Tanzania kuendelea kuwa maskini mpaka sasa? Embu tuijadili hii miaka hamsini ya Tanzania kwa kuangalia mafanikio hayo ya Maraisi wetu wa Tanzania.

Hiyo ya kuimarisha miundombinu hebu ichomolewe hapo kwa JK ipandishwe kwa Mkapa.

Mafisadi wapi aliopambana nao huyu bwana au kutajwa majina yao tu ndio amepambana nao, hakuna hatua zimechukuliwa juu yao.

Kuimarisha utawala bora sawa nilifikiri uongozi bora lol nilitaka kusema chomoaa!!!

mmh hizo zilizobaki ni kichefu chefu, shule za kata na zahanati za kata, he hehee, ambulance vibajaji lol msilete utani nyie old school it seems you are too old to analyse things.
 
Mwalimu alisomesha watanzania,wengi wakajua kusoma na kuandika kwa kiswahili. Mwalimu alijenga viwanda,alianzisha mashirika mengi ya umma na kwa hiyo aliwapatia Watanzania ajira ktk sekta ya Viwanda na Kilimo. Hivi vyote waliomfuata wameuza! Mwalimu ndiye alilazimisha mwaka 1992 Tanzania tuingie ktk mfumo wa demokrasia ya vyama vingi,bila hivyo CCM hisingemkubalia Mwinyi kama sasa hivi tunavyoona wanacheza na Katiba Mpya.
 
Wana bodi,ndani ya uhai wa Taifa letu tumeongozwa na marais wapatao 4 nao ni:

JULIAS KAMBARAGE NYERERE

ALHAJI HASSAN MWINYI

BENJAMIN WILIAM MKAPA

DR JAKAYA MRISHO KIKWETE

Je kati ma rais hawa ni yepi alielitendea haki Taifa hili unaeweza hata kumuwazia kumpa tena urais au uwaziri mkuu endapo itatokea na kulingana records zake ukimtoa baba wa Taifa(RIP)

Kwa utani ili kukoleza mada:

Nyerere: alipenda mchezo wa bao

Mwinyi: alipenda sana taarabu

Mkapa: uchumi

Kikwete: michezo na burudani hadi hivi ninavyoongea kuna wasanii wako nchini kama wageni wa rais

Karibuni
 
Back
Top Bottom